Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Sunday, March 1, 2015

YALIYOJIRI JIONI YA JANA MSIBANI KWA KAPTENI KOMBA



Mkurugenzi wa bendi ya African Stars, Asha Baraka, akisaini kitabu cha rambirambi.

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Edward Lowassa, akisalimiana na Asha Baraka msibani hapo.

Msanii wa maigizo, muziki na mwanaharakati wa Chama Cha Mapinduzi, Ummy Wenceslaus ‘Dokii’, akisaini kitabuni.

(Habari/Picha: Chande Abdallah/GPL)

0 comments:

Post a Comment