Karibu Fadhaget Sanitarium Clinic

Tunapenda kukukaribisha katika Kitengo cha Sayansi ya Tiba Asilia.

Kitengo Cha Sayansi Ya Tiba Asilia

Kwa Muda mrefu tumekuwa tukisaidia wengi katika matibabu na kutengeneza dawa bora kabisa kiafya.

Je Unapenda Kufahamu Jinsi Ya Kupata Mapacha?

Tunafundisha jinsi ya kupata jinsia unayotaka, jinsi ya kupata mtoto kama umekosa mtoto kwa muda mrefu. Pia hata jinsi ya kupata watoto mapacha tunaweza kukusaidia.

Tunapatikana Katika Mikoa Zaidi ya 10 Tanzania

Tunazidi kuongeza matawi yetu nchini Tanzania na Nje ya Nchi. Kwa sasa tunapatikana katika mikoa zaidi ya 10 na tunazidi kuongeza matawi yetu. Karibu sana.

Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Monday, November 19, 2012

AFRED NA SALOME WAISHUKURU FADHAGET SANITARIUM CLINIC KWA KUPATA UPONYAJI


ALFRED APONA KATIKA CLINIC YA FADHAGET SANITARIUM ILIYOKO JIJINI DAR ES SALAAM TANZANIA, BAADA YA HOSPITALI ZINGINE KUSHINDWA KUMTIBU MAGONJWA YALIYOMSABABISHIA KUTOTEMBEA KWA MUDA MREFU.

Bwana Afred atoa ushuhuda wake bada ya kupona ugonjwa uliokuwa ukimsumbua kwa muda mrefu, na haya ndiyo aliyoyasema:

ALFRED


Nachukua nafasi hii kuwashukuru FADHAGET SANITARIUM CLINIC MBEZI BEACH DAR ES SALAAM kwasababu nilikotoka Mungu anajua, wakati nikiwafikia FADHAGET nilikuwa na vyeti vya hospitali visivyopungua kumi na tano (15). Hospitali ya mwisho niliyoenda ya Bweni kwa Masister iliyoko Kinondoni jijini Dar es Salaam, na baada ya kupima halikuonekana tatizo lolote katika mashine zao, hapo ndipo  wakanipatia namba za Dr. Fadhili Emily  wa Fadhaget Sanitarium Clinic na waliniambia ana kipimo cha kompyuta ambacho kinaangalia mwili mzima. Nilipofika kwa kweli nilifanikiwa kuonana na Dr. Fadhili Emily mwenyewe nikiwa siwezi kutembea nilikuwa nikikokotwa na rafiki yangu ambaye kwa kweli namwita rafiki wa kweli kwani amenivumilia kwa muda wotewa mahangaiko yangu yapata miaka 4 ya kuumwa na kwa hali niliyokuwa nayo, mke wangu alinisaidia mpaka akachoka na ilifika hatua akatoroka nyumbani hali akijua mie wakufa.

Mimi ni baba wa watoto wawili (2), mke wangu aliondoka nao nisikokujua, lakini namshukuru Mungu nimetumia dawa za Dr. Fadhili Emily nimepona. Nilikuwa na magonjwa nisiyo yajua zaidi ya dalili tu. Nashukuru baada ya kufika kwa Dr. Fadhili Emily nilifafanuliwa zile dalili zote na wamefanikiwa kuniponyesha.
Alfred akiwa katika clinic za Fadhaget Sanitarium Mbezi Beach

1. Dalili nazozungumzia ni:
2. Kukojo nyano iliyochanganyika na damu
3. Kuchoka mara kwa mara
4. Kizunguzungu
5. Macho ya njano
6. Miguu kuvimba
7. Upungufu wa nguvu za kiume
8. Kutopata choo kabisa
9. Homa kali na kutetemeka
10. Kiu ya maji isiyoisha
11. Kuvimba kwa tumbo

Jamani sina la kusema na sina cha kuwalipa ila Mungu awabariki sana.

Dawa za Fadhaget Sanitarium Clinic ni za uhakika, na ambaye hajaamini basi ni imani yake…

By Afred

Ubarikiwe Mr. Afred nasi tunakutakia maisha mwma, marefu na afya njema…..

By Dr. Fadhili Emily



SALOME APONA FIBROID (UVIMBE WA KIZAZI) BAADA YA KUPATA HUDUMA THE FADHAGET SANITARIUM CLINIC DAR ES SALAAM TANZANIA

Salome Faustini alishangazwa na huduma ya Fadhaget Sanitarium Clinic baada ya kujipatia uponyaji kwa kutumia dawa za Fadhaget Sanitarium Clinic. Na haya yalitoka kinywani kwake kuwashukuru wahudumu na Dr. Fadhili Emily kwa msaada wake.


SALOME FAUSTINI

Nashukuru sana kupitia The Fadhaget Sanitarium Clinic iliyopo Mbezi Beach, nimepona FIBROID (uvimbe wa kizazi) ambao kwa kweli nilikaa nao kwa muda mrefu sana bila kujua na  zilinisababishia kuishi na mume wangu miaka 6 bila kushika ujauzito, lakini nilipofika hospitali ya The Fadhaget Sanitarium Clinic, ndipo wakanifafanulia kuwa ni uvime wa kuziba kwa kuwa ni uvime wa kuziba kwa mrija ya uzazi. Nimetumia dawa miezi miwili na huu ni mwezi wa  sita (6) hali ndo kama hii unayoiona, ujauzito wa miezi 4.
Wahudumu wa Fadhaget wakimpongeza Salome Faustine (kushoto) baada ya kupona.

Nina amani sana moyoni. Nawashukuru sana The Fadhaget Sanitarium Clinic kwa dawa zao za uhakika.

By Salome Faustini

Ubarikiwe dada Solome na sis tunafurahia hali yako hiyo na Mungu tunakuomba akupe watoto kadili ya hitaji lako.

Dr, Fadhili Emily wa Fadhaget Sanitarium Clinic

Friday, October 19, 2012

SAFARI YA DR FADHILI EMILY WA FADHAGET SANITARIUM CLINIC YALETA MATUMAINI KANDA YA ZIWA MWANZA


Baada ya kilio cha wakazi wa ziwa kutoka na magonjwa mbalimbali yanayowasumbua. Dr. Fadhili Emily wa Fadhaget Sanitarium Clinick aliamua kufunga safari kutoka Dar es Salaam na kuelekea Mwanza kwaajili ya kupeleka huduma Fadhaget Sanitarium Clinic kwa lengo la kutatua magonjwa yanayowakumba ndugu zetu wa kanda ya ziwa Mwanza.
Wananchi walipokea kwa shukrani kubwa wazo la kuanzisha huduma katika maeneo yao ili kupunguza idadi ya wagonjwa wa kanda ya ziwa kwa kupitia huduma ya Fadhaget Sanitarim Clinic

Ofisi mpya jii Mwanza Kilimahewa

Fadhaget Sanitarim Clinic inatibu magonjwa mbalimbali kama vile, upungufu wa nguvu za kiume/ kike, vidonda vinavyotokea katika mwili wako, tumbo kuunguruma wakati wote, moyo kwenda mbio (pressure), kutoona siku za kike na kutokuwa na hamu ya kuonana na mwanaume kwa mwanamke, kuwashwa na kutokwa na uchafu mzito, kuvimba miguu na ukibonyeza inaacha shimo, kuwashwa na kukosa usingizi, kuvimba kwa korodani na magonjwa mengi.

Dr. Fadhili Emily akiwa  na mke wangu Mwanza baada ya kushuka kutoka Dar

Huduma yetu inatumia dawa zinazotoka na mimea na matunda ambayo Mungu ametuzawadia kama wanadamu kuyatumia kwa afya zetu.
Tarehe 1/11/2012 Fadhaget Sanitarium Clinic itafungua ofisi mpya jiji Mwanza eneo la Kilimahewa. Ktufikia unaweza kushuka katika kituo cha Kilimahewa Farmers na ukawasiliana nasi  kwa simu zetu hizi hapa:
+255 787 505158 au +255 712 705158


Pia unaweza kutumaandikia kwa kupitia barua pepe yetu ya fathaget2011@gmail.com na zidi kutmbelea blogu yetu www.fadhaget.blogspot.com ili kupata mambo mapya kuhusiana na huduma yetu.

AHSANTENI!!

Monday, October 15, 2012

LISHE KWA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME



Na Dk. Fadhil Emily

Fadhaget Sanitarium Clinic inapenda kukupa maelezo kuhusiana na lishe ambayo inaweza kusaidia kutatua tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Imesekekana kuwa baadhi ya vyakula vikitumika mara kwa mara vyaweza kupunguza na kuondoa tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na maumivu. Tumejaribu kuelezea baadhi ya vyakula ambavyo tunaamini kuwa vikitumika vinaweza kuondoa tatizo hilo, navyo ni:-


1. Mdarasini + Asali (Sermon + Honey)
Hiyo imedhibitishwa na watalaamu kuwa unweza kutibu upungufu wa nguvu wa kiume. Unapotumia mdarasini pamoja na asali mara kwa mara unaongeza nguvu za kiume na kuondoa maumivu unayoyapata.
2. Maua ya Yerusalem (Star of Jerusalem)
Ikiwa mtu mwenye upungufu wa nguvu za kiume atakuwa akitafuna vikonye vitatu vya maua meupe ya Yerusalem. Acaroids Acid ina virutubisho muhimu ambapo watu wa biolojia  wameamini kuwa kiwango kikubwa kinauwezo wa kuratibu swala hilo la nguvu za kiume
3. Karanga mbichi zisizokobolewa
Watu wa biolojia (Biologist) wanasema karanga zisizokobolewa zina protini (protein) muhimu ambayo inamchanganyiko wa Carolis ambayo kwa hakika imethibitishwa kuwa, nayo ni msaada mkubwa kwa upungufu wa nguvu za kiume.
Matatizo ya nguvu za uzazi ikiwa ni pamoja na upungufu wa nguvu za kiume na homoni (hormone) za kike, kitalaamu ni kasoro ambazo husababishwa na vijidudu na bacteria ambazo kwa hakika ukitaka kupata uponyaji, yakupasa utumie viinirishe au virutubisho vinavyotoka katika vyakula mbalimbali ambavyo hakika vyaweza kuratibu mfumo wa homoni (hormone) moja kwa moja na si kutumia sindano na vidonge ambavyo havikusaidii kurudisha virutubisho kwani vyatumika kama kupunguza au kupooza kuondoa maumivu tu (Pain Killer).

“Pain Killer” ikishaisha mwili mwako, hali ya zamani ya upungufu wa nguvu za kiume na maumivu hurudi tena na tatizo linabaki pale pale.

Inasemekana kuwa kwa asilimia nyingi vyakula vichache vilivyotajwa hapo juu vikitumika sawasawa na mara kwa mara huweza kuondoa tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

 hali ya tatizo na sio kuponya ila ukitumia hivyo vyakula tulivyoeleza hapo juu unaweza kuponywa nahuo ugonjwa wa upungufu wa nguvu za kiume na maumivu.

Kwa maelezo zaidi fika katika ofisi za
Fathaget Sanitarium Clinic Mbezi Beachi Tangi Bovu
Kutana na Dk. Fadhil Emily
Simu: +255 712 705158 | +255 757 931376 | +255 787 705158
Blogu: fathaget.blogspot.com


Thursday, September 27, 2012

THE FADHAGET SANITARIUM CLINIC YAANZA KUTOA HUDUMA YA DAWA POPOTE PALE ULIPO

Ikiwa wewe umewahi kupimwa na ukajulikana kama una ugonjwa wako katika hospitali au zahanati zinazotambulika na serikali, basi waweza kutupigia simu katika namba +255 712 705158 au +255 757 931376, sisi tutakuunganisha na wakala (agents) wetu waliopo katika kila mkoa kwa kutumia mabsi na ndege kukufikishia huduma hii.

Wasiliana na
Dr Fadhili Emily wa Fadhaget Santarium Clinic

ZITAMBUE DALILI ZA HATARI ZA KIAFYA



  1. Upunguvu wa nguvu za kiume
  2. Tumbo kuunguruma wakati wa kuhisi njaa
  3. Kuwaka moto na ganzi mwilini
  4. Moyo kwenda mbio na pressure
  5. Kutoona siku za kike na kutokuwa na hamu ya mwanaume kwa wanawake
  6. kuwashwa na kutoka na uchafu nzito
  7. Kuvimba miguu na ukibonueza linaachwa shimo
  8. Kuwashwa na kukosa usingizi
  9. kuvimba kwa korodani (mayai kwa wanaume wa ukiona mayai yako hayalingani

TUTEMBELELE THE FADHAGET SANITARIUM CLINIC  TUPIME TUJUE CHANZO DAWA ZIPO

Wasiliana na Dr Fadhili Emily kwa simu: +255 712 705158 | +255 757 931376 | +255 787 705158
Blogu: www.fadhaget.blogspot.com

KUTOKA KATIKA MAKALA KUHUSU FADHAGET SANITARIUM CLINIC



LISHE NA AFYA KWA WAATHILIKA WA VVU/UKIMWI TOKA THE FADHAGET SANITARIUM CLINIC





Ugonjwa wa UKIMWI kisayansi ni kuathirika kwa uzaliwaji wa Cell Nyeupe za damu, ambazo husababisha upungufu wa kinga mwilini.

Mgonjwa wa UKIMWI kiafya ili asaidie uwiano wa cell zinazokutana na \ zinazozaliwa ni lazima ajitahidi kupata viini lishe muhimu ambavyo vinatoka katika chakula:
  1. Pendelea kutumia zabibu nyeusi (Black Current) kwa kuwa tunda hili lina sukari iliyochanganywa na uchafu asili kabisa ambao husaidia kuzalisha sukari ya sucrose ambayo huzalisha kwa wingi Cell Nyeupe za damu na kuongeza uwiano mzuri wa cell zinazokufa kwa kuzaliwa.

    Zabibu na sucrose  iliyosheheni vitamini C, Citric Acid na Acetic Acid  na viini lishe vingi muhimu kwa CD4 na CD8.

  2. Pendelea kutumia chai isiyotiwa majani ya chai.
·         Katika chai yako weka majani ya mlonge yaliyokaushwa vyema na kusagwa.
·         Chota kijiko cha chai cha unga wa majani hayo na weka katika kikombe kimoja cha chai,
·         Katika maji ya moto usiweke sukari,
·         Tia asali mbichi kabisa. Ni kifungua kinywa na kizuri haina uchungu wala harufu na
·         Waweza  kunywa na vitafunio vyako kama chai ya kawaida.
·         Waweza kutumia mchana na jioni kwani chai hiyo inasaidia kusimamisha kasi ya kuzaliana kwa virusi na kuvifanya virusi vilivyopo kusinzia hivyo hautojisikia maumivu  wala kupungua kwa kinga za mwili zinazohusika yaani CD4, hii ni kwasababu ya uwepo wa virutubisho cha Hydro Chloride  katika mumea wa mronge (Drumstic).

Huu ni utafiti uliofanywa na THE FADHAGET SANITARIUM CLINIC  kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha ROMALINDA UNIVERSITY OF MEDICINAL PLANT kilichoko California Marekani. Haina madhara yoyote, pia waweza kutembelea THE FADHAGET SANITARIUM CLINIC   iliyopo Mbezi Beach kupata dawa hiyo iliyoandaliwa tayari kwa viwango vya kidaktari kwa uasili wa hali ya juu sana.

  1. Pendelea kutumia vyakula vya mchanganyiko kama
    • BAMIA + NYANYA CHUNGU + KAROTI + NYANYA MAJI + VITUNGUU + BINZARI + BILINGANYA.
    • Chemsha vyote kwa pamoja visiive sana na
    • Usiweke maji mengi sana. Ubichi wake (kijani) kwani chakula hicho ni kizuri kwa afya kwasababu ya uwepo wa Acaroids Acid ambayo pia inamsaada mkubwa wa kukinga maradhi nyemelezi.

  2.  Tumia nafaka ambazo hazijakoborewa, mahindi, maharage, njugu mawe, njegere, mbaazi, dengu n.k hii huboresha viini lishe na kinga mwilini.

Saturday, September 1, 2012

DAWA YA KUTIBU MAGONJWA YOTE YAPATIKANA FADHAGET SANITARIUM CLINIC MBEZI BEACH-DAR


Dawa hii yaweza kutumiwa na mgonjwa yeyote anayesumbuliwa na ugonjwa wowote. Dawa hii haina madhara kwa wajawazito wala kwa watoto. Imethibitishwa kuwa ina viinirishe viwezavyo kukimbiza magonjwa sugu haraka, inatambulika kwa jina la FRESH GET ni ya syrup si vidonge wala si sindano wasiliana na Dr.Fadhili wa
FADHAGET SANITARIUM CLINIC MBEZI BEACH.  


Wasiliana kwa simu +255 712 70 51 58 | +255 757 93 13 76

Wednesday, August 29, 2012

MATUMIZI BORA YA SIMU ZA MKONONI


Baada ya kufanya utafiti thabiti wa kisayansi uliofanywa na daktari wenu Fadhili Emily, imegundulika kuwa simu za mikononi zisipotumika vizuri ni hatari kubwa sana kwa afya ya mwanachama.

Taarifa tulizozipata pande tofauti tofauti za dunia zinaeleza kuwa simu ya mkononi isipotumiwa vema yaweza kusababisha magonjwa mengi sana kwa mwanadamu na ulemavu wa viungo, hasa viungo vya uzazi kwa mwanamke na mwanaume pia. Baadhi ya madhari hayo ni kama:

  1. Saratani ya ubongo
  2. Upungufu wa nguvu za kiume au kike.
  3. Ufaji wa gamete za kiume.
  4. Virusi vya mafua.
  5. Ugonjwa wa kuvimba kwa macho (Micro Lens Radiation)
  6. Kupanuka kwa mishipa ya moyo.
  7. Kupooza (Kiharusi).
Dk. Fadhili Emily
Taarifa hizi zimetafitiwa katika vituo maalumu vya mionzi ya simu na minara iliyoko.
  1. Japan (kituo cha Iroshima na Nangasak)
  2. Marekani (kituo cha Meleland)
  3. Shirika la Afya Duniani (WHO) (Kupitia mtandao wa kituo cha Televisheni ya CNN nao wamezungumza vema kuhusu namna ya simu za mkononi zaweza kukuadhiri mtu kama hutatumia ipasavyo (www.who.radiation.com))

Hayo yote yanatutaayaridhishia tuwe makini katika kutumia simu zetu. Mmoja kati ya mwendelezo wangu na vipindi katika radio ya Praise Power FM vya kila siku za Jumanne usiku saa 2:00 na Alhamisi saa 2:00- 3:00 usiku. Kiukweli huwa nazungumzia mambo mengi yawezayo kutuokoa kiafya. Na juzi juzi nimezungumza kwa kina kuhusu maswala ya simu na minara na shuhuda za pande tofauti tofauti za dunia.

Nilieleza wazi jinsi ya tunawezavyo kujikinga na mionzi ya simu za mkononi, tunaweza kutambua simu za mkononi kuwa zina mionzi au la kwa kutumia silio namba (serial number) zake kwa kubonyesa *#06# moja kwa moja itatokea silio namba ya simu yako, na simu zilizo nyingi huanza na 35------------00 na kuendelea, lakini nimewapa angalizo kwa kwa kuhesabu namba kuanzia  kushoto yaani 3 ndo 1 na 5 ndo 2 tarakimu au namba ya saba na ya nane 7 na 8 zinatakiwa ziwe na 0 na 0 hapo inahidhinisha kuwa simu yako iko vyema haina mionzi mibaya iwezayo kukuharibu, ila ikiwa ya saba ni 0 na nane ni 2 za mionzi basi simu yako ina asilimia 2 za mionzi, bali pia ya saba ikiwa na 2 na nane ni 0 basi simu yako ina asilimia 20 za mionzi na ni hatari sana kama utatumia simu hiyo kwa kupiga au kupokea karibu na:
  1. Radio
  2. Mitambo ya nishati ya umeme
  3. Garini au ndege na vyombo vya usafiri vyote vitumiavyo nishati ya umeme
Hii ni sababu kwamba vyombo vya kutumia nishati ya umeme vingi vina nishati ya umeme iitwayo IONIC (Anayoiki) na simu za mikononi zina NON-IONIC. Hivyo ukiwa unatumia simu yako katika upigaji wa kawaida ili simu ya umpigiaye iweze kuita lazima ifume mionzi katika kifaa kilichoko katika mnara ulio karibu na wewe kiitwacho BOOSTER (Busta). Baada ya hapo mawimbi yatabustiwa na kutumwa katika satellite (setelaiti) iliyoko angani kilometa 38 kutoka duniani (Channel Twelve kwa sekunde chache sana hivyo kutumwa kwa umpigiaye ndipo simu yake itaita.Hatua na mfumo huo ni mrefu , lakini unafanyika kwa dakika chache sana.

Hivyo ikiwa utatumia simu yako karibu na mnara mtambo unapowekwa sikioni inachoma ubongo na inaharibu kifaa kilicho katika kichwa cha mwanadamu kiitwacho Head Fortum ambacho kwa kazi yake kipo toka uumbaji wa Mungu huhusika na:
  1. Kuota ndoto
  2. Kufanya maamuzi na mipango mbalimbali.
Kwahiyo simu ikikuadhiri sehemu hiyo basi hata ndoto zako zinakuwa chafu, maamuzi mabaya au kusababisha saratani ya ubongo.

Kifaa hicho pia kinafanya kazi sambamba na tezi ya Pituitary na Grand ya Adrenali ambazo zinahusika na matendo ya hiyari na yasiyo ya hiyari. (Homoestassis homon) ndiyo maana vijana wengi wanalia nguvu za kiume; kwa kutopata mtoto, kichwa kuumwa, ubongo kuchoka na hata mwili kuwa dhaifu:

Kwa wale walioadhirika au ndugu yako ameadhirika, basi usikate tamaa, The Fadhaget Sanitarium Clinic tunayo mashine ya kompyuta ya kuangalia umeadhirika nini kwa kiwango gani, simu imekuadhiri na majibu yatatoka na tutakuandikia dawa. Dawa zipo ni fani yetu rafiki karibu.

Wasiliana nasi kwa simu
+255 712 705 158
+255 757 931 376
+255 787 705 158

Na Dk. Fadhili Emily

Friday, June 29, 2012

ZIARA DK. FADHILI EILY WA FADHAGET SANITARIUM CLINIC KATIKA NCHI 5 DUNIA NDANI YA MWEZI MEI 2012

Ilikuwa tarehe 18-5-2012 nilifanikiwa kufanya ziara ya utafiti katika nchi 5 ambapo ni mengi niliyavumbua katika swala zima la atafiti.

Moja kati ya mambo yalionipeleka ni utafiti juu ya magonjwa ya wanawake na ulevi na waathilika wa magonjwa sugu ya kam vile ukimwa,kisukari,moyo,vidonda vya tumbo n.k. Nilifanikiwa kutembelea nchi kama.
1)      Hong Kong
2)      South Africa (Pritoria)
3)      Ethiopia (Addis Ababa)
4)      Thailand (Banco Rd)
5)      Kenya (Nairobi)

Namshukuru Mungu nchi zote hizo nimezitembelea ndani ya miezi hiyo mitano nafurahi sana kwani ni katika bara la Asia sikufanikiwa kutembelea hospitali yoyote ikiwa sababu za uchumi na mengine ambayo yalikuwa nje ya uwezo wangu kwani nili shitukiwa kuwa ni mpelelezi kwani niliambiwa wafikao huko hupelekwa na mashirika tajiri au serikali. Mimi nilijigharimia mwenyewe kwani ni gharama kubwa sana kiukweli nilikuwa na dola za kimarekani za kutosha japo zilizarauliwa na wa Hong Kong. Nikiwa Hong Kong nilifanikiwa kununua mashine ya kisasa ya kupima wanadamu aina ya (M.R.A) ambayo iliwashangaza sana baadhi ya wakazi wa Hong Kong kwani ni ya gharama mno.

Kama kawaida mimi ninaposafiri huwa na kuwa na mke wangu nimpendae ambapo katika safari hizi nilidondoka naye na kushika pipa la Ethiopia Air Way na kuhangukia Banco –Cko (Thailand). Katika nchi ile nilifuraia sana na moja ya senta nilizo tempbelea nilikuta uchache wa magonjwa  wa magonjwa hatari zaidi baada ya siku mbili tatu nika julishwa hapana malaria, wala mbu na pia wana msimamo hawapendi kutumia dawa za kemikali kali hasa za vidonge, na pia vyakula vya rangi ya asili kabisa na kilicho nifurahisha zaidi,  hospitali nyingi nilizotembelea mapokezi (Reception) una kutana na swali, “Una hita daktari wa medicinal plants?” yaani tiba za mimea na matunda au “Unamtaka daktari wa medicine?”  yaani dawa za sindano na vidonge kiukweli wenzetu wamepiga hatua yaani sawa uende Muhimbili hospitali ya taifa uulizwe unahitaji daktari wa asili au wa vidonge na sindano?

Elimu waliyonayo ni hasa juu ya mimea inayowafanya waipende zaidi kuliko elimu ya vidonge na sindano.

Nilichogundua ni kwamba wagonjwa wengi hawapendi vipimo vya mionzi mikali na kutumia madawa ya kemikali na hiyo imeletea wagonjwa kuwa wachache hospitalini wanaotumia mionzi mikali na

Kitu nilichojifunza tena ni kwamba watu wa pale wanakula chakula sio kwaajili ya kupata utamu au radha nzuri bali ni kutaka kuwa na afya bora na kutounguza miili yao kwa kutumia mionzi mikali. Pia wanatumia vyakula vibichi vya mimea, nyama hutumika mara chache sana na kama inatumika ni ile nyama nyeupe. Inaaminika kuwa mimea mibichi ni dawa nzuri sana hasa kwa afya yako na ni kinga ya magonjwa.

Sayansi ya ulimwengu inakili kuwa matunda ni dawa na pia ni kinga ya mwili kwa magonjwa madogo madogo, vivyo hivyo mboga za majani, mahindi, nyanya, nyanya chungu, bamia, kabichi, karanga na vinginevyo vingi vya mboga, vitatumika vikiwa vibichi navyo ni kinga na ni tiba. Sasa wenzetu elimu hiyo wanayo, ndiyo ina wafanya wale kibichi ambayo imepunguza magonjwa sugu katika nchi yao.

Baada ya siku tatu nilielekea Johanssberg (South Afrika), ambapo utafiti wangu ulifanyika mji Wa Pritoria (Centurion) Medicinal Plant University of South Africa ambapo pale pia nilikuta hapana malaria bali pana ugonjwa hatari wa ukimwi na magonjwa ya kuambukizwa kwa wanawake (Trichomoniassisi Endometriosis, Cambodia, Na Human Pamplona Virus) pamoja na waathilikla wa madawa ya kulevya:

Niliwatembelea kitengo cha magonjwa ya wanawake : ambapo hayo ni kama:

(1) Kuwashwa ukeni
(2) Kuvimba mashavu ya uke (rabia minora na rabia mijorao)
(3) Kutokwa uchafu kama usaha au maziwa ya mtindi ukeni na kupotea kwa hamu ya tendo la ndoa.

Matibabu yalionekana kuwa shida kidogo kwani walio wengi tulipo wapima tulikuta wana upungufu wa kinga (Micro Flora Mechanism) amayo kwa hakika huwafanya kutosikia kwa dawa wanapo tumia ili kuondoa tatizo hili kwakuwa kinga zao ziko china na hizo ambazo ndizo zinaongoza askali mwili yaani cells. CD4 na CDS.

Tunashukuru Mungu the Fadhageti Clinic tume gundua dawa yenye kirutubisho cha hydrochlorise ambacho hutibu tatizo hili mpaka kupona, dada usihangaike ksribu sana Mbezi Beach utapona.

Friday, June 15, 2012

DK. FADHILI EMILLY WA FADHAGET SANITARIUM CLINIC ANAKUKARIBISHA WEWE UNAYESUMBULIWA NA MAGONJWA SUGU MBEZI TANGI BOVU.

Dawa zinazotolewa na kituo hiki ni ya kutumia mimea na matunda, watu wengi wameweza kupona kwa njia ya dawa zetu Unaweza kufika ofisini kwetu na utahudumiwa.
Ofisi za  Fadhaget Sanitarium Clinic Mbezi Tangi Bovu Dar es Salaam, Tanzania
Sehemu ya madawa
 Wahudumu wa Fadhaget S.C wakiwa katika chumba cha madawa
Zabibu Kabujabja  mpokeaji wa wageni (Receptionist)
Dawa zikipangwana msaidizi wa Dr Fadhili, dada Sara Zebedayo
Baadhi ya dawa

Mzee akitolewa sumu mwilini
 Mgonjwa akitolewa sumu

 Vifaa vya kisasa kwa wagonjwa
Daktari  Gabriel Simiga
 Dajtari mkuu wa Fadhaget S. C Fadhili Emilly
Mashineya kisasa
 Wagonjwa wakisubiria kumuona daktari

 Mgonjwa akichukuliwa ripoti  ya ugonjwa wake
 Mgonjwa akielezwa na dakrari Fadhili Emilly kuhusiana na ugonjwa unaomsumbua
 Moja ya gari la Dk. Fadhili Emilly
 Hapa ni geti kuu la kuingia clinic


Wazaaaaa wazua

Vifaa vya kisasa kwaajili ya wagonjwa
Daktari akiwa katika chumba cha mapumziko baada ya kazi nzito ya kuihudumia jamii

Wednesday, May 23, 2012

MUDA WA KUTESEKA NA MAGONJWA UMEKWISHA KUTANA NA DOKTA FADHILI EMILLY UPONE KWA NJIA YA DAWA ZA MIME NA MATUNDA

Sunday, May 20, 2012


FADHAGET SANITARIUM CLINIC CD KUPATIKA SASA-Dr. Fadhili Emily
Dokta Fadhili amesema sasa unaweza kupata mafundisho kuhusiana na huduma za tiba zinazotolewa na Sanitarium Clinic iliyoko Mbezi Beach Tangi Bovu, Tandika Majaribio-Dar es Salaam Tanzania

Amewaomba watu wote kununua CD hii ili uweze kujifunza ni jinsi gani unaweza ukatibiwa magonjwa sugu kwa njia ya mimea na matunda.

Kama ungependa kujua zaidi jinsi ya kupata hizi CD, tafadhali wasiliana nasi kwa mawasiliano yaliyopo katika CD hapo chini:-







CD case imetengenezwa na Rulea Sanga +255 715 85 15 23 | rumatz2011@yahoo.com | www.rumaafrica.blogspot.com

Wednesday, May 9, 2012

FADHAGET SANITARIUM CLINIC
Dokta Fadhili Emily wa Fadhage Santarium Clinic


Ilianza mnamo mwaka 27/7/2011, ilikuwa na umahiri mkubwa sana na wengine walichukulia matibabu ya jadi. Lakini kupitia Fadhili Emily alihakikisha zana za ligha mbaya iliyokuwa ikipotosha huduma hii ya tiba halisi ya matunda na mimea inatambulika kama huduma sahihi yenye vipimo vya kisasa vyenye kutambulika kisayansi na kuvunja kauli mbaya za watu kusema ni huduma ya kijadi yani za kiganga

Katika kuthibitisha hilo alielimisha jamii tiba halisi za mimea na matunda kwamba ni tiba ambazo za zimetafitiwa na kuthoibitishwa na Elimu ya Chuo Kikuu Tanzania.


Baada ya kutambua chungwa lina Vitamin C, Alovera ina Alkolik asidi, muarobaini una sainatic asid, ndimu ina sitiriki asidi, na madaktari wamethibitisha kimataifa virutubisho vinavyotokana na mimea na matunda ikiwa vitachanganywa vyema vinaweza kutibu maradhi hasa yaliyo sugu.
Alovera

Ndimu

Ushahidi tunaweza kupata kutoka kwa madaktari mbalimbali walio vyuo vikuu vya tiba za mimea na matunda ulimwenguni, kama vile, Romalinda University of Medical Plant kilichoko California Marekani,  East Africa Medical Missionary cha nchini Kenya, Zuru National Remedies Citiovvasty, iliyoko south Afrika, na pande mabalimbali za ylimwengu.


Kwa kushirikiana na Fadhaget Santarium Clinic tiba hii inaonekana sio tiba ya jadi bali ni tiba inayotambulika kisayansi ulimwenguni



"GET TOGETHER PARTY" YAFANA NDANI YA THE ATRIUMS HOTEL USIKU WA JANA
Dokta wenu nilibahatika kufika mahali pale kushirikiana na wenzangu katoika kuhakikisha shughuli ya mtangazaji wetu Erick Brighton inakamilika

Nilifurahi sana kukutana na watu amba sijawahi kukutana nao, na niliweza kubadilishana mawazo na kutiana moyo katika kazi ya BWANA.

Uimbaji na vichekesho vilinifanya nifurahi sana, na nikajifunza kuwa palipo wengi hukosi jambo la kukuburudisha na kukukasilisha, ila kwangu usiku huyo ulikkuwa wa furaha ndani ya kiroho changu

Mungu na akubariki

Blogger Rulea Sanga na mwanakamati ya party hiyo alikuwa na haya ya kusema kuhusu party

"Usiku ulikuwa ni usiku wa furaha na kumtukuza Mungu, Erick Brighton ndiye mlengwa mkubwa katika party ya jana ambaye aliwakusanya watu kwaajili ya kuwakutanisha maproducer, waimbaji, watangazaji wa radio na TV, mabloggers na wachekeshaji, na kubwa zaidi ilikuwa ni siku ya kumchangia Erick katika harusi yake itayofanyika karibuni.

Burudani mabalimbali kutoka kwa waimbaji zilitawala zikiambatanishwa na vichekesho kutoka kwa wachekeshaji kama Masanja Mkandamizaji na Nyerere.

Kamati inawashukuru watu wote waliohudhuria mahali pale na Mungu awabariki, na msingi zaidi ni kuwasisitiza kwa wale walioahidi michango yao waiwakilishe kwa wahusika kabla ya jambo lenyewe la harusi"

 Mchekeshaji, Msanja Mkandamizaji (kushoto kwa hao waliosimama) akikandamiza na mdau wa blogu hii.
 Fadhili wa Fadhaget Santarium Clinic (kushoto) akiwa katika pozi na Mkandamizaji Masanja
 Mzee wa Blogu, Rulea Sanga (kulia) nikijipendekeza kwa mtalaamu wa magonjwa sugu Fadhili wa Fadhaget Santarium Clinic

Kike inapukutika
Mtangazaji wa Praise Power Erick Brighton katikati akijiandaa kuwalisha kike wapenzi wake