Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Friday, October 19, 2012

SAFARI YA DR FADHILI EMILY WA FADHAGET SANITARIUM CLINIC YALETA MATUMAINI KANDA YA ZIWA MWANZA


Baada ya kilio cha wakazi wa ziwa kutoka na magonjwa mbalimbali yanayowasumbua. Dr. Fadhili Emily wa Fadhaget Sanitarium Clinick aliamua kufunga safari kutoka Dar es Salaam na kuelekea Mwanza kwaajili ya kupeleka huduma Fadhaget Sanitarium Clinic kwa lengo la kutatua magonjwa yanayowakumba ndugu zetu wa kanda ya ziwa Mwanza.
Wananchi walipokea kwa shukrani kubwa wazo la kuanzisha huduma katika maeneo yao ili kupunguza idadi ya wagonjwa wa kanda ya ziwa kwa kupitia huduma ya Fadhaget Sanitarim Clinic

Ofisi mpya jii Mwanza Kilimahewa

Fadhaget Sanitarim Clinic inatibu magonjwa mbalimbali kama vile, upungufu wa nguvu za kiume/ kike, vidonda vinavyotokea katika mwili wako, tumbo kuunguruma wakati wote, moyo kwenda mbio (pressure), kutoona siku za kike na kutokuwa na hamu ya kuonana na mwanaume kwa mwanamke, kuwashwa na kutokwa na uchafu mzito, kuvimba miguu na ukibonyeza inaacha shimo, kuwashwa na kukosa usingizi, kuvimba kwa korodani na magonjwa mengi.

Dr. Fadhili Emily akiwa  na mke wangu Mwanza baada ya kushuka kutoka Dar

Huduma yetu inatumia dawa zinazotoka na mimea na matunda ambayo Mungu ametuzawadia kama wanadamu kuyatumia kwa afya zetu.
Tarehe 1/11/2012 Fadhaget Sanitarium Clinic itafungua ofisi mpya jiji Mwanza eneo la Kilimahewa. Ktufikia unaweza kushuka katika kituo cha Kilimahewa Farmers na ukawasiliana nasi  kwa simu zetu hizi hapa:
+255 787 505158 au +255 712 705158


Pia unaweza kutumaandikia kwa kupitia barua pepe yetu ya fathaget2011@gmail.com na zidi kutmbelea blogu yetu www.fadhaget.blogspot.com ili kupata mambo mapya kuhusiana na huduma yetu.

AHSANTENI!!

0 comments:

Post a Comment