Karibu Fadhaget Sanitarium Clinic

Tunapenda kukukaribisha katika Kitengo cha Sayansi ya Tiba Asilia.

Kitengo Cha Sayansi Ya Tiba Asilia

Kwa Muda mrefu tumekuwa tukisaidia wengi katika matibabu na kutengeneza dawa bora kabisa kiafya.

Je Unapenda Kufahamu Jinsi Ya Kupata Mapacha?

Tunafundisha jinsi ya kupata jinsia unayotaka, jinsi ya kupata mtoto kama umekosa mtoto kwa muda mrefu. Pia hata jinsi ya kupata watoto mapacha tunaweza kukusaidia.

Tunapatikana Katika Mikoa Zaidi ya 10 Tanzania

Tunazidi kuongeza matawi yetu nchini Tanzania na Nje ya Nchi. Kwa sasa tunapatikana katika mikoa zaidi ya 10 na tunazidi kuongeza matawi yetu. Karibu sana.

Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi
Showing posts with label Afya. Show all posts
Showing posts with label Afya. Show all posts

Tuesday, May 24, 2016

Afya Yako - Dr Fadhili Emily


Friday, May 20, 2016

Sikiliza Jinsi ya Kusuluhisha matatizo ya Mimba kutoka



Je Unahitaji watoto mapacha?


Monday, December 21, 2015

Usikose kipindi cha Sayansi ya Jamii - Star Tv


Kipindi kitakuwa ni kila siku, katika muda wa Saa 3 na Nusu Usiku, STAR TV.

Sunday, December 6, 2015

Dr. Fadhili Emily Kwenye Mkutano na Resolution Insurance.

Dr. Fadhili Emily akiiwakilisha The Fadhaget Sanitarium Clinic wiki hii alishiriki katika moja ya mkutano ulioweza kutoa elimu kuhusiana na Insurance za Afya. Katika wiki hii aliweza kuonea na kutoa elimu kuhusiana na Madhara ya Matumizi ya simu za mikononi na adhari zake pamoja na njia sahihi za kutumia simu za mikononi kiuslama.


Wednesday, September 2, 2015

Fahamu Vyakula Vya Kuondoa Gesi Tumboni au Kusaidia Tumbo Kujaa.

Watu wengi wamekuwa wakihangaika sana na matumbo yao kujaa gesi na pengine kuvimba. Leo hii The Fadhaget Sanitarium Clinic imekuletea baadhi ya vyakula vya kula kuondo hili tatizo linakusumbua kwa muda mrefu. Pia kuna dawa maalumu zinapatikana katoika kituo chetu cha tiba kwa njia ya mimea na matunda. Sasa soma hivi vyakula kwa faida yako. 



KWA njia moja au nyingine, unajikuta tumbo limechafuka kwa kujaa gesi, kuuma na hata kuunguruma, unahisi unahitaji kunywa dawa ili litulie. Katika makala ya leo utajifunza njia bora ya kutuliza mchafuko wa tumbo kwa kutumia vyakula badala ya dawa za kisasa ambazo hutuliza dalili na haziondoi tatizo.

CHANZO

Kabla ya kukimbilia kwenye tiba, ni vizuri kwanza kujua chanzo cha tatizo na katika hili unahitaji kujua ni vyakula gani ukila vinasababisha matatizo ya tumbo. Aina ya vyakula inaweza kutofautiana kati ya mtu na mtu lakini kuna aina ya vyakula vinajulikana zaidi kusababisha matatizo ya tumbo.
Vyakula na vinywaji vinavyochangia tumbo kujaa na ukosefu wa choo kwa muda mrefu huwa ni soda, ulevi (hasa bia), vyakula vyenye mafuta mengi na vyenye chumvi nyingi.

Vyakula hivyo vinapoingia tumboni, huwa na tabia ya kuchelewesha usagaji wa chakula na uondoaji wa uchafu kwenye utumbo, hivyo huwa kikwazo katika mfumo mzima wa usagaji chakula kwa urahisi.
Ili kujiepusha na matizo ya tumbo ya muda mrefu na hata kuzuia uwezekano wa kuumwa na tumbo mara kwa mara, unashauriwa kula vifuatavyo, karibu kila siku ili kulifanya tumbo lako kuwa safi wakati wote:

PAPAI (PAPAYA)

Baadhi ya utafiti uliyopo, unaonesha kwamba ‘enzyme’ waliyomo kwenye papai husaidia usagaji wa chakula tumboni na hivyo kulifanya tunda hili kuitwa na mtafiti wa zama za kale Christopher Columbus kama ‘tunda la malaika’.

Watafiti wamebaini kuwa tunda hili, lenye ladha tamu na harufu nzuri, huboresha mfumo wa usagaji chakula, husafisha utumbo, huzuia magonjwa ya uvimbe tumboni na huimarisha mfumo wa kinga ya mwili.


“Vitamini na virutubisho vya papai vina faida nyingi, lakini faida kubwa ya papai ipo kwenye kirutubisho (Enzyme) aina ya ‘Papain’ ambacho hujulikana kwa uwezo mkubwa ilionao wa usagaji mzuri wa chakula tumboni,” anasema Dk. Cari Case mwandishi wa blog ya masuala ya afya.

Mwandishi huyo anaongeza kwa kusema kuwa papai limekuwa likitumika kama tiba tangu karne ya 18, lakini utafiti wa kisayansi haukugundua faida za papai hadi mwaka 1870 wanasayansi walipogundua kirutubisho cha ‘papain kilichomo kwenye papai na tangu wakati huo tafiti nyingi zimekuwa zikifanywa kuhusu faida za tunda hili na uwezo wa tiba iliyonalo.

MTINDI (YOGURT)

Hata kama wewe si mpenzi wa mtindi, jaribu kunywa na utaupenda, hasa uwezo wake wa kuondoa matatizo ya kujaa gesi tumboni pamoja na matatizo mengine. Mtindi mzuri ni ule ‘plain’ ambao haujachanganywa na ladha au vitu vingine kwa lengo la kuongeza ladha. Bakteria asilia waliyomo kwenye maziwa mtindi ndiyo hufanya usagaji wa chakula kuwa mwepesi.

Mwisho, ili kupata faida ya papai na mtindi kama ilivyoelezwa hapo juu, ni vizuri ukala mara kwa mara kama siyo kila siku, kabla au mara baada ya kula vyakula ambavyo vinaweza kukuletea shida tumboni, au ukaweka mazoea ya kula kila siku ili kuliweka tumbo lako katika hali salama.

Health Benefits Of Carrot Juice.

What makes Carrot Juice so nutritious is that it contains a large amount of beta-carotene, vitamins and potassium in it.



  • Improves Immunity And Controls Heart Diseases: Beta-carotene makes it a rich source of vitamin A. It also helps improve the immune system. The abundance of vitamin A in carrot juice can help improve your sight and the daily intake can prevent the onset of heart diseases and strokes (1). Vitamin A in addition keeps the lining of the internal organs healthy in order to prevent it from being infected by pathogenic organisms.
  • Reduces Cholesterol: Here comes an amazing benefit of carrot juice. The potassium present in carrot juice can reduce cholesterol levels (2). It is good for the liver as it reduces fat and bile in it. Potassium, along with manganese and magnesium stabilizes blood sugar level, thus helping to reduce the risk of diabetes.
  • Aids In Clotting Of Blood: Vitamin K present in carrot juice helps blood to clot.
  • Heals External Wounds And Gums: Vitamin C helps to heal wounds and keeps the gums healthy.
  • Prevents Cancer: It also acts like an anti-cancer agent. Increased intake of carotenoids in carrot juice has been said to decrease instances of bladder, prostate, colon and breast cancer  
  • Protein Building and Bone Health: Vitamin K, present in Carrot juice is essential for the protein building process in the body. It also helps in the binding of calcium that in turn leads to the faster healing of broken bones (4). Potassium present in carrot also helps to improve bone health.
  • Cleanses the Liver: Carrot juice cleanses and detoxifies the liver. Toxins in the liver are released from the system and excreted after regular consumption of carrot juice (5). The bloodstream cannot rid the body of toxins and bile through the kidneys. This has to be ejected from the skin. Carrot juice aids this process and ensures harmful bile is removed from the body. When the liver functions well, it prevents the accumulation of fat and aids in its rapid digestion, preventing weight gain and obesity.

Beauty Benefits Of Carrot Juice:

But for the women, carrot juice is not just about good health, but also about looking beautiful. Beauty benefits include:

  • Reduces Dryness And Scarring: Potassium helps reduce skin dryness and reduces scars and blemishes. It also gives life to your skin by improving the skin tone. It will also help improve hydration and thus keep your skin moisturized.
  • Prevents Acne: Since it is high in essential oils, it also helps prevent acne by detoxifying your body.
  • Source Of Vitamins Needed For Skin: This juice effectively acts as a vitamin supplement for your skin. It also contains so many healthy nutrients that it can reduce skin related problems like eczema which is caused by deficiency of vitamin A, dermatitis and rashes.
  • Controls Sun Damage: The beta-carotenoids which help in photosynthesis in plants, help reduce sunburn and also increase the skin’s resistance towards sun damage.
  • Fights Ageing: The beta-carotenoid when entering the body changes into vitamin A and reduces cell degeneration and thus slows down the aging of the body. It largely improves the amount of collagen in the skin and thus helps in maintaining elasticity and hence reducing the visible signs of aging like sagging skin and wrinkles, as collagen is what accumulates in our body and keeps it firm and healthy.
  • Hair Care: It also increases hair growth.
  • Nail Care: It also increases nail strength.

Carrot Juice For Prenatal Care:

Carrot juice is especially considered to be beneficial for prenatal care as it improves the health of the expectant mother and child.


  • Lactation: Carrot juice intake during pregnancy improves the quality of their breast milk, as it will be enriched in vitamin A. Since vitamin A helps in cell growth it is especially beneficial in fetal growth.
  • Prevents Infections In Unborn Child: When taken during the last 3 months of pregnancy, it reduces the chance of dangerous infections in the child.
  • Calcium Supply: It also acts as a very rich source of calcium.

Carrot Juice and Weight loss:

Definitely an eye catching topic among the uses for carrot juice! Carrot juice is extremely filling, and because of low calorie count, it is the best natural health drink for a person who is trying to lose weight. It contains a large amount of natural sugar, so you don’t have to add additional sugar to it. Juicing together carrot, apple, celery and cucumber is a very healthy recipe for a good weight loss drink.


  • Muscle Growth: Vitamin A helps our body to heal after a strenuous workout and aid in muscle growth. Phosphorous in carrot juice builds, repairs, and maintains muscle;
  • Increases Metabolism: Carrot Juice also contains a large amount of Vitamin B complexes which help in breaking down glucose, fat and protein. So it helps in building muscle, increasing our metabolism and thus helping in weight loss. Vitamin B complexes also help to reduce stress and depression, which usually holds back weight loss. Phosphorous in Carrot juice boosts the body’s metabolic rate; ensures optimal use of energy in the body and decreases pain after a workout.
  • Increases Oxygen Carrying Capacity: The amount of Iron in carrot juice can increase the oxygen carrying capacity of the body, thus helping us do more workouts to lose weight
  • Energy Consumption: Phosphorous helps the body to use up more energy while doing work.
  • Controls Sugar Levels: Magnesium and Manganese present in Carrot Juice can stabilize sugar levels and help to reduce weight due to diabetes.
  • Aids Digestion: Since carrot contains a large amount of fiber, it can help in digestion and makes you feel fuller for longer.
  • Cleanses the Body: Carrot juice cleanses the body and rids it of any toxins, aiding weight loss. Fresh raw carrot juice cleanses the digestive tract of toxins, waste, indigestible material, which in turn cures and prevents obesity.

How to Consume it Right?

It should be mentioned that although carrot is such a healthy vegetable, eating carrot as Halwa with loads of ghee, sugar, cashew and raisins cannot be considered healthy. No matter how healthy you say it is, it will never be as good as carrot juice with no added sugar and milk. Yes, No carrot milk either. But it’s just as yummy without the milk too. Many people love the natural taste of carrot juice, but you can also add other fresh juices, such as orange, lemon, ginger or mint to give it a different flavor. Juice of carrot and cinnamon together forms a very healthy antioxidant rich drink which can reduce cancer, high blood pressure and diabetes. It is said that drinking fresh carrot juice is better than eating it raw because the nutrient content will be even more concentrated in the juice. 

 Ensure you drink at least one tall glass of carrot juice each day to burn fat and get the fab, svelte body you have always yearned for! Get that glowing and beautiful skin you love! Do you drink juice as part of your weight loss regime? Is carrot juice a part of your diet? Do share with us in the comments section. 

Monday, August 24, 2015

Pata Elimu kuhusu Aina ya Mtoto unayetaka (Kike au kiume) au Mapacha kupitia Seminar na Dr. Fadhili Emily.

Hakika Elimu ni muhimu sana. The Fadhaget Sanitarium Clinic chini ya Dr. Fadhili Emily tunakukaribisha wewe unayehitaji mtoto kwa kadiri ya mahitaji yako. 
  •  Je unahitaji Mapacha?
  •  Unatafuta mtoto wa jinsia fulani labda wa kike au wa kiume?
  •  Je unapenda mwanao afanane na nani? (afanane na baba au mama sana).
Karibu katika seminar kubwa itakayofanyika jijini Dar es Salaam Tarehe 1 mwezi wa 9 mwaka huu. Katika Seminar hii Dr. Fadhili atatoa mafunzo na elimu na kufundisha mengi kuhusiana na hayo. Usikose seminar hiyo kwani utaweza kujifunza mengi kuhusiana na watoto mapacha, jinsia ya mtoto inavyopatikana na sayansi inasema nini kuhusiana na hayo. Kumbuka elimu hii ni muhimu kwani kuna wengi wamekuwa wakijitahidi bila mafanikio, lakini kwa kupitia tafiti salama ambazo zina viwango bora unaweza kufahamu mengi na kuweza kufanikiwa kutimiza ndoto zako hasa za mtoto na uzazi wa mpango salama kabisa.

Dr. Fadhili Emili akiwa na wanawe Mapacha.
Elimu kutoka kwa Dr Fadhili Emily imezalia matunda wengi ikiwemo yeye mwenyewe, na kama unavyoona kwenye picha akiwa na wanawe mapacha na wamefanana naye kabisa. Kupitia elimu yake nawe utaweza kuchagua mtoto na kupangilia uzazi vyema kwa jinsi unavyotaka wewe. 

Kwa kutumia kanuni tisa ambazo zinafundishwa katika kutimiza yote hayo, utaweza kufahamu hatua mbalimbali za kufuata na taratibu zake. Kanuni hizo unaweza kuzigawanya katika vipengele vitatu. 
  1. Kanuni tatu kabla ya Tendo la Ndoa,
  2. Kanuni tatu wakati wa Tendo la ndoa, na
  3. Kanuni tatu baada ya Tendo la Ndoa. 
Hatua zote hizi zenye kanuni tisa zitaelekezwa vyema na kwa kutumia utafiti wa kisayansi wenye mafanikio asilimia mia moja utaweza kupangilia watoto kadiri ya mahitaji yako.

Usikose seminar hiyo kwani utafahamu mengi zaidi. Karibu sana.

Tuesday, August 11, 2015

Sababu 10 Za Kunywa Maji Mengi.

Maji Safi na Salama ni Bora kwa Afya yako.

Wengi hutambua kuwa maji ni muhimu sana katika Afya zetu. Imeshauriwa watu wajitahidi kunywa maji mengi kwa manufaa ya afya zao.

Kuna faida mbalimbali zinapopatikana kwa kunywa maji ya kutosha:


1. Inaboresha muonekano wa Ngozi yako. Matumizi ya maji ya kunywa inaongoza kuboresha maisha ya seli, moisturize ngozi kutoka ndani, inaboresha yake elasticity na kuzuia ukavu.

2. Kuondosha sumu kutoka kwenye maji ya mwili husaidia kuondoa sumu kutoka kwa njia ya utumbo. Inajulikana kuwa figo ni ya asili "filter" ya mwili na kwamba uwezo wao wa moja kwa moja hutegemea kiasi kunywa.

3. Hupunguza hatari ya mashambulizi ya moyo. Utafiti wa hivi karibuni ilionyesha kuwa watu ambao kunywa angalau

5. Glasi ya maji wazi siku itapungua hatari ya mashambulizi ya moyo ikilinganishwa na wale ambao kunywa glasi mbili za maji kwa siku.

4. Ni "grease" kwa ajili ya viungo, misuli na maji - nyenzo ya msingi kwa ajili ya malezi ya kioevu maalum, ambayo ni aina ya "lubricant" kwa ajili ya viungo yako na misuli. Wanamichezo (Hasa wale ambao wanajitolea kwa michezo nguvu) kwa muda mrefu inayojulikana kuwa kukosekana kwa maji katika mwili inaongoza kwa mkazo wa misuli. Hata kama wako Marafiki na mchezo ni kupunguzwa kwa mazoezi kila siku asubuhi, kumbuka kwamba ili kuzuia misuli ya tumbo lazima kunywa maji kabla, wakati na baada ya zoezi.

5. Kutayarisha nishati na wastani wakati wa siku mtu kupoteza kuhusu 10 (!) Glasi ya maji (wakati wa mchakato wa jasho, kupumua, kwenda haja ndogo na defecation). Hata kidogo upungufu wa maji mwilini unaweza kusababisha hasara ya mkusanyiko, kuwashwa, kuumwa kichwa, na uchovu. Maji ni muhimu kwa mwili kufanya kazi vizuri. ngazi ya oksijeni katika mzunguko wa damu unategemea kiasi cha maji ya kunywa na sisi. oksijeni zaidi ni zilizomo katika mwili, mafuta zaidi kwa kuchomwa moto kwa ajili ya nishati. Kwa kiasi kidogo cha oksijeni mwili hauwezi "Nia ya" mafuta na kugeuka kuwa nishati. Watafiti wamethibitisha
kuwa maji ni required kama kwa utendaji mzuri wa ubongo.

6. Inasaidia. Kasoro ya mfumo wa maji si tu kuzuia kuvimbiwa lakini pia kushiriki katika mchakato wa digestion na malezi ya athari za kemikali kwamba mchakato. Wanga na protini ili mwili wetu anatumia kama nguvu kufyonzwa na kusafirishwa katika mzunguko wa damu na maji. Kutumia huo maji taka ni excreted kutoka mwili (mchakato kukojoa).

7. Hupunguza hatari ya magonjwa na maambukizi. Ukosefu wa maji katika mwili unaweza kusababisha ugonjwa hatari - sugu upungufu wa maji mwilini seli. Chembechembe za mwili daima hupoteza kiasi haki ya maji, ambayo inaongoza Kupungua kwa nguvu zao na kufungua njia ya mbalimbali magonjwa kutokana na kupungua kwa jumla katika kinga.

8. Inasimamia joto Inasimamia maji mwili "baridi mfumo" wa mwili. Baada ya mafunzo ya kina michezo kuanika na wanariadha sweaty mara nyingi mashambulizi kinachojulikana "Sports" vinywaji. Hata hivyo, wataalam wengi wanakubaliana kwamba maji Kama thermostat "kazi" bora kuliko gazirovok sana kutangazwa na sukari. Wewe d kushangaa, lakini maji - ni madini ambayo
inahitaji mwili kwa kiasi kubwa. Kutoka 55% till 75% na uzito wa wastani watu wazima ni maji tu, ambayo ni kushiriki katika mchakato thermoregulation.

9. Nzito mafuta na "sculpts" mpya misuli Kama ilivyoelezwa. Hapo juu, upungufu wa maji mwilini husababisha kupunguza chini ya protini awali, ambayo ni kubwa mno muhimu kwa ajili ya mchakato wa uundaji wa misuli. mchakato wa kuundwa kwa misuli mpya kitambaa - nishati kubwa. chini kalori kuchomwa moto na akageuka katika nishati kujenga misuli mpya, kalori zaidi "vua" katika mwili katika hali ya ziada ya mafuta.

10. Inaboresha afya kwa ujumla wa uundaji wa jadi. GP, mikononi katika kitanda au mafua ya ARI - "na
mengi ya kunywa maji maji "- wanapaswa kutibiwa kwa uzito mkubwa. Maji husaidia kudhibiti joto, maji maji ya mwili replenishing waliopotea na kamasi kuonyesha. 

 Maji - sehemu muhimu ya maisha yetu. Jaribu kunywa maji mengi kabla, wakati na baada ya zoezi la hali ya hewa ya joto, chini ya unyevu, wakati kwa urefu juu ya usawa wa bahari, kupitia kichefuchefu, kuharisha, na kuongezeka kwa joto la mwili. Hata hivyo, ni muhimu kukumbuka kwamba mwili ni uwezo wa kunyonya juu ya mililita 120 za maji kila baada ya dakika 10, hivyo si overdo hiyo. Mafunzo kwa moja mwenyewe kwa kunywa glasi ya maji kila saa.

Tuesday, August 4, 2015

Risks to Children and The Rate of Radiations From Mobile Phones

Child and Mobile use. 

The fastest growing group of mobile phone users are children and young people. This growth is actively encouraged by professional advertising campaigns from the mobile phone industry, extolling how indispensable the phones are to their lifestyles. They have really gone out after the young people with prepay cards and colored handsets. Phone makers often present their products in adverts as essential "back to school" items for children. This advertising blitz was produced by the same transnational public relations corporations that previously gave us such delightful cartoon characters as "Joe Camel" for the tobacco industry, and no words of warning are heard. However, within the scientific community, there is a growing chorus of expert voices that are urging caution because, if there are adverse health effects from mobile phone use, it will be the children who will be in the front line and who may pay the highest price. For the sake of the future of our children's health, we need to heed these voices seriously and limit children's unnecessary use of mobile phones. Children may be more vulnerable because of their developing nervous systems, the greater absorption of energy in the tissues of the head, and a longer lifetime of exposure. Children are more sensitive to microwaves than adults; they absorb microwaves at 3.3 times the rate of adults. While some manufacturers target children for cell phone sales, cell phone radiation penetrates the skulls and brains of kids more deeply than adults, and this radiation might cause tumors or otherwise affect a developing brain.


Children are more vulnerable because of their developing nervous system, the greater absorption of energy in the tissues of the head, and a longer lifetime of exposure.


Absorption of microwaves of the frequency used in mobile telephony is greatest in an object about the size of a child's head, the so-called head resonance, while in consequence of the thinner skull of a child, the penetration of the radiation into the brain is greater than in an adult. Children's brain wave patterns are abnormal and stay like that for a long period. This could affect their mood and ability to learn in the classroom if they have been using a phone during break time, for instance, leading to things like a lack of concentration, memory loss, inability to learn and aggressive behavior. The still-developing nervous system and associated brainwave activity in a child are more vulnerable to aggression by the pulses of microwaves used in these devices than is the case with a mature adult. This is because the multi-frame repetition frequency of 8.34 Hz and the 2 Hz pulsing that characterizes the signal from a phone equipped with discontinuous transmission (DTX) lie in the range of the alpha and delta brainwave activities, respectively.


Phone radiations to the brain.
The fact that these two particular electrical activities are constantly changing in a child until the age of about 12 years, when the delta waves disappear and the alpha rhythm is finally stabilized, means that they must both be anticipated to be particularly vulnerable to interference from the pulsations. The increased mitotic activity (cell division) in the cells of developing children makes them more susceptible to genetic damage. A child's immune system, whose efficiency is, in any case, degraded by radiation of the kind used in mobile telephony, is generally less integrates than that of an adult, so the child is less able to cope with any adverse health effect provoked by chronic exposure to such radiation. Scientists have discovered that a call lasting just two minutes can alter the natural electrical activity of a child's brain for up to an hour afterwards. They also found for the first time how radio waves from mobile phone penetrate deep into the brain and not just around the ear.

Doctors fear that disturbed brain activity in children could lead to psychiatric and behavioural problems or imair learning ability.

By. Dr. Fadhili Emily 

Sunday, July 19, 2015

KUTOKUPEVUKA KWA MFUMO WA UZAZI (HYPOGONADISM)



Hali hii hutokana na viungo vya uzalishaji wa vichocheo vya uimarishaji uzazi kwa mwanamke na mwanaume kutofanya kazi. Viungo au glandi hizi ni korodani kwa mwanaume na ovari kwa mwanamke.

CHANZO CHA TATIZO
Tatizo hili linaweza kuwa linatokea tangu kuzaliwa au linatokea katika mfumo mzima wa mwili. Kwa tatizo la kuzaliwa nalo, korodani au vifuko vya mayai huwa havifanyi kazi ya kuzalisha vichocheo au homoni zinazohitajika ambapo kwa korodani huzalisha homoni za kiume na ovari huzalisha homoni za kike.

Vyanzo vya matatizo ni kama vile:-
-Matatizo katika mfumo wa kinga mwilini,
-Matatizo katika mfumo wa vinasaba.
-Matatizo ya Ini na Figo.

-Mionzi iwe ya X-ray au viwandani.
-Upasuaji wa kuondoa korodani zote mbili au ovary zote mbili.
Matatizo ya vinasaba yanayotokea kwa wanawake huitwa ‘Turner syndrome’ na kwa wanaume huitwa ‘Klinifelter Syndrome’.

Katika matatizo mengine ya ‘hypogonadism’ mfumo wa ubongo unaohusisha pituitary na Hypothalamus ambazo hudhibiti utolewaji wa homoni mwilini huwa haufanyi kazi vizuri hivyo husababisha matatizo ya mfumo wa mwili na uzazi ambapo vyanzo vikuu vinaweza kuwa;-

-Endapo mama mjamzito wakati wa kujifungua akatokwa na damu nyingi sana na ikija kukata inakata moja kwa moja, yaani hapati tena siku zake na uwezo wa kuzaa unapotea.-Matumizi holela ya dawa zenye ‘steroids’, mfano krimu za kufanya ngozi hasa ya uso ing’ae, kubadilisha rangi ya ngozi au kutuliza miwasho ya ngozi pamoja na matumizi ya dawa za kulevya pia huathiri kwa kiasi kikubwa mfumo wa uzazi.

-Matatizo haya pía yanaweza kuwa ya kurithi endapo kwenye ukoo wenu wapo watu wenye matatizo katika mfumo wa uzazi wa aina hii.-Maambukizi, hasa virusi wa aina yoyote yanaweza kuathiri mfumo wa uzazi.
-Lishe duni hasa kwa watoto wanaokaribia balehe huweza kuwadumaza na aidha kutobalehe au kuchelewa kubalehe na kuonekana bado wadogo pamoja na umri kwenda.

-Kuwa na madini mengi ya chuma mwilini, na hili linategemea na mazingira ya kuishi na vyakula au vinywaji hasa kwa mama mjamzito na watoto.-Mionzi ya X-ray ya mara kwa mara na mionzi ya viwandani.
-Kupungua uzito kwa kasi au kujipunguza uzito sana, kwa mwanamke anaweza kupoteza siku zake au asivunje ungo, hivyohivyo kwa mwanaume hudumaa viungo vyake vya uzazi.

-Upasuaji wa viungo vya uzazi kama tulivyozungumza hapo awali.
-Kuumia korodani utotoni au hata katika umri wa ujana.-Uwepo wa uvimbe kwenye korodani au vifuko vya mayai ambao ni saratani.

Matatizo haya husababisha mtu asikue aonekane bado mdogo hata kama umri unaenda. Mwanaume mwenye tatizo hili linaweza kwenda mbali zaidi na kupoteza uwezo wa kunusa harufu ya aina yoyote.

DALILI ZA TATIZO
Dalili hizi zinatusaidia kufahamu kama tuna matatizo haya au la, au watoto, wadogo zetu na ndugu zetu wanaweza kuwa na matatizo haya. Mara nyingi tumezoea kuona watu wenye matatizo haya na kuwaita wamedumaa au vijeba.

Dalili kwa mtoto wa kike ambaye hajavunja ungo, utamwona bado ni mtoto yaani habadiliki yupo vilevile tangu alipokuwa na umri wa miaka kumi hadi anafikisha ishirini, matiti hayakui, urefu haongezeki. Kama tatizo likitokea baada ya kuvunja ungo huhisi joto muda wote hata kama kuna baridi, nywele sehemu za siri na makwapani hupuputika zenyewe, hupoteza hamu ya tendo la ndoa kabisa na haendelei tena kupata siku zake na kufunga hata zaidi ya mwaka.

Friday, July 17, 2015

Utafiti wa Jinsi Mbu anavyoweza Kutafuta Chakula Chake.

Mbu

Utafiti mpya umebaini kwamba mbu hutafuta kitu cha kula kwa kutumia vigezo vitatu,
  1. Harufu, 
  2. Macho na 
  3. Joto.
Utafiti huo unasema kuwa mbu anaweza kufahamu aliko mwanadamu kupitia hewa ya kaboni ambayo watu hupumua nje. Inasemekana mbu hunusa hewa hii kiasi cha mita 50. Wanasayansi wamesema kwamba walimfuatilia mbu mwenye njaa, ndani ya mtaro uliofunikiwa. Kisha waligundua kwamba mbu hao walianza kunusa nusa hewa ya kaboni, na kutema mapovu yenye matone meusi yaliowekwa na watafiti hao sakafuni.

Imebainika kwamba wakati mbu yuko mita chache karibu na kile anacholenga, huvutiwa sana na joto. Hii imebainisha kwamba hata hufuata joto hilo na kisha kumshambulia mwanadamu. Huenda ukapata Malaria au ukaponea lakini utakua na vipele pale vya mbu anapokuuma.

Sehemu za Mbu

Wednesday, July 15, 2015

Technology and It's Hazardous on Health.

It's hard to imagine life without cellphones, BlackBerrys and WiFi. But some people believe the technology that makes modern life so convenient may be hazardous to our health.



Mobile communications devices, along with microwave ovens, power lines, cellphone towers and wireless base stations, generate electromagnetic fields, a form of low-frequency radiation. EMFs have been studied as a possible factor in conditions from cancer to cognitive damage, particularly in teenagers and children, who have thinner skulls and still-developing brains.

A 2003 report from Lund University in Sweden found that rats at the development level of human teenagers experienced brain damage after being exposed to normal cellphone radiation; several recent studies have linked cellphone use to male reproductive damage and sleep disturbances in humans.
"There are enough scientific data to indicate that one should limit direct exposures to cellphone radiation," says Henry Lai of the University of Washington in Seattle, a leading researcher on the subject. "Much less is known on biological effects of wireless Internet systems, and exposure of radiation from these devices are much lower than that from cellphones. If exposure to cellphone radiation does turn out to be a health hazard, as present evidence suggests, then wireless Internet would be like passive smoking."



The World Health Organization and the National Institute of Environmental Health Sciences have classified ultra-low-frequency waves from power lines as possible carcinogens. But the WHO's Web site also states: "Considering the very low exposure levels and research results collected to date, there is no convincing scientific evidence that the weak RF [radio frequency] signals from base stations and wireless networks cause adverse health effects."

World Health Organization headquarters (W.H.O) at Geneva, Switzerland.

Not every scientist is convinced there's a problem. Many studies have found no definitive connection between cellphone and wireless Internet EMFs and health problems, and proponents of the technology point out that humans have transmitted long-range radio broadcasts for decades with no apparent problems.

Some people aren't taking any chances. Ontario's Lakehead University banned WiFi on campus because of its suspected health risks. A parents' group in Oak Park, Ill., filed suit against the school district in 2003 to prevent wireless Internet from being installed in schools, although the suit was later withdrawn.

Should you be concerned? The jury's still out. Unfortunately, there isn't much you can do to escape EMFs, though you can limit your use of cellphones and wireless devices, use headsets when possible and avoid living near power lines and cellphone towers.

And stay tuned for updates. Because mobile-phone and wireless technology is fairly new, studies examining the long-term effects of the devices are still underway.

-- Eviana Hartman


Learn How to Protect Yourself from harmful Radiation
Emitted by your Cell Phone, Cell Towers, and Wireless
Radiation. Click here Now
www.emfnews.org

Research Center For Wireless Technology
355 Hukilike Street Suite 206
Kahului,HI 96732
USA
Unsubscribe | Change Subscriber Options

The Fadhaget Sanitarium Clinic Ni Namba Moja Nchini kwa Matibabu Kamili ya Uzazi na Magonjwa Sugu.


Sasa The Fadhaget Sanitarium Clinic tumefanikiwa kuingia katika Namba ya kwanza nchini Tanzania kwa Kuwasaidia kikamilifu wanawake wanaotafuta uzazi. Riport zilizotufikia Asilimia 90% ya waliofika wakisumbuliwa na 

  1. Uvimbe wa kizazi,
  2. Kuziba kwa Mirija ya Uzazi, na
  3. Ugumba au kutokushika Mimba.
Wamerudisha taarifa nzuri kuwa wamefanikiwa kupitia dawa Zetu zitokanazo na Sayansi ya mimea Asilia. 

The Fadhaget Sanitarium Clinic Ni Kitengo cha Sayansi Ya Tiba Asilia Ambapo kwa Hakika tunahusika na Kutibu Maradhi Karibia Yote Hasa yale yaliyo Sugu kama vile 

  • Vidonda vya tumbo
  • Maumivu ya Chembe ya moyo
  • Kiungulia
  • Kutopata choo
  • Kutapika au kupata choo yenye Damu.
  • Matatizo ya Uzazi kwa Akina mama
  • Uvimbe wa Kizazi
  • Muambukizo katika via vya Uzazi kama vile Kuwashwa ukeni
  • Kutokwa na uchafu Mweupe wa harufu mithili ya Maziwa ya Mgando ukeni
  • Kutopata hamu ya Tendo la ndoa
  • Kuziba kwa Mirija ya Uzazi
  • Maelekezo kuzaa Mtoto jinsia unayoitaka.
  • Kupata maumivu makali chini ya kitovu au kiuno kuuma wakati wa Hedhi
  • Upungufu wa nguvu za kiume
  • Malaria Sugu
  • Kisukari
  • Figo na Uchafu wa mkojo kwa Ujumla
  • U.T.I Sugu
  • Magonjwa ya watoto (Watoto chini ya Miaka 5 hutibiwa bure)
  • Matatizo ya Arthima yaani Pumu
  • Miguu kufa Ganzi Miguu kuwaka Moto Miguu kuvimba na Kuuma Na Dalili nyingine nyingi Za Hatari kiafya. 

Kumbuka The Fadhaget sanitarium Clinic ni watu wa Jamii utakapo wafikia Utaweza kumuona Dr. Bure Ushauri ni Bure Vipimo Vyote ni Bure isipokuwa Kipimo cha Computer ndicho Utachangia Shilingi elfu 25 tu Karibu The Fadhaget Sanitarium Clinic Kwa Vipimo na Tiba

Tupigie kwa Ushauri 0757931376 au 0712705158 au 0787705158 au 0757505158 Utakutana na Dr.Fadhili Emily Mtaalam wa Tiba Asilia nchini Tanzania.

Dr Fadhili Emily

Sunday, July 12, 2015

A New Study Shows That Use of Mobile Phones Could Cause Cancer.

Weizmann Institute of Science in Rehovot
A new study published by New Scientists states that the use of mobile phones for a long duration could eventually cause cancer.


The study which was conducted by Weizmann Institute of Science in Rehovot, Israel revealed that using the mobile phone for a meager five minutes could generate cell growth or division through particular pathways that are often used by cancer only.

Prof Rony Seger
Prof Rony Seger from the Weizmann Institute along with his colleagues exposed rat and human cells to electromagnetic radiation of 875 megahertz, which is similar to that emitted by cell phones, but at only about one tenth of the power.



Just within five minutes of exposure to the radiation ended up in the generation of extra-cellular signal-regulated kinases (ERK1/2) - natural chemicals that stimulate cell division and growth.

Since the power is low, thereby not being able to produce considerable amount of heat to affect the cells or tissue, the effect was believed to come from the radiation itself, as per the researchers.

Prof Seger stated, "The real significance of our findings is that cells are not inert to non-thermal mobile phone radiation. We used radiation power levels that were around one tenth of those produced by a normal mobile. The changes we observed were clearly not caused by heating."

The pathways involving extracellular signal-regulated kinases ERK1/2 even though they exist naturally are often used by cancer. ERK1/2 is a naturally occurring chemical that stimulates cell division and growth. Even though activation of these pathways does not always lead to the development of cancer, the effect of the cell phone radiation may perhaps in the long run increase the risk.

In that case one wonders how are there yet so many people on the face of this earth. If such less mobile phone talking can lead to so much damage, then perhaps the earth should be a much emptier place.

Learn How to Protect Yourself from harmful Radiation
Emitted by your Cell Phone, Cell Towers, and Wireless
Radiation.

www.emfnews.org

Research Center For Wireless Technology
355 Hukilike Street Suite 206
Kahului,HI 96732
USA

Kuzuia na Kudhibiti Kupanda Kwa Shinikizo La Damu.

Shinikizo la damu ni msukumo wa damu kwenye kuta za mishipa. Shinikizo la damu laweza kupimwa kwa ukanda wa mpira unaoweza kujazwa hewa. Ukanda huo hufungwa kwenye sehemu ya juu ya mkono na kuunganishwa na kifaa cha kurekodi shinikizo. Kifaa hicho hurekodi vipimo viwili. Kwa mfano, chaweza kurekodi kipimo cha 120/80. Nambari ya kwanza huonyesha kipimo cha shinikizo la damu wakati moyo unapopiga (systole). Nambari ya pili huonyesha kipimo cha shinikizo la damu katikati ya mapigo ya moyo (diastole). Shinikizo la damu hupimwa kulingana na milimeta za zebaki. Madaktari husema kwamba shinikizo la damu ya mgonjwa limepanda wakati kipimo kinapozidi 140/90.
Nini hupandisha shinikizo la damu? Hebu wazia unamwagilia shamba lako maji. Unapofungua mfereji au unapopunguza ukubwa wa shimo la mfereji, unaongeza shinikizo la maji. Ndivyo ilivyo pia na shinikizo la damu. Shinikizo la damu hupanda wakati damu nyingi inapopita mshipani au wakati mshipa unapokuwa mwembamba. Mtu hupataje ugonjwa huo? Mambo mengi yanahusika.

Mambo Usiyoweza Kuepuka
Watafiti wamegundua kwamba iwapo mtu ana watu wa familia wenye tatizo la kupanda kwa shinikizo la damu, basi anakabili uwezekano mkubwa zaidi wa kupata ugonjwa huo. Takwimu zinaonyesha kwamba mapacha wanaofanana hupata ugonjwa huo zaidi ya mapacha wasiofanana. Uchunguzi mmoja ulizungumza juu ya “kuchunguza habari zinazopatikana katika chembe za urithi ambazo husababisha tatizo la kupanda kwa shinikizo la damu.” Hiyo inathibitisha kwamba kuna chembe za urithi zinazosababisha tatizo la kupanda kwa shinikizo la damu. Inasemekana kwamba uwezekano wa kupata tatizo hilo huongezeka mtu anapozidi kuzeeka, na kwamba wanaume weusi wanakabili uwezekano mkubwa zaidi wa kupata ugonjwa huo.

Mambo Unayoweza Kuepuka
Tilia maanani lishe bora! Shinikizo la damu ya watu fulani linaweza kupanda wanapokula chumvi (sodiamu). Hiyo inahusu hasa wagonjwa wa kisukari, watu ambao shinikizo la damu yao hupanda sana, wazee, na watu fulani weusi. Mafuta mengi katika damu yanaweza kufanyiza utando wa kolesteroli kwenye kuta za ndani za mishipa. Hivyo, mishipa huwa myembamba na shinikizo la damu huongezeka. Watu ambao ni wazito kupita kiasi kwa asilimia 30 wanaweza kupata tatizo la kupanda kwa shinikizo la damu. Uchunguzi mbalimbali unaonyesha kwamba kula vyakula vingi vyenye potasiamu na kalisi kwaweza kupunguza shinikizo la damu.

Uvutaji wa sigara unaweza kusababisha utando mgumu wa mafuta kwenye kuta za mishipa, ugonjwa wa kisukari, mshtuko wa moyo, na kiharusi. Kwa hiyo, mvutaji wa sigara aliye na tatizo la kupanda kwa shinikizo la damu anaweza kupata magonjwa ya moyo. Ijapokuwa uthibitisho unapingana, mfadhaiko na kafeini—inayopatikana katika kahawa, chai, na vinywaji vya kola—yaweza kusababisha tatizo la kupanda kwa shinikizo la damu. Kwa kuongezea, wanasayansi wanajua kwamba kunywa kileo mara nyingi na kupita kiasi na kutofanya mazoezi kwaweza kuongeza shinikizo la damu.

Kutunza Afya
Si jambo la busara kungoja hadi upate tatizo la kupanda kwa shinikizo la damu ndipo uanze kuchukua hatua zinazofaa. Mtu anapaswa kutunza afya toka anapokuwa kijana. Kutunza afya sasa kutafanya maisha yako yawe mazuri wakati ujao.

Mwafikiano wa Tatu wa Brazili Kuhusu Kupanda kwa Shinikizo la Damu ulionyesha mabadiliko fulani maishani ambayo yanaweza kupunguza tatizo hilo. Madokezo hayo yatawasaidia watu wasio na ugonjwa huo na wale wanaougua ugonjwa huo.

Watafiti walipendekeza kwamba watu walionenepa kupita kiasi wanapaswa kula lishe kamili isiyo na kalori nyingi, kufanya mazoezi ya kiasi kwa ukawaida, na kuepuka mbinu za kupunguza uzito haraka. Walipendekeza kwamba watu watumie gramu sita tu za chumvi au kijiko kidogo tu cha chumvi kila siku.* Hiyo inamaanisha kutumia kiasi kidogo tu cha chumvi wakati wa kutayarisha mlo, na pia kutokula sana vyakula vinavyouzwa makoponi, nyama baridi zilizopikwa (salami, hemu, soseji, na kadhalika), na vyakula vilivyokaushwa kwa moshi. Mtu anaweza kupunguza matumizi yake ya chumvi kwa kuepuka kuongeza chumvi anapokula na kwa kuchunguza vibandiko vilivyowekwa kwenye makopo ya vyakula vilivyotengenezwa viwandani ili kuona kiasi cha chumvi ambacho kimetumiwa.

Vilevile, Mwafikiano wa Brazili ulidokeza kula vyakula vingi vyenye potasiamu kwa kuwa vinaweza “kuzuia kupanda kwa shinikizo la damu.” Kwa hiyo, lishe bora yapaswa kuhusisha “vyakula vilivyo na chumvi kidogo na potasiamu nyingi,” kama vile maharagwe, mboga za kijani iliyokoza, ndizi, matikiti, karoti, viazi-sukari, nyanya, na machungwa. Ni muhimu pia kutokunywa kileo kupita kiasi. Watafiti fulani wanasema kwamba wanaume walio na ugonjwa wa kupanda kwa shinikizo la damu hawapaswi kunywa zaidi ya mililita 30 za kileo kila siku; wanawake na vilevile watu ambao si wazito sana hawapaswi kunywa zaidi ya mililita 15 za kileo.*

Mwafikiano wa Brazili ulikata shauri kwamba kufanya mazoezi ya mwili kwa ukawaida hupunguza shinikizo la damu na hupunguza uwezekano wa kupata ugonjwa wa kupanda kwa shinikizo la damu. Kuna faida kufanya mazoezi kwa kiasi kama vile, kutembea, kuendesha baiskeli, na kuogelea, kwa siku tatu hadi tano kila juma kwa muda wa dakika 30 hadi 45.* Mambo mengine yanayochangia afya bora yanatia ndani kuacha kuvuta sigara, kudhibiti ugonjwa wa kisukari na kiasi cha mafuta katika damu (kolesteroli na triglyceride), kula vyakula vyenye kalisi na magnesi ya kutosha, na kuepuka uchovu na kufadhaika kupita kiasi. Dawa fulani zaweza kuongeza shinikizo la damu, kama vile dawa za kuzibua pua, dawa za kutuliza kiungulia zilizo na sodiamu nyingi, dawa za kudhibiti hamu ya kula, na dawa za kumaliza maumivu ya kichwa na kichefuchefu zilizo na kafeini.

Kwa wazi, iwapo shinikizo la damu yako hupanda, daktari wako anaweza kukushauri kuhusu lishe na mazoea yako kulingana na mahitaji yako binafsi. Hata hivyo, kutunza afya tangu ujanani ni jambo lenye manufaa kwa watu walio na tatizo la kupanda kwa shinikizo la damu na kwa washiriki wote wa familia. Marian, aliyetajwa mwanzoni mwa makala hii, alilazimika kufanya mabadiliko maishani mwake. Ijapokuwa yeye ni mgonjwa, sasa anatumia dawa na anafurahia maisha. Vipi wewe? Endelea kudhibiti shinikizo la damu yako huku ukisubiri wakati ambapo watu wote watakuwa na afya bora na “hapana mwenyeji atakayesema, Mimi mgonjwa.”—Isaya 33:24.

KUPAMBANA NA UGONJWA WA KUPANDA KWA SHINIKIZO LA DAMU

1. Mambo Yanayoweza Kusaidia Kudhibiti Kupanda kwa Shinikizo la Damu

• Punguza uzito wa mwili
• Punguza kiasi cha chumvi unachotumia
• Kula vyakula vingi vyenye potasiamu
• Usinywe sana vileo
• Fanya mazoezi kwa ukawaida

2. Mambo Mengine Yanayoweza Kusaidia Kudhibiti Shinikizo la Damu
• Tumia vidonge vyenye kalisi na magnesi
• Kula vyakula vyenye makapi mengi tu
• Dhibiti mfadhaiko

3. Madokezo ya Ziada
• Acha kuvuta sigara
• Dhibiti kiwango cha kolesteroli mwilini
• Dhibiti ugonjwa wa kisukari
• Usitumie dawa zinazoweza kuongeza shinikizo la damu

Wednesday, July 8, 2015

Mtanzania mwenzangu, Tambua Matunda na Faida Zake.

The Fadhaget Sanitarium Clinic ikiongizwa na Dk. Fadhili Emily inapenda kukujuza kidogo faida za matunda mwili mwako. Karibu


Dk. Fadhili Emily

AFRIKA imejaaliwa mimea, madini, rutuba na hali ya hewa safi, ikiwa ni urithi tangu enzi na enzi. Pamoja na bara hili kujaa vyakula vyote vinavyohitajika na wanadamu, bado uhai wa watu wake wengi ni mfupi.

Katika orodha ya wastani wa maisha iliyowahi kutolewa na Shirika la Ujasusi Marekani (CIA) na Umoja wa Mataifa (UN) mwaka 2011, nchi zinazoongoza kwa maisha marefu ni Japan. Wajapani wanaishi hadi miaka 90 na kuendelea, Ulaya, Marekani na China kati ya 75 hadi 90, nchi za bara Asia mathalan India wanaishi miaka 65 na Tanzania ikiwekwa katika wastani wa miaka 50 hadi 53.
Wajapani wanasifika kwa kula vyema, hawali vyakula vyenye mapishi ya mambo mengi, ulaji wao ni mdogo mdogo, wa mara kwa mara, hawajazi sana matumbo na siri yao kubwa ni ulaji wa vyakula ambavyo husaidia kukarabati na kuhifadhi mwili, ikiwemo mimea ya baharini. Mmea mkubwa ambao Wajapani uhutumia unaitwa Kombu ambao unachemshwa na kutumia maji yake kwa kupikia mchuzi, chai na uji.

Moja ya faida ya Kombu ni kukinga na kuuponyesha mwili kutokana na maradhi, kuongeza nguvu za nywele, ngozi na maisha na ndiyo sababu hasa wataalamu wanaeleza kuwa ni nadra kumwona Mjapani asiyekuwa na nywele nyingi.

Vitu vinavyosaidia mwili
Mbegu mbichi za maboga zina faida sana mwilini; kwa kutoa mafuta asilia yasiyodhuru moyo, kutoa kinga ya maradhi, ujenzi na kukarabati ngozi, mifupa, kucha, nywele, kuupa mwili nguvu za rijali. Kiafya kila mtu anatakiwa ale matunda ya aina tano kwa siku ili kupata faida zote mwilini. Matunda humeng’enywa kwa vimeng’enyo tofauti na vyakula mama kama wanga na protini. Faida kuu za matunda ni kuzuia maradhi, kurutubisha, kinga ya mwili, sukari, nguvu na mafuta asilia. Faida nyingine ni madini na vitamini mbalimbali yanayosaidia kujenga, kukarabati na hata kuzuia bakteria na maadui wakubwa wakubwa wa miili.

Cherry
Tunda la ‘Cherry’ hupendwa sana na ndege na lina faida nyingi ambazo husaidia kupambana na maradhi yanayosakama damu au mzungunguko wa maji mwilini kama Jongo. Jongo ni ugonjwa unatokana na kurithi, kunywa sana pombe, ulaji wa nyama nyekundu, mayai, kutofanya mazoezi. Ni muhimu kuzingatia kwamba matunda yanatakiwa kuliwa yakiwa katika kitengo kimoja yaani chachu, asidi au alkali.

Matunda yenye chachu ni embe, nanasi, chungwa, zabibu na kiwi na kwa upande wa matunda yenye alkali ni tikiti maji, ndizi mbivu, tufaha, pera na strawberry. Faida za matunda haya ni kinga ya magonjwa. Husaidia kukinga na kupambana na takataka zinazotolewa na mwili au zinazotoka katika mazingira machafu. Vitamin C ni muhimu sana mwilini kwani ukosefu wake husababisha uchovu, kukosa usingizi, uvivu, kutokuwa na hamu ya kula.

Ukila matunda yenye vitamin C unapata kinga ya majeraha mwilini, vidonda hupona haraka, huboresha wajihi, haiba na nafsi ya ngozi, mifupa, meno na mzunguko mzima wa damu mwilini, hivyo kusaidia usingizi na kwa watoto kusaidia kukua vizuri. Lakini kwa tunda kama papai linasaidia kuukinga mwili na kulainisha tumbo ndiyo maana kama mtu amevimbiwa au haendi haja kubwa sawasawa, akila papai humsaidia.

Tuesday, July 7, 2015

Njia Rahisi 10 za Kupunguza Unene, Zingatia Haya.

 

UTANGULIZI.
Ugali kwa samaki; mboga ya majani ya matango kwa nyanya. Usiweke chumvi kwenye hiyo mboga mbichi ya majani.


Ni makala muhimu sana. Wastani wa maisha ya Mtanzania ( na Waafrika wengi) hata wale waliosoma au wanaojiweza kiuchumi ni miaka 40-50. Kati ya sababu kuu zinazopunguza uhai wetu ni afya, unene na kutojua kujiangalia vyema afya zetu.


1-ULAJI
Ipo mifumo miwili ya kula. Chakula unachokula na namna unavyokila.

Unavyokula.
-Kuna kula vyakula vidogo vidogo vyenye madini, vitamini, mafuta nk mara nyingi kwa siku; au kula milo michache (mmoja au miwili) mikubwa ili kujaza tumbo. Ulaji mdogo mdogo husaidia afya na kuingia mwilini vyema kuliko ulaji mkubwa wa mara chache.

Tumbo lina musuli zinazofanya kazi kama mashine au mnyama. Gari likijaa sana hupata taabu kwenda. Punda hivyo hivyo. Ulaji mdogo mdogo unaosambazwa mara kadhaa kwa siku ni bora maana mwili unachambua kila kitu kwa wepesi na haraka. Unapokula milo michache mikubwa unapalilia zaidi mafuta mwili.

PENDEKEZO la kwanza.
Asubuhi, kunywa maji kwanza, matunda, kisha ndiyo chai na vitu vingine kama mkate au maandazi). Wapo wanaodai kwamba wanakula matunda na mboga.
Tatizo ni kwamba mipangilio yao huwa ya makosa. Mathalan wengi hula matunda baada ya chakula.

Vimeng’enya chakula (enzymes) tumboni hufanya kazi namna tofauti. Mathalan vile vinavyonyambua matunda ni tofauti na vinavyomeng’enya vitu vigumu zaidi kama nyama au wanga. Matunda hunyambuliwa haraka zaidi kuliko vyakula vingine.

Hivyo ni bora kula matunda dakika10-20 kabla ya chakula. Ukila baadaye matunda hugeuzwa aina fulani ya pombe (fermented food) inayoelea tu juu ya chakula na kubakia kitu kingine badala ya kuingizwa haraka ndani ya damu kupitia utumbo mdogo, uwengu, moyo, ini, nk.

Tatizo jingine ni kupika sana mboga hadi zikapoteza nguvu.
-Mseto wa vyakula pia ni muhimu. Kwa mfano vyakula vyenye uchachu (“acid”) na vile vinavyomumunyuka haraka (“alkaline”) havitakiwi viliwe pamoja. Mfano ni matunda. 

Matunda chachu kama machungwa, mananasi na maembe yatakiwa yawe pamoja; na yale laini zaidi: ndizi mbivu, matikiti maji, mapapai, matufaha, nk yaende kivyake, maana yana mfumo tofauti, wa kumeng’enywa.

Hali hiyo pia iko katika nyama. Nyama nyeupe (ndege na samaki) tofauti na nyama nyekundu (ng’ombe, kondoo, nk) ziliwe tofauti.

Chakula unachokula Watanzania/Waafrika hatuna tabia ya kula mboga mboga mbichi. Tunafuata ladha na mazoea kuliko thamani.

Bara letu lina mboga na vyakula bora kuliko bara lolote duniani lakini sisi tunakufa mapema na kwa utapia mlo kuliko wale wanaotoka nchi kame. Ulaya nzima imejazana mboga mboga zinazoagizwa toka Afrika.

Kenya na Tanzania zinauza mboga za maharagwe mabichi (green beans), matunda toka Afrika Kusini na Ivory Coast; nk. Waafrika tunapenda kujaza matumbo. Unene umekithiri hata wale walio matajiri waliosoma bado wanakufa kwa kisukari shauri ya kutokula mboga mbichi.

Ulaji wa mboga mbichi ni upi ?.
Ni mathalani ulaji wa salad. Tanzania tunaita kachumbari. Lakini si lazima iwe kachumbari ya nyanya, vitunguu na chumvi tu. Waweza kuchanganya matango, nyanya kwa maparachichi; au vitunguu saumu, giligilani na karote.

Huu mseto wa mboga mbichi ni mzuri ukienda na chakula chenye nyama za minofu na wanga (ugali, wali, ndizi za kupika nk). Ulaji wa wanga asubuhi, mchana na jioni kila siku huchangia sana katika unene. 


PENDEKEZO LA 2.
Ugali kwa samaki; mboga ya majani ya matango kwa nyanya. Usiweke chumvi kwenye hiyo mboga mbichi ya majani.)

2-UNYWAJI MAJI
Waafrika hatunywi maji, hasa wanawake. Wanaokunywa maji zaidi ni wacheza michezo. Wengi wetu hunywa zaidi soda (vinywaji baridi kama Cocacola, Pepsi, Mirinda ,Tangawizi na gesi za kisasa kama Red Bull) zilizojaa gesi inayoleta vidonda tumboni; na chai. Kuliko maji.

Na maji haya hutakiwa dakika 10-20 kabla ya chakula au nusu saa kuendelea baada ya chakula. Ukila chakula huku unasakatia maji huimanisha mtu una kiu. Ulaji chakula na unywaji maji ni vitu viwili tofauti.


Ila utawaona watu wanakula huku wakibugia maji. Unapokula chakula huku unabugia maji unapunguza nguvu za chakula, unajaza tumbo maji na kuchelewesha mmeng’enyo wa chakula (digestion). Chakula kisipomeng’enywa vizuri kinaketi tu tumboni.

Matokeo wengi wetu tuna matumbo makubwa. Kama hufanyi mazoezi lile tumbo linakwenda pembeni (chini ya mbavu) hasa kwa watu wa makamo linaleta maradhi kama kisukari, kiungulia, kuvimbiwa, uyabisi wa tumbo, nk. Kizungu huitwa “love handles.”.

3-SUALA LA UMENG’ENYAJI
Chakula huanza kumeng’enywa au kusagwa (kwa lugha iliyozoeleka) mdomoni. Mate yako mdomoni ni chanzo cha uchambuaji chakula. Unapobugia chakula bila kutafuna sawasawa unasababisha mambo mawili. Moja chakula kutochambuliwa vizuri, pili chakula kwenda kukaa tu tumboni, au kama kikipita hakisaidii lolote mwilini.


Utafunaji wa taratibu husaidia umeng’enyaji. Chakula kinapofika tumboni hukaa pale dakika ishirini. Hapo huchanganywa na asidi (ya manjano iitwayo Hydrochloric) inayokibadilisha tayari kupelekwa utumbo mkubwa, kupitia kongosho.

Kule uchafu utapelekwa chini na rutuba kusafirishwa na utumbo mdogo kuelekea katika uwengu, moyo. Moyo utadunda chakula kilichoshageuzwa damu kuelekea mwilini kufanya kazi na akiba hubakishwa katika ini.

Sasa kama usipotafuna vizuri, ukila huku unakunywa sana maji au vinywaji vingine chakula hakimeng’enywi vizuri. Ndiyo maana unawaona watu wengine wanakula sana lakini hawana afya. Wanaugua ovyo ovyo, wanatoka jasho ovyo, wanajamba ovyo, wana matumbo makubwa, wanavimbiwa, wanakaa siku nyingi bila kwenda choo (inatakiwa mtu kwenda haja kubwa mara moja au mbili kwa siku) nk.

4-ULAJI WA VYAKULA VYA MAFUTA
Mafuta ni suala muhimu sana mwilini. Ila ulaji wake shurti uwe wa mpangilio. Yaani unaowiana.

Lazima mtu uwe na wastani mzuri wa vyakula vya nguvu, yaani “wanga” (ugali, ndizi, wali, viazi mbalimbali, mikate, mahindi, nk), ujenzi yaani “protini” (mboga na nyama), “madini” (mbegu mbegu mbichi si za kukaanga sana na chumvi) na “vitamini” (matunda, maziwa, mayai, nk).


Waafrika tunapenda nyama. Nyama ni muhimu sana maana ina madini aina ya chuma (nyama nyekundu) protini,nguvu na mafuta. Ila mafuta yaliyoko katika nyama mara nyingi si mazuri shauri hayatoki, huganda.

Chukua nyama ya kuku na samaki ambayo huwa na ngozi. Wengi wetu hupenda sana kula ile ngozi ya wanyama hawa kwa kuwa tamu. Lakini haya ni mafuta mabaya.
Mafuta ya samaki lakini ni mazuri. Samaki anayo mafuta ya Omega-3 ambayo husaidia mwili na kinga maradhi mwilini.
Tunapokula nyama choma au ya kukaanga, lazima tule pia mboga za majani (mbichi) na si vizuri kula nyama kila siku. Kama huwezi kukaa bila nyama kila siku, fanya mazoezi ya mwili.

PENDEKEZO LA 3.
Kula mbegu mbegu za korosho, karanga (ziwe mbichi badala ya kukaanga na chumvi) kati kati ya siku. Haya ni mafuta yenye rutuba mwilini kuliko nyama za mafuta.

5-MAZOEZI YA MWILI NA VIUNGO.
Mazoezi ni mfalme wa kupunguza unene.
Ukiwauliza wengi watakuambia wanafanya kazi ngumu za sulubu (wanachuruzikwa jasho) kwa hiyo hayo ni mazoezi. Ila kazi na mazoezi ni vitu viwili tofauti. Ingekuwa kufanya kazi ni mazoezi basi kusingekuwa na wastani mfupi wa maisha kwa maskini hasa sisi Waafrika.

Wengine watadai kwamba walipokuwa wadogo shuleni walifanya mazoezi sasa wamekuwa watu wazima (miaka 40 kuendelea) kwamba eti mazoezi ni suala la ujana; kumbe kadri unavyokuwa ki umri ndivyo kadri unavyotakiwa kufanya mazoezi na kujitazama zaidi kiafya.


Watazame Wachina na Wajapani wanavyoishi maisha marefu.
Mazoezi ni shughuli inayokufanya kwanza uheme (mapafu na moyo kwenda kasi), viungo na mifupa kujinyoosha (stretching), kutoka jasho na usafishaji wa damu.

Mazoezi yanayosaidia haya ni pamoja na kutembea kasi, kukimbia, kuogelea, michezo mbalimbali ya riadha (kama mpira wa miguu, nyavu, kikapu, mikono, nk); michezo ya kupigana na kujilinda yaani masho ati(karate, kung fu, judo, capoeira, krav maga, jiu jitsu, systema, kickboxing, thai boxing, kempo, kalari payatu, aikido, nk.

Ni muhimu mwanadamu ufanye mazoezi makali ya viungo mara mbili tatu kwa juma. Si vizuri kufanya kila siku kwani musuli na mishipa inahitaji kupumzika na kukua.
Kama unapenda kuinua vyuma lazima uwe na mwalimu wa kukuelekeza; na si vizuri kufanya kila siku. Wastani wa mara mbili tatu kwa juma inatosha kabisa.

6-UPO UFANYAJI MAZOEZI WA AINA MBILI
Mazoezi ya nguvu ya kuhema niliyotaja hapo juu (cardio-vascular) na yale laini ya kujinyoosha yaani ambayo hutumia zaidi nguvu za ndani na pumzi. Haya ya pili ni kama Yoga (India), Tai Chi Chuan (China) na aina mpya mazoezi iliyoanza Majuu miaka ya karibuni yaani Pilates (hutamkwa hivyo hivyo ilivyoandikwa Pilates). Haya laini yanawafaa zaidi watu wazima na nchini China na Japan mathalan utawakuta wazee wa miaka 80 hadi 90 bado wanayafanya. Husaidia moyo, damu na akili.


Michezo na mazoezi ya mwili ni njia kuu ya kupunguza unene, kurefusha maisha, kuchangamsha ubongo, kupunguza ulevi, uvutaji sigara, dawa za kulevya, tabia mbaya za uvivu, ugomvi, nk. Mataifa yenye watu wanaofanya mazoezi kama Japan, Brazili, India, China nk huwa na wachapa kazi wengi na wananchi wanaoipenda jamii yao.

7-KULA SANA CHUMVI SI VIZURI
Ulaji chumvi mwingi hutokana na suala la ladha. Kisayansi vyakula vyote vina chumvi asilia sema tu tumezoea kuongezea madini hii iitwayo Sodium. Sodium inachangia sana kufupisha maisha.

Huifanya mishipa ya damu ichoke; ni kama bomba lolote la maji ukilitazama baadaye hugeuka rangi kutokana na yale maji kupita pale kila siku.


Kwa wale tunaoishi nchi za joto na kutoka sana jasho kula chumvi ni muhimu. Ila tatizo letu ni kwamba hatunywi maji ya kutosha. Mtu ukiwa na kiu unakunywa soda au kinywaji cha sukari; inakuwa kama unaendelea kuutesa mwili.

Kwa vipi? Mishipa inayopitisha damu mwilini badala ya kusaidiwa kwa maji inawekewa kazi zaidi ya kusafisha sukari na chumvi. Ndiyo maana vifo vingi vinatokea mapema; wastani wetu wa maisha haupiti miaka 50.

Utafiti uliofanywa chuo kikuu cha California, Marekani mwanzoni mwa 2010, umethitibisha kwamba vifo vingi duniani husababishwa na maradhi ya moyo na saratani ambavyo hutokana na uvutaji sigara, unene, ulevi na ulaji sana wa chumvi na sukari. Tukipunguza ulaji wa chumvi tunasaidia pia kupunguza maradhi ya moyo, utafiti unasema.

8-TAFITI ZA VYUO KADHAA ULIMWNGUNI KUHUSIANA NA AFYA.

-Jarida la Kimarekani la sayansi lilieleza mwaka jana kwamba utapunguza ugonjwa wa moyo (ambao husababishwa na unene , wasiwasi na purukshani) kwa asilia mia 42 kama utakula matunda na mboga za majani peke yake kila siku, juu ya msosi wa kawaida.


PENDEKEZO LA KULA- Na 4.
Kula mlo wako. Baada ya saa mbili au tatu, sakatia tunda au matunda; baada ya mlo mwingine, kula sahani ya mseto wa mboga mbichi kama karote na matango. Utaona tofauti ya afya, ngozi, wajihi, kinyesi, usingizi, nk. Kidesturi tumezoea kunywa chai au soda za sukari sukari na gesi kati kati nya milo badala ya matunda na mboga mbichi za majani).

-Utafiti uliofanywa na wanasayansi chuo kikuu cha South Carolina mwanzo wa mwaka 2010 kuhusu faida za kuogelea.

Zoezi la kuogelea lina faida zaidi ya kukimbia au kutembea kwa vile huchanganya mazoezi makali na pumzi, kusaidia mapafu na moyo. Utafiti ulithibitisha kuogelea hupunguza hatari za kifo kwa asili mia hamsini.

-Utafiti wa jarida la chuo cha uganga Ulaya umeeleza (desemba 2009) kwamba kulala nusu saa kila mchana (“nap”) husaidia kupunguza ugonjwa wa moyo kwa asilimia 37.

-Uchunguzi wa chuo cha michezo cha Hispania mwanzoni mwa 2010 umethibitisha kwamba ukikimbia mara tatu kwa juma (jogging) unaongeza nyege mwilini kwa asili mia 75. Hasa kwa watu wa makamo mnaoanza kupoteza nguvu za urijali.

-Uchunguzi chuo kikuu cha Leeds, Uingereza mwanzoni mwa 2010 umeonyesha unapotembea kwa miguu, ukikwepa barabara kubwa zisisokuwa na mioshi ya magari (pollution) unapunguza matatizo ya maradhi ya hewa chafu kama pumu, mapafu na appendix.
-Uchunguzi wa chuo kikuu cha Texas mwaka 2010 umegundua kwamba kula tunda la divai nyekundu mara kwa mara husaidia kupunguza kupata ugonjwa wa kisukari.

-Hapo hapo tunaelezwa kwamba watu weusi na bara la Asia wanakumbwa zaidi na ugonjwa wa kisukari kutokana na vinywaji vya sukari sukari na gesi (fizzy drinks). Ukinywa kiasi cha miligramu 300 za vinywaji hivi (Cocacola, Red Bull, Fanta, nk) kwa siku unajitahadharisha kupata kisukari.

9-KUFUNGA
Neno kufunga linatambuliwa rasmi kuhusiana na Waislamu (mwezi Ramadhani) au Wakristo (Lenti nk). Ufungaji huo una masharti mengine ya kidini tofauti na haya ya kiafya.

Mathalani wafungaji hawa hula chakula kingi usiku; ukihesabu wanafunga wastani wa saa 12 tu. Kawaida ukitaka virusi na takataka nyingine mwilini zitoweke, au viungo vipumzike wahitaji saa 20 kuendelea.

Ufungaji ninaouongelea ni ufungaji wa kutokula kabisa kwa saa 24, 36 hadi 48 kuendele


Ufungaji ni nini?

Kama mashine yeyote mwili wa mwanadamu unahitaji kupumzika na kujisafisha. Hata tukiwa tumelala bado viungo mbalimbali mwilini vinafanya kazi. Kwa hiyo faida ya kwanza kabisa ya kufunga ni kuupumzisha mwili kama mfanyakazi yeyote anapokwenda likizo.

Faida ya pili ya kufunga ni kusafisha mwili kutokana na uchafu ambao haukutoka (kinyesi hakitoi mabaki yote toka utumbo mkubwa), dawa na takataka za mazingira tunayoyavutia hewa, virusi au kuyanywa katika maji na vyakula mbalimbali na pia uchafu wa hisia, yaani hasira, huzuni, nk.
Kuna ufungaji wa aina mbalimbali.

1-Kufunga kwa kunywa maji tu, saa 24 kuendelea…
2-Kufunga kwa kutokunywa maji au kula chochote, saa 24 kuendelea.
3-Kufunga kwa kula tu matunda au mboga zilizopondwa kama karote, matango nk, saa 24 kuendelea.

Ufungaji huu unatakiwa ufanywe kwa mpangilio. Kitu muhimu si tu kufunga bali NAMNA unavyofungua. Ukianza kula tena, unaanza taratibu. Kawaida ni vizuri kuanza na maji, kikombe au bilauri ya kwanza taratibu. Subiri tena nusu saa, bilauri nyingine, halafu hadi ya tatu, halafu ndiyo matunda yasiyo ya chachu, na kadhalika. Kuanza kufungua kwa kunywa chai ya maziwa, uji au vyakula vingine vya wanga hakusadii sana mfungo huu.
Maana lengo lake ni kusafisha mwili.

PENDEKEZO LA 5.
Kwa wenye imani za kidini. Unaweza pia kufunga hivi ukawa pia unasali au kuvaa mavazi yanayokufanya mtu wa amani. Ukifanya hivi unajitakasa kimwili na kiroho. Si lazima ungojee ile miezi ya kufunga na wengine.

10-USINGAJI
Usingaji au masaji ni njia nzuri sana ya kupunguza unene. Ikiwa unaangalia namna unavyokula, unafanya mazoezi na kusingwa mara moja au mbili kwa mwezi unaupalilia mwili vizuri. Nini faida ya usingaji? Kusinga husaidia ngozi, mishipa ya damu na sura nzima ya mwili na taswira yako mwanadamu.

Wengi wetu tunaposikia neno kusinga tunafikiria usingaji wa mapenzi. Hivi ni vitu viwili tofauti kwani usingaji wa mapenzi unaimanisha mahusiano ya kihisia.


Kifupi mwanadamu unatakiwa uwe unautunza na kuungalia mwili wako kama nyumba au hekalu lako. Wengi wetu tunaoga, tunajipaka marashi, tunasuka, tunanyoa nywele au ndevu; lakini miili yetu kiundani inaoza taratibu.

Kama alivyosema mpiganaji, msanii, mwanafalsafa, mwigizaji, mwandishi mashuhuri marehemu Bruce Lee katika shairi lake Mazingira Yako Kimya (toka kitabu “Msanii wa Maisha”, Turtle Publishing, 2001):