Karibu Fadhaget Sanitarium Clinic

Tunapenda kukukaribisha katika Kitengo cha Sayansi ya Tiba Asilia.

Kitengo Cha Sayansi Ya Tiba Asilia

Kwa Muda mrefu tumekuwa tukisaidia wengi katika matibabu na kutengeneza dawa bora kabisa kiafya.

Je Unapenda Kufahamu Jinsi Ya Kupata Mapacha?

Tunafundisha jinsi ya kupata jinsia unayotaka, jinsi ya kupata mtoto kama umekosa mtoto kwa muda mrefu. Pia hata jinsi ya kupata watoto mapacha tunaweza kukusaidia.

Tunapatikana Katika Mikoa Zaidi ya 10 Tanzania

Tunazidi kuongeza matawi yetu nchini Tanzania na Nje ya Nchi. Kwa sasa tunapatikana katika mikoa zaidi ya 10 na tunazidi kuongeza matawi yetu. Karibu sana.

Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Tuesday, December 29, 2015

Usikose Kutazama Kipindi cha TUNDA LA LEO.


Monday, December 21, 2015

Usikose kipindi cha Sayansi ya Jamii - Star Tv


Kipindi kitakuwa ni kila siku, katika muda wa Saa 3 na Nusu Usiku, STAR TV.

Sunday, December 6, 2015

Dr. Fadhili Emily Kwenye Mkutano na Resolution Insurance.

Dr. Fadhili Emily akiiwakilisha The Fadhaget Sanitarium Clinic wiki hii alishiriki katika moja ya mkutano ulioweza kutoa elimu kuhusiana na Insurance za Afya. Katika wiki hii aliweza kuonea na kutoa elimu kuhusiana na Madhara ya Matumizi ya simu za mikononi na adhari zake pamoja na njia sahihi za kutumia simu za mikononi kiuslama.


Friday, November 13, 2015

Maumivu ya Tumbo ya Mata kwa Mara kwa Wanawake.



Wanawake wanaosumbuliwa na maumivu ya tumbo chini ya kitovu mara kwa mara hupata athari nyingi baadaye endapo kama hawatagundua chanzo cha maumivu hayo.

Katika tumbo la mwanamke kuna mfumo wa kawaida wa tumbo ambao ni tumbo la chakula na mfuko wa haja kubwa, kuna kibofu cha mkojo na mfumo wa mkojo.
Pia kuna mfumo wa uzazi ambao ndiyo tunaozungumzia leo kwa undani.

Mfumo wa chakula una matatizo yake mengi ambayo huambatana na kichefuchefu na kufunga choo, mfumo wa mkojo nao una shida nyingi tu ambazo ni maambukizi au ‘UTI’ au Yutiai ambayo huambatana pia na maumivu katika njia ya mkojo.
Matatizo ya mfumo wa uzazi huambatana na dalili mbili, mojawapo ni ile ya kutokwa na uchafu ukeni.


Chanzo cha tatizo
Maumivu ya mara kwa mara ya tumbo kwa wanawake yanahusiana zaidi na mfumo wa uzazi. Maumivu haya yanaweza kuwa maambukizi katika mfumo wa uzazi ambayo huathiri kuta za ndani za uzazi, maambukizi yanasambaa hadi katika mirija ya uzazi hali iitwayo ‘Salpingitis’ na huweza kusababisha mirija kujaa maji ‘Hydrosalpinx ’ au kujaa usaha ‘Pyosalpinx’.

Maambukizi pia husambaa hadi katika vifuko vya mayai ‘Oophoritis’.
Maambukizi pia huwa ukeni na kitaalamu huitwa ‘Vaginitis’ na hushambulia kuta za uke, yakifika katika mlango wa shingo ya kizazi huitwa ‘Cervicitis’.

Pamoja na kushambulia ndani ya uke na shingo ya kizazi, pia hushambulia nje kabisa ya uke ambapo mwanamke hulalamika muwasho nje ya uke kwenye midomo au mashavu ya uke na hata kutokwa vipele.

Dalili za tatizo
Mwanamke mwenye tatizo ukeni hulalamika muwasho ukeni na kutokwa na uchafu ambao mara nyingi huwa na harufu kama shombo la samaki. Pia hulalamika maumivu wakati wa tendo la ndoa.

Mwanamke ambaye maambukizi yamefika katika mlango wa shingo ya kizazi hupatwa na maumivu wakati wa tendo la ndoa na wakati mwingine hutokwa na damu wakati wa kujisafisha huona damu kidogo au kama hakuna damu atahisi mdomo wa kizazi umevimba na kushika kitu kama kigololi ndani ya uke.

Mwanamke pia hulalamika kama kuna kitu kinasukumwa wakati wa tendo la ndoa.
Maumivu ndani ya kizazi hasa katika kuta za ndani hupatwa na maumivu baada ya tendo la ndoa, vilevile hupatwa na maumivu chini ya tumbo muda wote yaani kila siku na kumnyima raha. Maumivu wakati wa hedhi na kutokwa na damu nzito nyeusi na wakati mwingine hutoa harufu.

Maumivu yakiwa katika mirija ya uzazi husambaa chini ya tumbo kulia na kushoto, maumivu pia huwa ya muda mrefu na hali hii humfanya mgonjwa apate haja kubwa kwa shida.
Maambukizi katika vifuko vya mayai husababisha siku za hedhi zivurugike na ziwe hazina mpangilio maalum, huathiri upevushaji na uzalishaji wa mayai hivyo kushindwa kupata ujauzito.

Maambukizi nje ya kizazi humfanya mwanamke aumwe tumbo lote na kupata hali iitwayo ‘Perionitis’, hupata homa za mara kwa mara na mwili kuwa mnyonge.
Maumivu ya muda mrefu hudhoofisha afya ya mwanamke, hukosa hamu ya kula na kupoteza raha ya tendo la ndoa na uzazi husumbua.

Maambukizi hushambulia kwa njia ya kupitia ukeni, mfano magonjwa ya ngono, kuharibika au kutoa mimba na hata kwa kufanyiwa upasuaji wa tumbo pia huathiri mfumo wa uzazi.
Vyanzo vingine vinavyoathiri mfumo wa uzazi na kusababisha maumivu ya chini ya tumbo mara kwa mara ni matatizo katika mfumo wa homoni au vichocheo, uvimbe katika kizazi, mirija na vifuko vya mayai.

Athari za tatizo
Maambukizi sugu katika mfumo wa uzazi huathiri mzunguko wa hedhi, uzalishaji mayai ya uzazi, kuziba mirija ya uzazi, kupoteza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa.

Kwa ujumla mwanamke mwenye tatizo hili anaweza kupoteza uwezo wa kuzaa na kuwa mgumba.
Matatizo haya hutokea zaidi kwa mwanamke aliye katika umri wa kuzaa.

Uchunguzi
Matatizo haya hufanyiwa uchunguzi katika kliniki za magonjwa ya kinamama. Vipimo mbalimbali vitafanyika kadiri daktari atakavyoona inafaa.
Matibabu Tiba inaweza kuwa dawa, upasuaji au yoyote ambayo daktari ataona inafaa kutegemea aina na ukubwa wa tatizo.

Friday, October 23, 2015

Dr. Fadhili Emily. (Photos)








Sunday, September 27, 2015

Dr Fadhily Emily On Interview at Times FM.

View Dr Fadhily Emily's Photos on the interview at Times FM Radio, Dar es Salaam Tanzania.





Monday, September 7, 2015

MTI WA MLONGE NA MATATIZO YA MFUMO WA UZAZI KWA WANAWAKE-2




Tuliwahi kuzungumzia kuhusu wanawake wanaokumbwa na tatizo hili la kuvimba kwa mirija ya uzazi na tukawasihi kwamba wanaweza kutumia mti wa mlonge ili kutatua tatizo hili la kuvimba kwa mirija ya uzazi, lakini kwa ufupi tu wangepata kujua ni jinsi gani wanaweza kukumbwa na tatizo kama hili:

VYANZO
Vyanzo vya tatizo la kuvimba kwa mirija ya uzazi ya mwanamke ni kama vile:
Kukumbwa na bakteria mbalimbali sehemu za siri, lakini hili kwa upande mmoja linaweza kuwakuta watu ambao si waaminifu sana kwenye uhusiano wao au kuwa na wapenzi zaidi ya mmoja.

Pia kuna magonjwa ya zinaa ambayo mara nyingi yanapokaa kwenye mwili kwa muda mrefu pasipo kupata matibabu, pia husababisha tatizo hili la kuvimba kwa mirija ya uzazi.Pia kupata fangasi kwenye shingo ya kizazi cha mwanamke na ikakaa kwa muda bila kupata matibabu basi nayo inaweza kuchangia mtu kupatwa na tatizo hili.

Hivyo basi kama unapatwa na dalili kama hizo za maumivu chini ya kitovu, uchovu wa mwili kupita kiasi, kutopata hamu ya kushiriki tendo la ndoa, maumivu ya kiuno kupita kiasi, hali ya kutokwa na uchafu katika sehemu za siri za mwanamke, endelea kuwa nasi na tutakuelezea nini mlonge unaweza kukufanyia kuondoa tatizo hili japokuwa mimea tiba ipo mingi inayosaidia kuondoa tatizo hili.

Tatizo lingine linaloweza kuondolewa na mmea huu wa mlonge kwa mwanamke ni pamoja na;
ii. Kuna tatizo hili la Pelvic Inflammatory Diseases (PID), hii mara nyingi ni ile hali ya kuvimba kwa kuta za mji wa mimba wa mwanamke lakini pia huambatana na kuvimba kwa mirija ya uzazi ya mwanamke, kama tulivyozungumza katika makala iliyopita kwamba mlonge husaidia sana magonjwa yanayofahamika kama Inflammatory na ile hali ya kuvimbavimba kwenye mwili wa mwanamke sasa tatizo hili la PID ndilo tatizo linalogusia mambo hayo yote.

DALILI ZA PELVIC INFRAMATORY DISEASES (PID)
Mtu ambaye amepima na akakutwa na tatizo hili atakuwa na dalili zifuatazo;
Atakuwa na ile hali ya kupatwa na maumivu makali sana wakati wa hedhi, na hii huweza kumpata mwanamke hata kama anakuwa ameshajifungua na maumivu makali wakati wa hedhi tunaita Dysmenorrheal.

Kama tunavyojua ipo Primary Dysmenorrheal ambayo ni maumivu makali sana wakati wa hedhi kwa mwanamke ambaye bado hajapata mtoto, lakini Secondary Dysmenorrheal ni ile hali ya kupatwa na maumivu makali sana wakati wa hedhi kwa mwanamke ambaye tayari ameshapata mtoto au watoto.

Tutaendelea wiki ijayo kwa kuwaelezea zaidi dalili za tatizo kama hili la PID na jinsi gani mmea huu wa mlonge unavyoweza kukusaidia kuondoa tatizo hili kwa wanawake.

Kwa ushauri, vipimo na tiba, dokta anapatikana kwenye vituo vyake vya Dar es Salaam, Tanga, Morogoro na Mwanza.Nawatakia afya iliyo njema!

Sunday, September 6, 2015

Mambo Ya Kuzingatia Kabla Ya Kuwa Mjamzito

Ujauzito ni safari ndefu inayomchukua mwanamke miezi tisa au majuma arobaini hadi kujifungua. Ni safari yenye mikikimikiki na hatari nyingi kwa mama na mtoto. Tusichukulie suala la ujauzito kama jambo la kawaida ingawa pia ni wajibu kwa mwanamke.

Ujauzito siyo hali ya hatari au kutisha endapo mambo ya msingi yatazingatiwa kabla ya kuwa mjamzito na kipindi cha ujauzito hadi baada kujifungua. Katika kipindi cha ujauzito kuna mambo mengi ambayo ni mabadiliko humtokea mama na mtoto aliye tumboni.
Katika makala haya tutazungumzia mambo ya kuzingatia kabla ya kuamua kubeba mimba, siyo kila mwanamke anaweza kubeba mimba kwa sababu wengine huwa na matatizo katika mfumo wao wa uzazi, aidha homoni zao hazifanyi kazi vizuri na mayai hayazalishwi au hayapevuki. Huenda pia mirija ya uzazi imeziba au ana matatizo ndani ya kizazi.

NINI CHA KUFANYA?
Ni vyema upange sasa unataka kuwa mjamzito au mwezi fulani unataka kushika mimba, uwe na mpango. Hata hivyo, hakikisha umri wako upo zaidi ya miaka 20 kwa usalama zaidi wa afya yako. Mshirikishe mwenzi wako na mwambie ungependa upate ujauzito, siyo vizuri kushtukiza kwani inaweza kukupa ‘stress’ wewe mwenyewe au mwenzako endapo mmoja wenu hajajiandaa kisaikolojia.

CHEKI AFYA YAKO
Hakikisha una afya njema, huna magonjwa sugu kama kisukari, shinikizo la damu, magonjwa mengine ya moyo, kansa, HIV, kifafa, pumu, siko seli au grupu lako la damu ni RH negative.Endapo una matatizo haya hapo juu, basi haraka wasiliana na daktari wako wa masuala ya uzazi akupe ushauri kwani magonjwa mengine yatakusumbua wakati wa ujauzito, au magonjwa yenyewe yatamwathiri mtoto. Hakikisha huna magonjwa au matatizo katika viungo vya uzazi, mfano kutokwa na uchafu ukeni wenye muwasho na harufu mbaya, vipele au vidonda sehemu za siri, maumivu wakati wa tendo la ndoa, kutokwa na damu au usaha ukeni. Vile vile mfumo wako wa uzazi uwe vizuri, matatizo katika mfumo wa uzazi ni kama vile maumivu ya tumbo chini ya kitovu, kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi, kutopevusha mayai na kukosa hamu ya tendo la ndoa.

VILEVI ACHA
Epuka unywaji wa pombe na uvutaji wa sigara, hili hata kwa mwanaume anayetaka mtoto. Mwanamke kabla ya kuwa mjamzito hakikisha unakula sana mboga za majani ili upate kiwango kizuri cha vitamin ya Folic Acid, ni vema ule sana mboga za majani au upate virutubisho vya Folic Acid. Endapo hutakuwa na kiwango kizuri cha Folic Acid, kuna hatari ya kuzaa watoto wenye matatizo.

MAZOEZI
Fanya mazoezi mepesi mara kwa mara ili kuimarisha nyonga na viungo vyako vingine na usipate matatizo wakati wa kujifungua. Pata ushauri wa daktari kipindi muafaka.

YANAYOKWAMISHA UJAUZITO
Matatizo yanayoweza kukusababishia usipate mimba ni kutofahamu siku za kupata mimba, kuziba mirija ya uzazi.Pia uwepo wa uvimbe ndani ya kizazi na kwenye vifuko vya mayai. Uvimbe wa aina hii unaweza kutibika kwa dawa na ukaisha au kwa njia ya upasuaji, inategemea na daktari wako atakavyoona na kuamua. Kwa upande wa wanaume wanaojiandaa kuwa wazazi, ni vema umjulishe mpenzi wako sasa unataka mtoto au lini unataka mtoto. Tibu magonjwa yanayoathiri mfumo wa uzazi, mfano maumivu ya korodani, maumivu ya njia ya mkojo, upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume. Kutoa manii mepesi sana kiasi kwamba baada ya tendo la ndoa manii zote zinatoka ukeni.
Ni vema ukapime mbegu zako za kiume kuona kama zina ubora wa kutosha, usiwe na maumivu yoyote ya mwili kwani yataweza kukusababishia kupunguza nguvu za kiume na kushindwa kufanya tendo la ndoa.

Friday, September 4, 2015

Faida za Tikiti Maji Kiafya.

Baadhi ya vyakula vimekuwa vikifurahisha pale vinapoliwa, tikiti maji ni miongoni mwa vyakula hivyo. Kwanza ule mchanganyiko wa rangi zake hulifanya sio tu kuvutia bali kuwa kama ua lililochanua juu ya meza ya mlaji husika. Kama vile haitoshi tunda hili limejaaliwa virutubisho kadha wa kadha vyenye faida kubwa katika afya ya mwanadamu. Licha ya 92% ya tikiti maji kuwa ni maji, bado zile 8% zilizobaki zina faida kubwa sana kiafya jambo linaloonekana kutofahamika kwa wengi. Zifuatazo ni baadhi tu ya faida chache kati ya nyingi za tunda hili la tikiti maji:


Tikiti maji ni chanzo kizuri cha vitamini.
 Katika tunda hilo kuna 
 
  • Vitamin A, inayosaidia kuboresha afya ya macho na pia kuondosha sumu mwilini; 
  • Vitamin C, inayosaidia kuboresha kinga, kuponya majeraha, kukinga uharifu wa seli, kuboresha afya meno na fizi;  na 
  • Vitamini B6, inayosaidia ubongo kufanya kazi na pia kuibadilisha protini kuwa nishati.


    Tunda la tikiti maji lina kiwango kikubwa cha  lycopene kuliko tunda lolote au mboga za majani. Ikiwa familia yako inaishi kwenye eneo lisilo na vyanzo vya madini ya potasium, unaweza kuwapa tikiti badala yake. Lina uwezo mkubwa wa kusaidia misuli na mfumo wa fahamu kwa ujumla kufanya kazi zake vizuri.

Halikadhalika tunda hili huweza kukuondoa katika hatari ya kupata shinikizo la damu. Tikiti pia lina  Amino Acid na virutubisho vingine vinavyosaidia kurahisisha mtiririko wa damu kwenye mishipa yake.

Sifa ya kipekee iliyopo katika tunda hili, ni ule uwezo wake wa kusaidia kupunguza ama kuondoa tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Kwa kunywa juisi yake iliyokamuliwa bila kumenywa kwa maganda yake, kutaisadia kabisa kuondoa tatizo hilo.

Kwa kawaida tunda hili huliwa  pejke yake au kwa kuchanganya na matunda mengine. Kwa mujibu wa wataalamu wa mambo ya afya ya vyakula kila kitu kwenye tikiti maji kina faida kiafya ukianzia kwenye majani tunda na hata nyama yake.

Wednesday, September 2, 2015

Fahamu Vyakula Vya Kuondoa Gesi Tumboni au Kusaidia Tumbo Kujaa.

Watu wengi wamekuwa wakihangaika sana na matumbo yao kujaa gesi na pengine kuvimba. Leo hii The Fadhaget Sanitarium Clinic imekuletea baadhi ya vyakula vya kula kuondo hili tatizo linakusumbua kwa muda mrefu. Pia kuna dawa maalumu zinapatikana katoika kituo chetu cha tiba kwa njia ya mimea na matunda. Sasa soma hivi vyakula kwa faida yako. 



KWA njia moja au nyingine, unajikuta tumbo limechafuka kwa kujaa gesi, kuuma na hata kuunguruma, unahisi unahitaji kunywa dawa ili litulie. Katika makala ya leo utajifunza njia bora ya kutuliza mchafuko wa tumbo kwa kutumia vyakula badala ya dawa za kisasa ambazo hutuliza dalili na haziondoi tatizo.

CHANZO

Kabla ya kukimbilia kwenye tiba, ni vizuri kwanza kujua chanzo cha tatizo na katika hili unahitaji kujua ni vyakula gani ukila vinasababisha matatizo ya tumbo. Aina ya vyakula inaweza kutofautiana kati ya mtu na mtu lakini kuna aina ya vyakula vinajulikana zaidi kusababisha matatizo ya tumbo.
Vyakula na vinywaji vinavyochangia tumbo kujaa na ukosefu wa choo kwa muda mrefu huwa ni soda, ulevi (hasa bia), vyakula vyenye mafuta mengi na vyenye chumvi nyingi.

Vyakula hivyo vinapoingia tumboni, huwa na tabia ya kuchelewesha usagaji wa chakula na uondoaji wa uchafu kwenye utumbo, hivyo huwa kikwazo katika mfumo mzima wa usagaji chakula kwa urahisi.
Ili kujiepusha na matizo ya tumbo ya muda mrefu na hata kuzuia uwezekano wa kuumwa na tumbo mara kwa mara, unashauriwa kula vifuatavyo, karibu kila siku ili kulifanya tumbo lako kuwa safi wakati wote:

PAPAI (PAPAYA)

Baadhi ya utafiti uliyopo, unaonesha kwamba ‘enzyme’ waliyomo kwenye papai husaidia usagaji wa chakula tumboni na hivyo kulifanya tunda hili kuitwa na mtafiti wa zama za kale Christopher Columbus kama ‘tunda la malaika’.

Watafiti wamebaini kuwa tunda hili, lenye ladha tamu na harufu nzuri, huboresha mfumo wa usagaji chakula, husafisha utumbo, huzuia magonjwa ya uvimbe tumboni na huimarisha mfumo wa kinga ya mwili.


“Vitamini na virutubisho vya papai vina faida nyingi, lakini faida kubwa ya papai ipo kwenye kirutubisho (Enzyme) aina ya ‘Papain’ ambacho hujulikana kwa uwezo mkubwa ilionao wa usagaji mzuri wa chakula tumboni,” anasema Dk. Cari Case mwandishi wa blog ya masuala ya afya.

Mwandishi huyo anaongeza kwa kusema kuwa papai limekuwa likitumika kama tiba tangu karne ya 18, lakini utafiti wa kisayansi haukugundua faida za papai hadi mwaka 1870 wanasayansi walipogundua kirutubisho cha ‘papain kilichomo kwenye papai na tangu wakati huo tafiti nyingi zimekuwa zikifanywa kuhusu faida za tunda hili na uwezo wa tiba iliyonalo.

MTINDI (YOGURT)

Hata kama wewe si mpenzi wa mtindi, jaribu kunywa na utaupenda, hasa uwezo wake wa kuondoa matatizo ya kujaa gesi tumboni pamoja na matatizo mengine. Mtindi mzuri ni ule ‘plain’ ambao haujachanganywa na ladha au vitu vingine kwa lengo la kuongeza ladha. Bakteria asilia waliyomo kwenye maziwa mtindi ndiyo hufanya usagaji wa chakula kuwa mwepesi.

Mwisho, ili kupata faida ya papai na mtindi kama ilivyoelezwa hapo juu, ni vizuri ukala mara kwa mara kama siyo kila siku, kabla au mara baada ya kula vyakula ambavyo vinaweza kukuletea shida tumboni, au ukaweka mazoea ya kula kila siku ili kuliweka tumbo lako katika hali salama.

Health Benefits Of Carrot Juice.

What makes Carrot Juice so nutritious is that it contains a large amount of beta-carotene, vitamins and potassium in it.



  • Improves Immunity And Controls Heart Diseases: Beta-carotene makes it a rich source of vitamin A. It also helps improve the immune system. The abundance of vitamin A in carrot juice can help improve your sight and the daily intake can prevent the onset of heart diseases and strokes (1). Vitamin A in addition keeps the lining of the internal organs healthy in order to prevent it from being infected by pathogenic organisms.
  • Reduces Cholesterol: Here comes an amazing benefit of carrot juice. The potassium present in carrot juice can reduce cholesterol levels (2). It is good for the liver as it reduces fat and bile in it. Potassium, along with manganese and magnesium stabilizes blood sugar level, thus helping to reduce the risk of diabetes.
  • Aids In Clotting Of Blood: Vitamin K present in carrot juice helps blood to clot.
  • Heals External Wounds And Gums: Vitamin C helps to heal wounds and keeps the gums healthy.
  • Prevents Cancer: It also acts like an anti-cancer agent. Increased intake of carotenoids in carrot juice has been said to decrease instances of bladder, prostate, colon and breast cancer  
  • Protein Building and Bone Health: Vitamin K, present in Carrot juice is essential for the protein building process in the body. It also helps in the binding of calcium that in turn leads to the faster healing of broken bones (4). Potassium present in carrot also helps to improve bone health.
  • Cleanses the Liver: Carrot juice cleanses and detoxifies the liver. Toxins in the liver are released from the system and excreted after regular consumption of carrot juice (5). The bloodstream cannot rid the body of toxins and bile through the kidneys. This has to be ejected from the skin. Carrot juice aids this process and ensures harmful bile is removed from the body. When the liver functions well, it prevents the accumulation of fat and aids in its rapid digestion, preventing weight gain and obesity.

Beauty Benefits Of Carrot Juice:

But for the women, carrot juice is not just about good health, but also about looking beautiful. Beauty benefits include:

  • Reduces Dryness And Scarring: Potassium helps reduce skin dryness and reduces scars and blemishes. It also gives life to your skin by improving the skin tone. It will also help improve hydration and thus keep your skin moisturized.
  • Prevents Acne: Since it is high in essential oils, it also helps prevent acne by detoxifying your body.
  • Source Of Vitamins Needed For Skin: This juice effectively acts as a vitamin supplement for your skin. It also contains so many healthy nutrients that it can reduce skin related problems like eczema which is caused by deficiency of vitamin A, dermatitis and rashes.
  • Controls Sun Damage: The beta-carotenoids which help in photosynthesis in plants, help reduce sunburn and also increase the skin’s resistance towards sun damage.
  • Fights Ageing: The beta-carotenoid when entering the body changes into vitamin A and reduces cell degeneration and thus slows down the aging of the body. It largely improves the amount of collagen in the skin and thus helps in maintaining elasticity and hence reducing the visible signs of aging like sagging skin and wrinkles, as collagen is what accumulates in our body and keeps it firm and healthy.
  • Hair Care: It also increases hair growth.
  • Nail Care: It also increases nail strength.

Carrot Juice For Prenatal Care:

Carrot juice is especially considered to be beneficial for prenatal care as it improves the health of the expectant mother and child.


  • Lactation: Carrot juice intake during pregnancy improves the quality of their breast milk, as it will be enriched in vitamin A. Since vitamin A helps in cell growth it is especially beneficial in fetal growth.
  • Prevents Infections In Unborn Child: When taken during the last 3 months of pregnancy, it reduces the chance of dangerous infections in the child.
  • Calcium Supply: It also acts as a very rich source of calcium.

Carrot Juice and Weight loss:

Definitely an eye catching topic among the uses for carrot juice! Carrot juice is extremely filling, and because of low calorie count, it is the best natural health drink for a person who is trying to lose weight. It contains a large amount of natural sugar, so you don’t have to add additional sugar to it. Juicing together carrot, apple, celery and cucumber is a very healthy recipe for a good weight loss drink.


  • Muscle Growth: Vitamin A helps our body to heal after a strenuous workout and aid in muscle growth. Phosphorous in carrot juice builds, repairs, and maintains muscle;
  • Increases Metabolism: Carrot Juice also contains a large amount of Vitamin B complexes which help in breaking down glucose, fat and protein. So it helps in building muscle, increasing our metabolism and thus helping in weight loss. Vitamin B complexes also help to reduce stress and depression, which usually holds back weight loss. Phosphorous in Carrot juice boosts the body’s metabolic rate; ensures optimal use of energy in the body and decreases pain after a workout.
  • Increases Oxygen Carrying Capacity: The amount of Iron in carrot juice can increase the oxygen carrying capacity of the body, thus helping us do more workouts to lose weight
  • Energy Consumption: Phosphorous helps the body to use up more energy while doing work.
  • Controls Sugar Levels: Magnesium and Manganese present in Carrot Juice can stabilize sugar levels and help to reduce weight due to diabetes.
  • Aids Digestion: Since carrot contains a large amount of fiber, it can help in digestion and makes you feel fuller for longer.
  • Cleanses the Body: Carrot juice cleanses the body and rids it of any toxins, aiding weight loss. Fresh raw carrot juice cleanses the digestive tract of toxins, waste, indigestible material, which in turn cures and prevents obesity.

How to Consume it Right?

It should be mentioned that although carrot is such a healthy vegetable, eating carrot as Halwa with loads of ghee, sugar, cashew and raisins cannot be considered healthy. No matter how healthy you say it is, it will never be as good as carrot juice with no added sugar and milk. Yes, No carrot milk either. But it’s just as yummy without the milk too. Many people love the natural taste of carrot juice, but you can also add other fresh juices, such as orange, lemon, ginger or mint to give it a different flavor. Juice of carrot and cinnamon together forms a very healthy antioxidant rich drink which can reduce cancer, high blood pressure and diabetes. It is said that drinking fresh carrot juice is better than eating it raw because the nutrient content will be even more concentrated in the juice. 

 Ensure you drink at least one tall glass of carrot juice each day to burn fat and get the fab, svelte body you have always yearned for! Get that glowing and beautiful skin you love! Do you drink juice as part of your weight loss regime? Is carrot juice a part of your diet? Do share with us in the comments section. 

Monday, August 24, 2015

Pata Elimu kuhusu Aina ya Mtoto unayetaka (Kike au kiume) au Mapacha kupitia Seminar na Dr. Fadhili Emily.

Hakika Elimu ni muhimu sana. The Fadhaget Sanitarium Clinic chini ya Dr. Fadhili Emily tunakukaribisha wewe unayehitaji mtoto kwa kadiri ya mahitaji yako. 
  •  Je unahitaji Mapacha?
  •  Unatafuta mtoto wa jinsia fulani labda wa kike au wa kiume?
  •  Je unapenda mwanao afanane na nani? (afanane na baba au mama sana).
Karibu katika seminar kubwa itakayofanyika jijini Dar es Salaam Tarehe 1 mwezi wa 9 mwaka huu. Katika Seminar hii Dr. Fadhili atatoa mafunzo na elimu na kufundisha mengi kuhusiana na hayo. Usikose seminar hiyo kwani utaweza kujifunza mengi kuhusiana na watoto mapacha, jinsia ya mtoto inavyopatikana na sayansi inasema nini kuhusiana na hayo. Kumbuka elimu hii ni muhimu kwani kuna wengi wamekuwa wakijitahidi bila mafanikio, lakini kwa kupitia tafiti salama ambazo zina viwango bora unaweza kufahamu mengi na kuweza kufanikiwa kutimiza ndoto zako hasa za mtoto na uzazi wa mpango salama kabisa.

Dr. Fadhili Emili akiwa na wanawe Mapacha.
Elimu kutoka kwa Dr Fadhili Emily imezalia matunda wengi ikiwemo yeye mwenyewe, na kama unavyoona kwenye picha akiwa na wanawe mapacha na wamefanana naye kabisa. Kupitia elimu yake nawe utaweza kuchagua mtoto na kupangilia uzazi vyema kwa jinsi unavyotaka wewe. 

Kwa kutumia kanuni tisa ambazo zinafundishwa katika kutimiza yote hayo, utaweza kufahamu hatua mbalimbali za kufuata na taratibu zake. Kanuni hizo unaweza kuzigawanya katika vipengele vitatu. 
  1. Kanuni tatu kabla ya Tendo la Ndoa,
  2. Kanuni tatu wakati wa Tendo la ndoa, na
  3. Kanuni tatu baada ya Tendo la Ndoa. 
Hatua zote hizi zenye kanuni tisa zitaelekezwa vyema na kwa kutumia utafiti wa kisayansi wenye mafanikio asilimia mia moja utaweza kupangilia watoto kadiri ya mahitaji yako.

Usikose seminar hiyo kwani utafahamu mengi zaidi. Karibu sana.

Dr. Fadhili Emily Kutua Nchini Tanzania


Dr. Fadhili Emily
Bingwa wa magonjwa sugu, Dr. Fadhili Emily, anatarajia kutua nchini hivi karibuni kutoka katika Ziara ya Aliyotembelea nchi mbalimbali Ulaya. Daktari huyo bingwa wa magonjwa mengi ambayo yamekuwa ni sugu, ameahidi kuja na ujuzi zaidi kutoka katika Tafiti alizopitia na Ujuzi aliouongeza katika nchi mbalimbali za Ulaya hasa katika Tiba Sahihi.

Hivi karibuni tunategemea kupata Seminar kuhusu Jinsi ya kuchagua jinsia ya mtoto, Jinsi ya kupata mapacha na kusaidia pia kuelimisha elimu ya UZAZI kwa ujumla.

Tuesday, August 11, 2015

Sababu 10 Za Kunywa Maji Mengi.

Maji Safi na Salama ni Bora kwa Afya yako.

Wengi hutambua kuwa maji ni muhimu sana katika Afya zetu. Imeshauriwa watu wajitahidi kunywa maji mengi kwa manufaa ya afya zao.

Kuna faida mbalimbali zinapopatikana kwa kunywa maji ya kutosha:


1. Inaboresha muonekano wa Ngozi yako. Matumizi ya maji ya kunywa inaongoza kuboresha maisha ya seli, moisturize ngozi kutoka ndani, inaboresha yake elasticity na kuzuia ukavu.

2. Kuondosha sumu kutoka kwenye maji ya mwili husaidia kuondoa sumu kutoka kwa njia ya utumbo. Inajulikana kuwa figo ni ya asili "filter" ya mwili na kwamba uwezo wao wa moja kwa moja hutegemea kiasi kunywa.

3. Hupunguza hatari ya mashambulizi ya moyo. Utafiti wa hivi karibuni ilionyesha kuwa watu ambao kunywa angalau

5. Glasi ya maji wazi siku itapungua hatari ya mashambulizi ya moyo ikilinganishwa na wale ambao kunywa glasi mbili za maji kwa siku.

4. Ni "grease" kwa ajili ya viungo, misuli na maji - nyenzo ya msingi kwa ajili ya malezi ya kioevu maalum, ambayo ni aina ya "lubricant" kwa ajili ya viungo yako na misuli. Wanamichezo (Hasa wale ambao wanajitolea kwa michezo nguvu) kwa muda mrefu inayojulikana kuwa kukosekana kwa maji katika mwili inaongoza kwa mkazo wa misuli. Hata kama wako Marafiki na mchezo ni kupunguzwa kwa mazoezi kila siku asubuhi, kumbuka kwamba ili kuzuia misuli ya tumbo lazima kunywa maji kabla, wakati na baada ya zoezi.

5. Kutayarisha nishati na wastani wakati wa siku mtu kupoteza kuhusu 10 (!) Glasi ya maji (wakati wa mchakato wa jasho, kupumua, kwenda haja ndogo na defecation). Hata kidogo upungufu wa maji mwilini unaweza kusababisha hasara ya mkusanyiko, kuwashwa, kuumwa kichwa, na uchovu. Maji ni muhimu kwa mwili kufanya kazi vizuri. ngazi ya oksijeni katika mzunguko wa damu unategemea kiasi cha maji ya kunywa na sisi. oksijeni zaidi ni zilizomo katika mwili, mafuta zaidi kwa kuchomwa moto kwa ajili ya nishati. Kwa kiasi kidogo cha oksijeni mwili hauwezi "Nia ya" mafuta na kugeuka kuwa nishati. Watafiti wamethibitisha
kuwa maji ni required kama kwa utendaji mzuri wa ubongo.

6. Inasaidia. Kasoro ya mfumo wa maji si tu kuzuia kuvimbiwa lakini pia kushiriki katika mchakato wa digestion na malezi ya athari za kemikali kwamba mchakato. Wanga na protini ili mwili wetu anatumia kama nguvu kufyonzwa na kusafirishwa katika mzunguko wa damu na maji. Kutumia huo maji taka ni excreted kutoka mwili (mchakato kukojoa).

7. Hupunguza hatari ya magonjwa na maambukizi. Ukosefu wa maji katika mwili unaweza kusababisha ugonjwa hatari - sugu upungufu wa maji mwilini seli. Chembechembe za mwili daima hupoteza kiasi haki ya maji, ambayo inaongoza Kupungua kwa nguvu zao na kufungua njia ya mbalimbali magonjwa kutokana na kupungua kwa jumla katika kinga.

8. Inasimamia joto Inasimamia maji mwili "baridi mfumo" wa mwili. Baada ya mafunzo ya kina michezo kuanika na wanariadha sweaty mara nyingi mashambulizi kinachojulikana "Sports" vinywaji. Hata hivyo, wataalam wengi wanakubaliana kwamba maji Kama thermostat "kazi" bora kuliko gazirovok sana kutangazwa na sukari. Wewe d kushangaa, lakini maji - ni madini ambayo
inahitaji mwili kwa kiasi kubwa. Kutoka 55% till 75% na uzito wa wastani watu wazima ni maji tu, ambayo ni kushiriki katika mchakato thermoregulation.

9. Nzito mafuta na "sculpts" mpya misuli Kama ilivyoelezwa. Hapo juu, upungufu wa maji mwilini husababisha kupunguza chini ya protini awali, ambayo ni kubwa mno muhimu kwa ajili ya mchakato wa uundaji wa misuli. mchakato wa kuundwa kwa misuli mpya kitambaa - nishati kubwa. chini kalori kuchomwa moto na akageuka katika nishati kujenga misuli mpya, kalori zaidi "vua" katika mwili katika hali ya ziada ya mafuta.

10. Inaboresha afya kwa ujumla wa uundaji wa jadi. GP, mikononi katika kitanda au mafua ya ARI - "na
mengi ya kunywa maji maji "- wanapaswa kutibiwa kwa uzito mkubwa. Maji husaidia kudhibiti joto, maji maji ya mwili replenishing waliopotea na kamasi kuonyesha. 

 Maji - sehemu muhimu ya maisha yetu. Jaribu kunywa maji mengi kabla, wakati na baada ya zoezi la hali ya hewa ya joto, chini ya unyevu, wakati kwa urefu juu ya usawa wa bahari, kupitia kichefuchefu, kuharisha, na kuongezeka kwa joto la mwili. Hata hivyo, ni muhimu kukumbuka kwamba mwili ni uwezo wa kunyonya juu ya mililita 120 za maji kila baada ya dakika 10, hivyo si overdo hiyo. Mafunzo kwa moja mwenyewe kwa kunywa glasi ya maji kila saa.

Tuesday, August 4, 2015

Risks to Children and The Rate of Radiations From Mobile Phones

Child and Mobile use. 

The fastest growing group of mobile phone users are children and young people. This growth is actively encouraged by professional advertising campaigns from the mobile phone industry, extolling how indispensable the phones are to their lifestyles. They have really gone out after the young people with prepay cards and colored handsets. Phone makers often present their products in adverts as essential "back to school" items for children. This advertising blitz was produced by the same transnational public relations corporations that previously gave us such delightful cartoon characters as "Joe Camel" for the tobacco industry, and no words of warning are heard. However, within the scientific community, there is a growing chorus of expert voices that are urging caution because, if there are adverse health effects from mobile phone use, it will be the children who will be in the front line and who may pay the highest price. For the sake of the future of our children's health, we need to heed these voices seriously and limit children's unnecessary use of mobile phones. Children may be more vulnerable because of their developing nervous systems, the greater absorption of energy in the tissues of the head, and a longer lifetime of exposure. Children are more sensitive to microwaves than adults; they absorb microwaves at 3.3 times the rate of adults. While some manufacturers target children for cell phone sales, cell phone radiation penetrates the skulls and brains of kids more deeply than adults, and this radiation might cause tumors or otherwise affect a developing brain.


Children are more vulnerable because of their developing nervous system, the greater absorption of energy in the tissues of the head, and a longer lifetime of exposure.


Absorption of microwaves of the frequency used in mobile telephony is greatest in an object about the size of a child's head, the so-called head resonance, while in consequence of the thinner skull of a child, the penetration of the radiation into the brain is greater than in an adult. Children's brain wave patterns are abnormal and stay like that for a long period. This could affect their mood and ability to learn in the classroom if they have been using a phone during break time, for instance, leading to things like a lack of concentration, memory loss, inability to learn and aggressive behavior. The still-developing nervous system and associated brainwave activity in a child are more vulnerable to aggression by the pulses of microwaves used in these devices than is the case with a mature adult. This is because the multi-frame repetition frequency of 8.34 Hz and the 2 Hz pulsing that characterizes the signal from a phone equipped with discontinuous transmission (DTX) lie in the range of the alpha and delta brainwave activities, respectively.


Phone radiations to the brain.
The fact that these two particular electrical activities are constantly changing in a child until the age of about 12 years, when the delta waves disappear and the alpha rhythm is finally stabilized, means that they must both be anticipated to be particularly vulnerable to interference from the pulsations. The increased mitotic activity (cell division) in the cells of developing children makes them more susceptible to genetic damage. A child's immune system, whose efficiency is, in any case, degraded by radiation of the kind used in mobile telephony, is generally less integrates than that of an adult, so the child is less able to cope with any adverse health effect provoked by chronic exposure to such radiation. Scientists have discovered that a call lasting just two minutes can alter the natural electrical activity of a child's brain for up to an hour afterwards. They also found for the first time how radio waves from mobile phone penetrate deep into the brain and not just around the ear.

Doctors fear that disturbed brain activity in children could lead to psychiatric and behavioural problems or imair learning ability.

By. Dr. Fadhili Emily 

Wednesday, July 29, 2015

Shuhuda Aliyeteseka Miaka 10 Bila Kupata Mtoto, Hatimaye Atoa Ushuhuda Baada ya Kupata Mtoto.

Shuhuda ajulikanaye kwa jina moja tu la Bi. Sophia ametoa ushuhuda wa kupata mtoto baada ya kupata matibabu kutoka The Fadhaget Sanitarium Clinic.

Bi. Sophia akiwa na mwanae.
Bi.Sophia amesema kuwa kwa muda wa miaka 10 amekuwa akitafuta mtoto lakini hakubahatika kupata mtoto. Kupitia matibabu kutoka kwetu aliweza kupimwa, na baada ya kupimwa akapatiwa dawa na sasa analea mtoto. The Fadhaget Sanitarium Clinic wamekuwa ni mabingwa wa kutibu magonjwa hasa yale yaliyo sugu kwa kutumia mimea na matunda. Ni jambo la furaha kuona wateja wetu wanatoa shukrani na kuonyesha furaha zao baada ya kutimiza ndoto zao hasa pale walipokata tamaa kuona kuwa matatizo yao hayatibiki. 
Tunapenda kutoa shukrani za Dhati kwa Bi. Sophia na pia kwa wale wote ambao wameshukuru kwa huduma zetu. Karibuni sana.
Bi. Sophia akionyesha furaha na Mwanaye.


Sunday, July 19, 2015

MAGONJWA HATARI KWA WANAWAKE


KUNA magonjwa mengi ya hatari kwa wanawake ambayo huwakumba kwenye viungo vya uzazi na dalili za kuyatambua ni nyingi japokuwa wanaume pia huweza kupatwa na matatizo hayo.

DALILI KWA WANAWAKE
Kwa upande wa wanawake, wanaweza kutambua kwamba wana ugonjwa ambao utaathiri viungo vya uzazi kwa kutokwa na majimaji au ute kwenye uke.

Wanawake wanapaswa kutafuta msaada wa kimatibabu kwa daktari wakigundua lolote kati ya haya yafuatayo:-
Majimaji ya ukeni ambayo yana harufu isiyo ya kawaida na yenye rangi tofauti na wingi kuliko ilivyo kawaida au kuhisi maumivu au kusikia kama unaungua au muwasho wakati wa kwenda haja ndogo.

Dalili nyingine ya kupata maradhi haya au kitaalamu Sexually transmitted disease
ni kusikia maumivu na muwasho katika maeneo ya uke au maumivu ukeni wakati wa kufanya ngono.
Wanawake wengine watatambua kuwa wana magonjwa hatari kwa kutokwa na vidonda na malengelenge katika eneo la uke.

Kumbuka, baadhi ya maambukizi huenda yasiwe na dalili hivyo kama una wasiwasi au umetokewa na dalili hizi ni vyema kuchunguzwa na daktari haraka iwezekanavyo, ama nenda katika kliniki.

DALILI KWA WANAUME
Mwanaume anaweza kupata magonjwa yanayoweza kuathiri viungo vyake vya uzazi na dalili zake ni hizi zifuatazo:-
Majimaji kutoka uumeni ambayo yana harufu isiyo ya kawaida, au yakiwa mengi, kuhisi muwasho ndani ya uume, wakati na baada tu ya kwenda haja ndogo au kutokwa na vijidonda au malengelenge juu au katika sehemu za kiume.
Wengine wanatokwa na vipele au uvimbe katika sehemu za siri.

Kila mtu awe mwanaume au mwanamke ambaye ataona dalili zilizotajwa hapo juu ili kugundua ugonjwa ni lazima aende kuonana na daktari na kufanyiwa vipimo.

itaendelea wiki ijayo

KUTOKUPEVUKA KWA MFUMO WA UZAZI (HYPOGONADISM)



Hali hii hutokana na viungo vya uzalishaji wa vichocheo vya uimarishaji uzazi kwa mwanamke na mwanaume kutofanya kazi. Viungo au glandi hizi ni korodani kwa mwanaume na ovari kwa mwanamke.

CHANZO CHA TATIZO
Tatizo hili linaweza kuwa linatokea tangu kuzaliwa au linatokea katika mfumo mzima wa mwili. Kwa tatizo la kuzaliwa nalo, korodani au vifuko vya mayai huwa havifanyi kazi ya kuzalisha vichocheo au homoni zinazohitajika ambapo kwa korodani huzalisha homoni za kiume na ovari huzalisha homoni za kike.

Vyanzo vya matatizo ni kama vile:-
-Matatizo katika mfumo wa kinga mwilini,
-Matatizo katika mfumo wa vinasaba.
-Matatizo ya Ini na Figo.

-Mionzi iwe ya X-ray au viwandani.
-Upasuaji wa kuondoa korodani zote mbili au ovary zote mbili.
Matatizo ya vinasaba yanayotokea kwa wanawake huitwa ‘Turner syndrome’ na kwa wanaume huitwa ‘Klinifelter Syndrome’.

Katika matatizo mengine ya ‘hypogonadism’ mfumo wa ubongo unaohusisha pituitary na Hypothalamus ambazo hudhibiti utolewaji wa homoni mwilini huwa haufanyi kazi vizuri hivyo husababisha matatizo ya mfumo wa mwili na uzazi ambapo vyanzo vikuu vinaweza kuwa;-

-Endapo mama mjamzito wakati wa kujifungua akatokwa na damu nyingi sana na ikija kukata inakata moja kwa moja, yaani hapati tena siku zake na uwezo wa kuzaa unapotea.-Matumizi holela ya dawa zenye ‘steroids’, mfano krimu za kufanya ngozi hasa ya uso ing’ae, kubadilisha rangi ya ngozi au kutuliza miwasho ya ngozi pamoja na matumizi ya dawa za kulevya pia huathiri kwa kiasi kikubwa mfumo wa uzazi.

-Matatizo haya pía yanaweza kuwa ya kurithi endapo kwenye ukoo wenu wapo watu wenye matatizo katika mfumo wa uzazi wa aina hii.-Maambukizi, hasa virusi wa aina yoyote yanaweza kuathiri mfumo wa uzazi.
-Lishe duni hasa kwa watoto wanaokaribia balehe huweza kuwadumaza na aidha kutobalehe au kuchelewa kubalehe na kuonekana bado wadogo pamoja na umri kwenda.

-Kuwa na madini mengi ya chuma mwilini, na hili linategemea na mazingira ya kuishi na vyakula au vinywaji hasa kwa mama mjamzito na watoto.-Mionzi ya X-ray ya mara kwa mara na mionzi ya viwandani.
-Kupungua uzito kwa kasi au kujipunguza uzito sana, kwa mwanamke anaweza kupoteza siku zake au asivunje ungo, hivyohivyo kwa mwanaume hudumaa viungo vyake vya uzazi.

-Upasuaji wa viungo vya uzazi kama tulivyozungumza hapo awali.
-Kuumia korodani utotoni au hata katika umri wa ujana.-Uwepo wa uvimbe kwenye korodani au vifuko vya mayai ambao ni saratani.

Matatizo haya husababisha mtu asikue aonekane bado mdogo hata kama umri unaenda. Mwanaume mwenye tatizo hili linaweza kwenda mbali zaidi na kupoteza uwezo wa kunusa harufu ya aina yoyote.

DALILI ZA TATIZO
Dalili hizi zinatusaidia kufahamu kama tuna matatizo haya au la, au watoto, wadogo zetu na ndugu zetu wanaweza kuwa na matatizo haya. Mara nyingi tumezoea kuona watu wenye matatizo haya na kuwaita wamedumaa au vijeba.

Dalili kwa mtoto wa kike ambaye hajavunja ungo, utamwona bado ni mtoto yaani habadiliki yupo vilevile tangu alipokuwa na umri wa miaka kumi hadi anafikisha ishirini, matiti hayakui, urefu haongezeki. Kama tatizo likitokea baada ya kuvunja ungo huhisi joto muda wote hata kama kuna baridi, nywele sehemu za siri na makwapani hupuputika zenyewe, hupoteza hamu ya tendo la ndoa kabisa na haendelei tena kupata siku zake na kufunga hata zaidi ya mwaka.

Friday, July 17, 2015

Utafiti wa Jinsi Mbu anavyoweza Kutafuta Chakula Chake.

Mbu

Utafiti mpya umebaini kwamba mbu hutafuta kitu cha kula kwa kutumia vigezo vitatu,
  1. Harufu, 
  2. Macho na 
  3. Joto.
Utafiti huo unasema kuwa mbu anaweza kufahamu aliko mwanadamu kupitia hewa ya kaboni ambayo watu hupumua nje. Inasemekana mbu hunusa hewa hii kiasi cha mita 50. Wanasayansi wamesema kwamba walimfuatilia mbu mwenye njaa, ndani ya mtaro uliofunikiwa. Kisha waligundua kwamba mbu hao walianza kunusa nusa hewa ya kaboni, na kutema mapovu yenye matone meusi yaliowekwa na watafiti hao sakafuni.

Imebainika kwamba wakati mbu yuko mita chache karibu na kile anacholenga, huvutiwa sana na joto. Hii imebainisha kwamba hata hufuata joto hilo na kisha kumshambulia mwanadamu. Huenda ukapata Malaria au ukaponea lakini utakua na vipele pale vya mbu anapokuuma.

Sehemu za Mbu

Wednesday, July 15, 2015

Technology and It's Hazardous on Health.

It's hard to imagine life without cellphones, BlackBerrys and WiFi. But some people believe the technology that makes modern life so convenient may be hazardous to our health.



Mobile communications devices, along with microwave ovens, power lines, cellphone towers and wireless base stations, generate electromagnetic fields, a form of low-frequency radiation. EMFs have been studied as a possible factor in conditions from cancer to cognitive damage, particularly in teenagers and children, who have thinner skulls and still-developing brains.

A 2003 report from Lund University in Sweden found that rats at the development level of human teenagers experienced brain damage after being exposed to normal cellphone radiation; several recent studies have linked cellphone use to male reproductive damage and sleep disturbances in humans.
"There are enough scientific data to indicate that one should limit direct exposures to cellphone radiation," says Henry Lai of the University of Washington in Seattle, a leading researcher on the subject. "Much less is known on biological effects of wireless Internet systems, and exposure of radiation from these devices are much lower than that from cellphones. If exposure to cellphone radiation does turn out to be a health hazard, as present evidence suggests, then wireless Internet would be like passive smoking."



The World Health Organization and the National Institute of Environmental Health Sciences have classified ultra-low-frequency waves from power lines as possible carcinogens. But the WHO's Web site also states: "Considering the very low exposure levels and research results collected to date, there is no convincing scientific evidence that the weak RF [radio frequency] signals from base stations and wireless networks cause adverse health effects."

World Health Organization headquarters (W.H.O) at Geneva, Switzerland.

Not every scientist is convinced there's a problem. Many studies have found no definitive connection between cellphone and wireless Internet EMFs and health problems, and proponents of the technology point out that humans have transmitted long-range radio broadcasts for decades with no apparent problems.

Some people aren't taking any chances. Ontario's Lakehead University banned WiFi on campus because of its suspected health risks. A parents' group in Oak Park, Ill., filed suit against the school district in 2003 to prevent wireless Internet from being installed in schools, although the suit was later withdrawn.

Should you be concerned? The jury's still out. Unfortunately, there isn't much you can do to escape EMFs, though you can limit your use of cellphones and wireless devices, use headsets when possible and avoid living near power lines and cellphone towers.

And stay tuned for updates. Because mobile-phone and wireless technology is fairly new, studies examining the long-term effects of the devices are still underway.

-- Eviana Hartman


Learn How to Protect Yourself from harmful Radiation
Emitted by your Cell Phone, Cell Towers, and Wireless
Radiation. Click here Now
www.emfnews.org

Research Center For Wireless Technology
355 Hukilike Street Suite 206
Kahului,HI 96732
USA
Unsubscribe | Change Subscriber Options

The Fadhaget Sanitarium Clinic Ni Namba Moja Nchini kwa Matibabu Kamili ya Uzazi na Magonjwa Sugu.


Sasa The Fadhaget Sanitarium Clinic tumefanikiwa kuingia katika Namba ya kwanza nchini Tanzania kwa Kuwasaidia kikamilifu wanawake wanaotafuta uzazi. Riport zilizotufikia Asilimia 90% ya waliofika wakisumbuliwa na 

  1. Uvimbe wa kizazi,
  2. Kuziba kwa Mirija ya Uzazi, na
  3. Ugumba au kutokushika Mimba.
Wamerudisha taarifa nzuri kuwa wamefanikiwa kupitia dawa Zetu zitokanazo na Sayansi ya mimea Asilia. 

The Fadhaget Sanitarium Clinic Ni Kitengo cha Sayansi Ya Tiba Asilia Ambapo kwa Hakika tunahusika na Kutibu Maradhi Karibia Yote Hasa yale yaliyo Sugu kama vile 

  • Vidonda vya tumbo
  • Maumivu ya Chembe ya moyo
  • Kiungulia
  • Kutopata choo
  • Kutapika au kupata choo yenye Damu.
  • Matatizo ya Uzazi kwa Akina mama
  • Uvimbe wa Kizazi
  • Muambukizo katika via vya Uzazi kama vile Kuwashwa ukeni
  • Kutokwa na uchafu Mweupe wa harufu mithili ya Maziwa ya Mgando ukeni
  • Kutopata hamu ya Tendo la ndoa
  • Kuziba kwa Mirija ya Uzazi
  • Maelekezo kuzaa Mtoto jinsia unayoitaka.
  • Kupata maumivu makali chini ya kitovu au kiuno kuuma wakati wa Hedhi
  • Upungufu wa nguvu za kiume
  • Malaria Sugu
  • Kisukari
  • Figo na Uchafu wa mkojo kwa Ujumla
  • U.T.I Sugu
  • Magonjwa ya watoto (Watoto chini ya Miaka 5 hutibiwa bure)
  • Matatizo ya Arthima yaani Pumu
  • Miguu kufa Ganzi Miguu kuwaka Moto Miguu kuvimba na Kuuma Na Dalili nyingine nyingi Za Hatari kiafya. 

Kumbuka The Fadhaget sanitarium Clinic ni watu wa Jamii utakapo wafikia Utaweza kumuona Dr. Bure Ushauri ni Bure Vipimo Vyote ni Bure isipokuwa Kipimo cha Computer ndicho Utachangia Shilingi elfu 25 tu Karibu The Fadhaget Sanitarium Clinic Kwa Vipimo na Tiba

Tupigie kwa Ushauri 0757931376 au 0712705158 au 0787705158 au 0757505158 Utakutana na Dr.Fadhili Emily Mtaalam wa Tiba Asilia nchini Tanzania.

Dr Fadhili Emily

Monday, July 13, 2015

FAHAMU KINACHOSABABISHA KUTOSHIKA MIMBA-2



NiLiaNza wiki iliyopita kueleza kinachosababisha kutoshika mimba. Leo naendelea kufafanua. Kuna njia au aina mbili za wanawake kushindwa kushika mimba au kwa maneno rahisi, ugumba kitaalamu Infertility,  ambao unatambuliwa kitabibu.
Aina moja huitwa kitaalamu Secondary infertility na aina nyingine huitwa Primary infertility.
Ugumba unaotokea baadaye maishani hujulikana kitaalamu kama Secondary infertility
Ugumba huu hugundulika pale ambapo wote wawili, mwanamke na mwanaume wameshawahi kupeana mimba mara moja maishani mwao na baada ya hapo hawajafanikiwa kupata au kutungisha mimba tena.
Utafiti umegundua kuwa asilimia kati ya 30 na 40 ya tatizo la ugumba huu huwakumba wanaume ambapo wanawake ni kati ya asilimia 40 na 50.
Asilimia kati ya 10 na 30 zilizobakia ya tatizo hili husababishwa kwa pamoja na matatizo kati ya  wanaume na wanawake, japokuwa sababu halisi hazijulikani.
Kwa upande wa wanawake hufikia kilele cha kupata ujauzito (peak fertility) wakiwa kwenye umri wa  miaka 20 na 25 ambapo aliye na umri wa kati ya miaka 35 na 40  ana uwezekano wa kupata ujauzito kwa asilimia 10 tu.

Ugumba wa asili Primary infertility.
Ugumba huu hujulikana pale ambapo mwanaume na mwanamke hawajawahi kutungisha mimba kabisa maishani mwao licha ya kujamiiana kwa muda wa mwaka mmoja tena bila kutumia kinga yoyote ile ya kuzuia kupata mimba.

Jinsi mimba inavyotungwa
Mimba hutungwa baada ya mwanamke kutoa yai kutoka sehemu maalum ya kutengenezea mayai ya kike iitwayo kitaalamu Ovaries, kitendo hiki hujulikana kama Ovulation.
Baada ya hapo husafiri hadi kwenye mfuko wa uzazi ujulikanao kama Uterus (womb) kupitia kwenye mirija ya uzazi iitwayo kitaalamu  Fallopian.
Mbegu moja (sperm) ya kiume ni lazima itungishe au iungane (fertilize) na yai au mayai ya kike (ovum au ova) wakati yai likielekea kwenye Uterus. Baada ya mbegu ya kiume na yai la kike kuungana, muunganiko uliotengenezwa yaani Embryo hushuka mpaka kwenye mfuko wa uzazi na kujiwekeza hapo.

Sunday, July 12, 2015

A New Study Shows That Use of Mobile Phones Could Cause Cancer.

Weizmann Institute of Science in Rehovot
A new study published by New Scientists states that the use of mobile phones for a long duration could eventually cause cancer.


The study which was conducted by Weizmann Institute of Science in Rehovot, Israel revealed that using the mobile phone for a meager five minutes could generate cell growth or division through particular pathways that are often used by cancer only.

Prof Rony Seger
Prof Rony Seger from the Weizmann Institute along with his colleagues exposed rat and human cells to electromagnetic radiation of 875 megahertz, which is similar to that emitted by cell phones, but at only about one tenth of the power.



Just within five minutes of exposure to the radiation ended up in the generation of extra-cellular signal-regulated kinases (ERK1/2) - natural chemicals that stimulate cell division and growth.

Since the power is low, thereby not being able to produce considerable amount of heat to affect the cells or tissue, the effect was believed to come from the radiation itself, as per the researchers.

Prof Seger stated, "The real significance of our findings is that cells are not inert to non-thermal mobile phone radiation. We used radiation power levels that were around one tenth of those produced by a normal mobile. The changes we observed were clearly not caused by heating."

The pathways involving extracellular signal-regulated kinases ERK1/2 even though they exist naturally are often used by cancer. ERK1/2 is a naturally occurring chemical that stimulates cell division and growth. Even though activation of these pathways does not always lead to the development of cancer, the effect of the cell phone radiation may perhaps in the long run increase the risk.

In that case one wonders how are there yet so many people on the face of this earth. If such less mobile phone talking can lead to so much damage, then perhaps the earth should be a much emptier place.

Learn How to Protect Yourself from harmful Radiation
Emitted by your Cell Phone, Cell Towers, and Wireless
Radiation.

www.emfnews.org

Research Center For Wireless Technology
355 Hukilike Street Suite 206
Kahului,HI 96732
USA

Kuzuia na Kudhibiti Kupanda Kwa Shinikizo La Damu.

Shinikizo la damu ni msukumo wa damu kwenye kuta za mishipa. Shinikizo la damu laweza kupimwa kwa ukanda wa mpira unaoweza kujazwa hewa. Ukanda huo hufungwa kwenye sehemu ya juu ya mkono na kuunganishwa na kifaa cha kurekodi shinikizo. Kifaa hicho hurekodi vipimo viwili. Kwa mfano, chaweza kurekodi kipimo cha 120/80. Nambari ya kwanza huonyesha kipimo cha shinikizo la damu wakati moyo unapopiga (systole). Nambari ya pili huonyesha kipimo cha shinikizo la damu katikati ya mapigo ya moyo (diastole). Shinikizo la damu hupimwa kulingana na milimeta za zebaki. Madaktari husema kwamba shinikizo la damu ya mgonjwa limepanda wakati kipimo kinapozidi 140/90.
Nini hupandisha shinikizo la damu? Hebu wazia unamwagilia shamba lako maji. Unapofungua mfereji au unapopunguza ukubwa wa shimo la mfereji, unaongeza shinikizo la maji. Ndivyo ilivyo pia na shinikizo la damu. Shinikizo la damu hupanda wakati damu nyingi inapopita mshipani au wakati mshipa unapokuwa mwembamba. Mtu hupataje ugonjwa huo? Mambo mengi yanahusika.

Mambo Usiyoweza Kuepuka
Watafiti wamegundua kwamba iwapo mtu ana watu wa familia wenye tatizo la kupanda kwa shinikizo la damu, basi anakabili uwezekano mkubwa zaidi wa kupata ugonjwa huo. Takwimu zinaonyesha kwamba mapacha wanaofanana hupata ugonjwa huo zaidi ya mapacha wasiofanana. Uchunguzi mmoja ulizungumza juu ya “kuchunguza habari zinazopatikana katika chembe za urithi ambazo husababisha tatizo la kupanda kwa shinikizo la damu.” Hiyo inathibitisha kwamba kuna chembe za urithi zinazosababisha tatizo la kupanda kwa shinikizo la damu. Inasemekana kwamba uwezekano wa kupata tatizo hilo huongezeka mtu anapozidi kuzeeka, na kwamba wanaume weusi wanakabili uwezekano mkubwa zaidi wa kupata ugonjwa huo.

Mambo Unayoweza Kuepuka
Tilia maanani lishe bora! Shinikizo la damu ya watu fulani linaweza kupanda wanapokula chumvi (sodiamu). Hiyo inahusu hasa wagonjwa wa kisukari, watu ambao shinikizo la damu yao hupanda sana, wazee, na watu fulani weusi. Mafuta mengi katika damu yanaweza kufanyiza utando wa kolesteroli kwenye kuta za ndani za mishipa. Hivyo, mishipa huwa myembamba na shinikizo la damu huongezeka. Watu ambao ni wazito kupita kiasi kwa asilimia 30 wanaweza kupata tatizo la kupanda kwa shinikizo la damu. Uchunguzi mbalimbali unaonyesha kwamba kula vyakula vingi vyenye potasiamu na kalisi kwaweza kupunguza shinikizo la damu.

Uvutaji wa sigara unaweza kusababisha utando mgumu wa mafuta kwenye kuta za mishipa, ugonjwa wa kisukari, mshtuko wa moyo, na kiharusi. Kwa hiyo, mvutaji wa sigara aliye na tatizo la kupanda kwa shinikizo la damu anaweza kupata magonjwa ya moyo. Ijapokuwa uthibitisho unapingana, mfadhaiko na kafeini—inayopatikana katika kahawa, chai, na vinywaji vya kola—yaweza kusababisha tatizo la kupanda kwa shinikizo la damu. Kwa kuongezea, wanasayansi wanajua kwamba kunywa kileo mara nyingi na kupita kiasi na kutofanya mazoezi kwaweza kuongeza shinikizo la damu.

Kutunza Afya
Si jambo la busara kungoja hadi upate tatizo la kupanda kwa shinikizo la damu ndipo uanze kuchukua hatua zinazofaa. Mtu anapaswa kutunza afya toka anapokuwa kijana. Kutunza afya sasa kutafanya maisha yako yawe mazuri wakati ujao.

Mwafikiano wa Tatu wa Brazili Kuhusu Kupanda kwa Shinikizo la Damu ulionyesha mabadiliko fulani maishani ambayo yanaweza kupunguza tatizo hilo. Madokezo hayo yatawasaidia watu wasio na ugonjwa huo na wale wanaougua ugonjwa huo.

Watafiti walipendekeza kwamba watu walionenepa kupita kiasi wanapaswa kula lishe kamili isiyo na kalori nyingi, kufanya mazoezi ya kiasi kwa ukawaida, na kuepuka mbinu za kupunguza uzito haraka. Walipendekeza kwamba watu watumie gramu sita tu za chumvi au kijiko kidogo tu cha chumvi kila siku.* Hiyo inamaanisha kutumia kiasi kidogo tu cha chumvi wakati wa kutayarisha mlo, na pia kutokula sana vyakula vinavyouzwa makoponi, nyama baridi zilizopikwa (salami, hemu, soseji, na kadhalika), na vyakula vilivyokaushwa kwa moshi. Mtu anaweza kupunguza matumizi yake ya chumvi kwa kuepuka kuongeza chumvi anapokula na kwa kuchunguza vibandiko vilivyowekwa kwenye makopo ya vyakula vilivyotengenezwa viwandani ili kuona kiasi cha chumvi ambacho kimetumiwa.

Vilevile, Mwafikiano wa Brazili ulidokeza kula vyakula vingi vyenye potasiamu kwa kuwa vinaweza “kuzuia kupanda kwa shinikizo la damu.” Kwa hiyo, lishe bora yapaswa kuhusisha “vyakula vilivyo na chumvi kidogo na potasiamu nyingi,” kama vile maharagwe, mboga za kijani iliyokoza, ndizi, matikiti, karoti, viazi-sukari, nyanya, na machungwa. Ni muhimu pia kutokunywa kileo kupita kiasi. Watafiti fulani wanasema kwamba wanaume walio na ugonjwa wa kupanda kwa shinikizo la damu hawapaswi kunywa zaidi ya mililita 30 za kileo kila siku; wanawake na vilevile watu ambao si wazito sana hawapaswi kunywa zaidi ya mililita 15 za kileo.*

Mwafikiano wa Brazili ulikata shauri kwamba kufanya mazoezi ya mwili kwa ukawaida hupunguza shinikizo la damu na hupunguza uwezekano wa kupata ugonjwa wa kupanda kwa shinikizo la damu. Kuna faida kufanya mazoezi kwa kiasi kama vile, kutembea, kuendesha baiskeli, na kuogelea, kwa siku tatu hadi tano kila juma kwa muda wa dakika 30 hadi 45.* Mambo mengine yanayochangia afya bora yanatia ndani kuacha kuvuta sigara, kudhibiti ugonjwa wa kisukari na kiasi cha mafuta katika damu (kolesteroli na triglyceride), kula vyakula vyenye kalisi na magnesi ya kutosha, na kuepuka uchovu na kufadhaika kupita kiasi. Dawa fulani zaweza kuongeza shinikizo la damu, kama vile dawa za kuzibua pua, dawa za kutuliza kiungulia zilizo na sodiamu nyingi, dawa za kudhibiti hamu ya kula, na dawa za kumaliza maumivu ya kichwa na kichefuchefu zilizo na kafeini.

Kwa wazi, iwapo shinikizo la damu yako hupanda, daktari wako anaweza kukushauri kuhusu lishe na mazoea yako kulingana na mahitaji yako binafsi. Hata hivyo, kutunza afya tangu ujanani ni jambo lenye manufaa kwa watu walio na tatizo la kupanda kwa shinikizo la damu na kwa washiriki wote wa familia. Marian, aliyetajwa mwanzoni mwa makala hii, alilazimika kufanya mabadiliko maishani mwake. Ijapokuwa yeye ni mgonjwa, sasa anatumia dawa na anafurahia maisha. Vipi wewe? Endelea kudhibiti shinikizo la damu yako huku ukisubiri wakati ambapo watu wote watakuwa na afya bora na “hapana mwenyeji atakayesema, Mimi mgonjwa.”—Isaya 33:24.

KUPAMBANA NA UGONJWA WA KUPANDA KWA SHINIKIZO LA DAMU

1. Mambo Yanayoweza Kusaidia Kudhibiti Kupanda kwa Shinikizo la Damu

• Punguza uzito wa mwili
• Punguza kiasi cha chumvi unachotumia
• Kula vyakula vingi vyenye potasiamu
• Usinywe sana vileo
• Fanya mazoezi kwa ukawaida

2. Mambo Mengine Yanayoweza Kusaidia Kudhibiti Shinikizo la Damu
• Tumia vidonge vyenye kalisi na magnesi
• Kula vyakula vyenye makapi mengi tu
• Dhibiti mfadhaiko

3. Madokezo ya Ziada
• Acha kuvuta sigara
• Dhibiti kiwango cha kolesteroli mwilini
• Dhibiti ugonjwa wa kisukari
• Usitumie dawa zinazoweza kuongeza shinikizo la damu