Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Monday, August 24, 2015

Dr. Fadhili Emily Kutua Nchini Tanzania


Dr. Fadhili Emily
Bingwa wa magonjwa sugu, Dr. Fadhili Emily, anatarajia kutua nchini hivi karibuni kutoka katika Ziara ya Aliyotembelea nchi mbalimbali Ulaya. Daktari huyo bingwa wa magonjwa mengi ambayo yamekuwa ni sugu, ameahidi kuja na ujuzi zaidi kutoka katika Tafiti alizopitia na Ujuzi aliouongeza katika nchi mbalimbali za Ulaya hasa katika Tiba Sahihi.

Hivi karibuni tunategemea kupata Seminar kuhusu Jinsi ya kuchagua jinsia ya mtoto, Jinsi ya kupata mapacha na kusaidia pia kuelimisha elimu ya UZAZI kwa ujumla.

0 comments:

Post a Comment