Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Wednesday, July 29, 2015

Shuhuda Aliyeteseka Miaka 10 Bila Kupata Mtoto, Hatimaye Atoa Ushuhuda Baada ya Kupata Mtoto.

Shuhuda ajulikanaye kwa jina moja tu la Bi. Sophia ametoa ushuhuda wa kupata mtoto baada ya kupata matibabu kutoka The Fadhaget Sanitarium Clinic.

Bi. Sophia akiwa na mwanae.
Bi.Sophia amesema kuwa kwa muda wa miaka 10 amekuwa akitafuta mtoto lakini hakubahatika kupata mtoto. Kupitia matibabu kutoka kwetu aliweza kupimwa, na baada ya kupimwa akapatiwa dawa na sasa analea mtoto. The Fadhaget Sanitarium Clinic wamekuwa ni mabingwa wa kutibu magonjwa hasa yale yaliyo sugu kwa kutumia mimea na matunda. Ni jambo la furaha kuona wateja wetu wanatoa shukrani na kuonyesha furaha zao baada ya kutimiza ndoto zao hasa pale walipokata tamaa kuona kuwa matatizo yao hayatibiki. 
Tunapenda kutoa shukrani za Dhati kwa Bi. Sophia na pia kwa wale wote ambao wameshukuru kwa huduma zetu. Karibuni sana.
Bi. Sophia akionyesha furaha na Mwanaye.


0 comments:

Post a Comment