Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Friday, June 15, 2012

DK. FADHILI EMILLY WA FADHAGET SANITARIUM CLINIC ANAKUKARIBISHA WEWE UNAYESUMBULIWA NA MAGONJWA SUGU MBEZI TANGI BOVU.

Dawa zinazotolewa na kituo hiki ni ya kutumia mimea na matunda, watu wengi wameweza kupona kwa njia ya dawa zetu Unaweza kufika ofisini kwetu na utahudumiwa.
Ofisi za  Fadhaget Sanitarium Clinic Mbezi Tangi Bovu Dar es Salaam, Tanzania
Sehemu ya madawa
 Wahudumu wa Fadhaget S.C wakiwa katika chumba cha madawa
Zabibu Kabujabja  mpokeaji wa wageni (Receptionist)
Dawa zikipangwana msaidizi wa Dr Fadhili, dada Sara Zebedayo
Baadhi ya dawa

Mzee akitolewa sumu mwilini
 Mgonjwa akitolewa sumu

 Vifaa vya kisasa kwa wagonjwa
Daktari  Gabriel Simiga
 Dajtari mkuu wa Fadhaget S. C Fadhili Emilly
Mashineya kisasa
 Wagonjwa wakisubiria kumuona daktari

 Mgonjwa akichukuliwa ripoti  ya ugonjwa wake
 Mgonjwa akielezwa na dakrari Fadhili Emilly kuhusiana na ugonjwa unaomsumbua
 Moja ya gari la Dk. Fadhili Emilly
 Hapa ni geti kuu la kuingia clinic


Wazaaaaa wazua

Vifaa vya kisasa kwaajili ya wagonjwa
Daktari akiwa katika chumba cha mapumziko baada ya kazi nzito ya kuihudumia jamii

0 comments:

Post a Comment