Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Sunday, March 29, 2015

KANISA LA GOSHENI ENTERNATIONAL MINISTRY LA AZIMISHA KUTIMIZA MWAKA MMOJA WA HUDUMA

Leo katika kanisa la Gosheni Enternational Ministry lililoko Kimara Jijini Dar es Salaam wamesherekea mwaka mmoja wa huduma ya injri Tanzania Tangu kuanzishwa kwake.
kanisa hilo lilianza kwa huduma ya kinamama sita mpaka sasa lina zaidi ya Wahumini 50 wakiwemo wamama ,vijana ,wanaume na watoto likiwa na lengo la kusambaa Tanzania nzima na baadae kupanuka katika nchi nyingine Afrika na hata ughaibuni.

Akiongea na blog hii kanisani Mchungaji wa kanisa hilo Mch: Flora Kisui amesema kanisa hilo lina nia ya dhati ya kutangaza injiri ya kweli na kuinua vipaji vya huduma ya dini katika kuhubiri,kusambaza neno la Mungu na Uimbaji.

Tazama picha za matukio ya leo....Na Lonely Nzali

Dr.Kisui akifundisha neno la mungu


Mch: Frola Kisui Kiongozi wa kanisa la Gosheni akihubiri



Keki ilikatwa na Happy Birthday Gosheni Ikatimizwa


Mch Frola Na Dr.Kisui wakikata keki 

Upendo ulioneshwa kwa kila mtu


Kikundi cha vijana wajasiliamari cha UBORA

Kumbukumbu pia iliwekwa





0 comments:

Post a Comment