Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Sunday, March 22, 2015

MISS TANZANIA AFUNGUA MFUKO MAALUM KUWASADIA WATOTO WANAOZALIWA KABLA YA SIKU ZAO


Dorice Molle (katikati) akiwa na Waziri wa Afya wa Zanzibar, Thabit Kombo.

Hapa wakizindua rasmi mfuko wa kusaidia watoto ambao ni njiti (Premature).

Mkurugenzi wa Shindano la Miss Tanzania, Hashimu Lundenga akiteta jambo na Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu.

Mama mzazi wa mrembo huyo na kaka yake ambao nao walihudhuria hafla hiyo.

Kada wa chama CCM, Chrisant Mzindakaya naye alikuwepo.

Dorice akizungumza jambo na kutoa shukrani.

Baadhi ya wageni waalikwa katika hafla hiyo.

Mh. Thabiti Kombo, akizungumza jambo.

Kamati ya Miss Tanzania ikiwa na baadhi ya warembo waliopita kama Hoyce Temu, Rashida Wanjara na Basila Mwanukuzi.

Hoyce Temu ,Christina John na Rachel Temu baada ya kumalizika kwa hafla.

Mrembo anayeshikilia nafasi ya tatu katika Miss Tanzania, Dorice Mollel, leo amezindua rasmi mfuko wake wa kusaidia watoto ambao wanazaliwa kabla ya siku zao kutimia “ Premature” unaoitwa Dorice Mollel Foundation (DMF) katika hafla fupi iliyofanyika katika Hotel ya Hyatt Kempski, Jijini Dar.

Katika uzinduzi huo mgen rasmi alikuwa Waziri wa Afya wa Zanzibar, Mhe Mhmuud Thabith Kombo.

Uzinduzi huo ulihudhuriwa na mabalozi na warembo waliowahi kushiriki mashindano ya urembo nchini. Dorice ni mrembo ambaye ameweza kufanya vizuri sana kwa kujitolea kwa jamii ikiwemo kutoa vifaa mbalimbali mashuleni.

(PICHA NA IMELDA MTEMA/GPL)

0 comments:

Post a Comment