Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Tuesday, March 3, 2015

VIONGOZI NA WANANCHI WALIVYOMUAGA KAPTENI KOMBA DAR


VIONGOZI, WASANII NA WANANCHI WALIVYOMUAGA KAPTENI KOMBA DAR



Wasanii wa filamu na muziki wa Bongo Fleva wakiimba wimbo maalum wa kumuaga marehemu Komba.

Baadhi ya wasanii walioimba wimbo maalum.



Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nauye (katikati) akiimba wimbo maalum na wasanii wa muziki wa dansi





Jeneza lenye mwili wa marehemu likiwa viwanja vya Karimajee.





Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK. Jakaya Mrisho Kikwete, akiongoza
maelfu ya Watanzania kuuaga mwili wa Kapteni John Komba, katika viwanja
vya Karimjee jijini Dar es Salaam.





Rais Mstaafu wa awamu ya pili wa Tanzania Ali Hassani Mwinyi akipita kando ya jeneza lenye mwili wa John Komba.





Rais Mstaafu wa awamu ya tatu Benjamin Mkapa akitoa heshima za mwisho.





Spika wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda akiaga.





Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Eduard Lowassa, akipita kando ya jeneza.



Huyu ni Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulahman Kinana.





Aliyekuwa Katibu Mkuu wa zamani wa CCM. Yusuf Makamba akilia kwa uchungu wakati anakaribia jeneza.





Huyu ni mwanasiasa mkongwe Kingunge Ngombale-Mwiru.





Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP Dk. Rejinard Mengi akiaga.



Waziri wa Utalii Razaro Nyalandu akiaga mwili wa marehemu John Komba.



Mkuu wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna wa Polisi, Selemani Kova, akipiga saluti wakati wa kuaga.





Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Fenella Mukangala, akitoa heshima zake za mwisho.





Huyu ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Benard Membe.





Mchungaji Getrud Rwakatale akitoa heshima za mwisho.



Mwenyekiti wa Chama cha TLP Augustine Mrema akipita kando ya jeneza.





Anna Tibaijuka akitoa heshima zake.





Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)akipita kumuaga marehemu Komba.



Huyu ni Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia.



Mbunge wa Urambo Magharibi, Prof. Juma Kapuya, akitoa heshima zake za mwisho.

Mbunge wa Kilosa, Mustapha Mkullo, akitoa heshima zake.



Huyu ni Mbunge wa Nzega, Hamis Kingwangala.



Sehemu ya umati wa waombolezaji.



Mwakilishi wa Kambi ya Upinzani, Joshua Nasari, wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)akiongea jambo.



Spika wa Bunge, Anna Makinda akitoa ujumbe katika msiba huo.



Rais Kikwete (katikati) akiwa na makamu wake Gharib Bilal (kushoto) na Spika Anna Makinda.





Rais Mstaafu Benjamin Mkapa (wa pili kulia) akiwa na mkewe Anna (wa tatu kulia) wakiwasili viwanja vya Karimjee.



Waziri mkuu aliyejiuzulu,Edward Lowassa (kulia)akisalimiana na Mkapa.





Spika wa Bunge, Anna Mkapa (kushoto) akiwa na Mkapa.



Mbunge wa Kinondoni Idd Azzan (kushoto) akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe.



Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba (kulia) akiwa viwanja vya Karimjee.



Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba (kulia)akisalimiana na mwanasiasa mkongwe, Kingunge Ngombale.



Wake wa marehemu Komba, katikati ni mke mkubwa, Salome, na kulia ni mke mdogo.



Miongoni mwa wanafamilia wa marehemu Komba.



Mwili wa marehemu John Komba ukiingia Karimjee ili kuagwa na wananchi na viongozi leo jijini Dar.

0 comments:

Post a Comment