Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Monday, May 18, 2015

DIAMOND AANZA MAANDALIZI KWA AJILI YA MTOTO WAKE WA KIKE




STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' ameonyesha kuanza maandalizi kwa kijacho wake ambaye imeelezwa ni mtoto wa kike.
Diamond na mpenzi wake Zarinah Hassan 'The Boss Lady' wanatarajia mtoto wa kike mwaka huu. Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Diamond ametupia picha akiwa na kitanda cha magurudumu kwa ajili ya mtoto mchanga.

0 comments:

Post a Comment