Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Saturday, May 30, 2015

BLATTER ASHINDA TENA URAIS WA FIFA



Sepp Blatter baada ya ushindi.


Blatter akiwa na mpinzani wake Prince Ali bin al-Hussein wa Jordan.

SEPP Blatter ameshinda tena Urais wa FIFA kwa awamu ya tano baada ya kumshinda mpinzani wake Prince Ali bin al-Hussein wa Jordan.

Blatter amepata kura 133 dhidi ya 73 za mpinzani wake huyo katika raundi ya kwanza ya kinyang'anyiro hicho kilichofanyika nchini Uswizi jana licha ya kukumbwa na skendo za ufisadi.

0 comments:

Post a Comment