
Watanzania mapinduzi yamepamba moto kupindua mazoea tuliyozoea kuona katika TV zetu. Muonekano mpya, watangazaji waliosomea utangazaji kwa kiwango cha juu, waongozaji wa kimataifa vipindi vya TV, nyimbo za dini na za kijamii zenye muonekano tofauti na tulivyozoea kuona katika luninga zetu, vifaa vya kisasa na vyenye ubora wa picha na sauti kutumika katika luninga mpya ya TV51 ndani ya Mbezi Beach Dar es Salaam Tanzania.
Dr Fadhili Emili wa The...