Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Sunday, April 26, 2015

GOOD NEWS !! H BABA APATA MTOTO..HONGERA FLORA MVUNGI



Posted by: Adella TZA April 25, 2015 Entertainment



Mara ya mwisho mwanafamilia wa Bongofleva H Baba na mke wake ambae ni mwigizaji, Flora Mvungi walifika katika studio za #TZA na kufanya exclusive interview ambayo ilisikika kwenye AMPLIFAYA, na nilikuwekea pia kwenye AyoTV na millardayo.com.. Flora ambae ni mke wa H Baba alikuwa mjamzito wakati huo.

Good Good NEWS.. YES, nimepita kwenye ukurasa wa H Baba Instagram, amepost picha ikiwaonesha wakiwa na mtoto wao mchanga halafu kaandika hivi>>>”Uyu mimtoto wapili mke wangu anajifungua nashuhudia MWANZO wauchungu mpaka kijifungua kwake #Kiukweli heshima kubwa kwa mama Tanzaniteone ulijitahidi sana nakupa #HongeraKwakweli wewe nishujaa nanimfano wakuigwa Kwakweli kunamuda Nilikuwa nashindwa kavumilia natamani nitoke nje ila NASEMA hapana mpaka nishuhudie #mwisho wake!!!! ASANTE SANA “@h_baba123



H Baba ana mapenzi na Afrika yake.. mtoto huyu aliezalliwa tayari kapewa jina la Africa.. wa kwanza anaitwa Tanzanite.

Unahitaji chochote ninachokipata kisikupite? jiunge na mimi kwenyeTwitter,Facebook na Instagram kwa kubonyeza hapa>>> TwitterInstaFB na nitakua nikikutumia kila ninachokipata pia usisahau kusubscribeYouTube kwa kubonyeza hapa>>>>Videos ili kila video ya AyoTV ikufikie.

0 comments:

Post a Comment