Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Saturday, April 25, 2015

AFYA RADIO YAENDELEA KUFANYA VIZURI TUZO ZA EJAT

Ni vituo vyingi vya media nchini vimeweza kuwakilishwa na wanahabari wao lakini afya radio naweza kuwaita nguri wa tuzo hizo baada ya kuchukua mfurulizo ndani ya miaka minne na mwaka jana tukikumbuka mshindi aliyejizolea tuzo nyingi kuliko wote"overwinners" pia alitoka Afya radio hizi ni picha za matukio yalioendelea hapo jana katika ukumbi wa mlimani city jijini dar es salaam




Harith Jaha "Mr Credit" akipokea tuzo



Mwl: dotto Bulendu kushoto na Faraja john kulia ni mmoja ya walio pata Tuzo

Dotto Bulendu akipokea Tuzo



Faraja John akipokea tuzo



0 comments:

Post a Comment