Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Friday, June 5, 2015

NEEMA CHANDE AIBUKA NA KITUMBO

Imelda Mtema
Baada ya kupotea kwa muda mrefu, msanii wa filamu ambaye pia ni Miss Ruvuma 2007, Neema Chande ameibuka akiwa na mimba kubwa huku kukiwa na usiri juu ya mhusika wa tumbo hilo.


Msanii wa filamu ambaye pia ni Miss Ruvuma 2007, Neema Chande.

Neema hivi karibuni alikimbilia nchini India kusaka maisha na alipozungumza na mwandishi wetu juzi kwa njia ya simu alisema, watu wajue tu kwamba ana mimba aliyopewa na Muafrika mwenzake na anatarajia kujifungua ‘soon’.

“Nimefurahi sana kwani siku zote nilikuwa nikitamani maisha haya ya kulea tumbo na ‘soon’ nitarudi Tanzania kwa ajili ya kumuweka wazi baba kijacho kwani tuna mipango mizuri ya maisha,” alisema Neema.

0 comments:

Post a Comment