Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Sunday, June 7, 2015

MBUNGE EUGENE MWAPOSA AZIKWA UKONGA DAR



Sehemu ya waombolezaji waliofika nyumbani kwa marehemu Eugene Mwaiposa huko Ukonga Dar.


Katikati ni mume wa marehemu, Ally Mwaiposa, mtoto wao Salimila Mwaiposa (kushoto) na Mektrida Mwaiposa (kulia).


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda, akisalimia waombolezaji wakati alipofika nyumbani wa marehemu Eugene jana.


...Akimfariji mume wa marehemu, Ally Mwaiposa.


Spika wa bunge la Tanzania Anna Makinda akisaini katika kitabu cha maombolezo jana.


Askofu Msaidizi wa Kanisa la la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Chediel Lwiza (kushoto) akitoa ibada fupi ya kumwombea marehemu.


Baadhi ya watu waliosoma na marehemu nje ya Tanzania wakisoma risala ya maombolezo.


Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick (kushoto), Makamu wa Rais Dk. Mohammed Gharib Bilal (katikati) na Anne Makinda wakiwa katika maombolezo.


Baadhi ya waombolezaji waliofika mazishini.


Viongozi mbalimbali wa serikali wakiwa msibani.

MAKAMU wa Rais, Dk. Gharib Bilal, jana aliongoza mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Eugene Mwaiposa, huko Ukonga Kipunguni ‘A’ Matembele jijini Dar es Salaam ambako simanzi na vilio vilitawala miongoni mwa umati uliohudhuria huko akiwemo Waziri wa Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia; Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Makongoro Mahanga na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda,.

PICHA STORI: DENIS MTIMA NA HARUN SANCHAWA/GPL

0 comments:

Post a Comment