Karibu Fadhaget Sanitarium Clinic

Tunapenda kukukaribisha katika Kitengo cha Sayansi ya Tiba Asilia.

Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Wednesday, June 24, 2015

SPONSOR WA GAZETI LA RUMAFRICA GOSPO Online MAGAZINE DR. FADHILI EMILY AMZAWADIA ZARI BAISKELI

Mpenzi wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’. Mwandishi wetu DAKTARI wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Dokta Fadhili Emily, amemnunulia baiskeli ya kubebea mtoto, mpenzi wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kama zawadi pindi atakapojifungua. Mfano wa baiskeli aliyitoa Dkt. Fadhili kwa Zari. Akizungumza na Risasi Mchanganyiko akiwa nchini Sweden alikoenda...

Saturday, June 20, 2015

TRICHOMONIASIS

TRICHOMONIASIS Trichomoniasis, sometimes called "trich" (pronounced "trick"), is a common sexually transmitted infection (STI) that affects both females and males, but symptoms are more common in females. Trichomoniasis is caused by the single-celled protozoan parasite, Trichomonas vaginalis. The vagina is the most common site of infection in girls and women, and the urethra (urine canal) is the most common site of infection in boys and...

MWIMBAJI WA GOSPO CHRISTINA MITAMBO AACHI HISTORIA YA MAISHA YAKE

...

OMBI LA KUPANDA KWA BEI ZA MAJI SAFI NA MAJI TAKA

Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Ewura, Simon Sayore, Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Mhandisi, Mutaekulwa Mutegeki. Wadau mbalimbli wakiwa katika mkutano huo. Mkutano ukiendelea. Mmoja wa wadau wa mkutano huo akichangia hoja.Wadau wakisiliza hoja za mjumbe aliyekuwa akichangia hayupo pichani pamoja na viongozi wengine waalikwa.MAMLAKA ya Udhibiti wa Maji Safi na Maji Taka (EWURA),...

TIGO YATOA DOLA 150,000 KWA HOSPITALI YA CCBRT KUSAIDIA WATOTO WENYE MIGUU ILIYOPINDA

Meneja Mkuu wa Tigo, Diego Gutierrez  (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati wa hafla fupi ya kutiliana saini mkataba wa kusisaidia Hospitali hiyo. Kutoka kulia ni Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Hospitali ya CCBRT, Erwin Telemans na Daktari Bingwa wa Mifupa wa Hospitali hiyo, Prosper Alute.  Ofisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa Hospitali ya CCBRT, Erwin Telemans akizungumza katika hafla hiyo. ...

PETRO MWAMPASHI KUWA MOTO NDANI YA KANISA LA KKKT SALASALA-DAR

...

ALIYETEKA ALBINO TABORA AFUNGWA JELA MIAKA 10‏

Masanja Mwinamila (44) mara baada ya kufikishwa katika kituo cha Polisi Wilaya ya Nzega Juni 15, 2015. Mtoto Margreth Hamisi Machiya (6) aliyenusurika kuuzwa akiwa hai na mjomba wake.  Mtoto Margreth baada ya kufikishwa Kituo cha Polisi Wilaya ya Nzega usiku wa manane. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, ACP Juma Bwire akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na tukio hilo Juni 16, 2015.   Na Daniel Mbega,...

MARY MGOGO ANAKUALIKA KATIKA TAMASHA LA UZINDUZI WA DVD YAKE NDANI YA UBUNGO PLAZA-DAR

...

JENGO LA EKAMASUITES LODGE YA KIJITONYAMA DAR LATEKETEA KWA MOTO

Jengo la nyumba ya wageni ijulikanayo kama Ekamasuites Lodge iliyopo kijitonyama jijini Dar, linavyoteketea kwa moto.Jengo lilivyoteketea kwa moto. kikosi cha zimamoto kikikiwasili eneo la tukio. Jengo moja la Nyumba ya wageni ijulikanayo kama Ekamasuites Lodge iliyopo eneo la Kijitonyama karibu na Kituo cha Polisi cha Mabatini jijini Dar es Salaam, imeteketea vibaya kwa moto muda mfupi uliopita, Kikosi cha Zima Moto kimechelewa kufika eneo la tukio...

JENNIFER MGENDI KUFANYA TAMASHA KUBWA TABATA -DAR

...

Friday, June 19, 2015

KUMUONA MTOTO WA ZARI, MIL.20

AMA kweli Mbongo-Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Mama Kijacho, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, sasa ni wa kimataifa zaidi ambapo wakati mwanamama huyo akijiandaa kujifungua, tayari mtoto ajaye ameandaliwa chumba maalum cha kulala na gharama za kumuona kwa atakayehitaji picha hasa za kwenye vyombo vya habari, itakuwa si chini ya Sh. milioni 20. Mbongo-Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Mama Kijacho, Zarinah Hassan ‘Zari...

Tuesday, June 16, 2015

SEHEMU YA KWANZA: MATUKIO YA TAMASHA LA FLORA MBASHA LILILODHAMINIWA NA THE FADHAGET SANITARIUM CLINIC ILIYOPO MBEZI BEACH

Jina la Flora Mbasha sio geni masikio mwa watu wengi duniani. Flora Mbasha amejulikana kutokana na uimbaji wake wa nyimbo za Injili nchini na nje ya Tanzania. Huduma yake hii imewagusa watu wengi sana na na kusabaisha watu kuweza kuokoka. Rumafrica ilibahatika kuhudhuria tamasha la Flora Mbasha siku ya Jumapili 14/06/2015 katika ukumbi wa Ubungo Plaza na kuweza kujifunza mengi sana kutoka kwa mkongwe wa nyimbo za Injili Tanzania Flora...