Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Thursday, February 26, 2015

MISS UNIVERSE NALE BONIFACE ATEMBELEA KITUO CHA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALBINO) CHA SALVATION ARMY JIJINI DAR ES SALAAM



Miss Universe Tanzania 2014-2015 Nale Boniface akikata keki na wanafunzi wenye matatizo ya Ngozi (ALBINO) wakati alipotembelea kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji cha Salvation Army jijini Dar es Salaam ikiwa ni madhimisho ya siku yake ya kuzaliwa ambapo aliamua kuwapelekea zawadi watoto hao.
Miss Universe Tanzania 2014-2015 Nale Boniface akiwalisha Keki na wanafunzi wenye matatizo ya Ngozi (ALBINO) wakati alipotembelea kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji cha Salvation Army jijini Dar es Salaam ikiwa ni madhimisho ya siku yake ya kuzaliwa ambapo aliamua kuwapelekea zawadi watoto hao.

Miss Universe Tanzania 2014-2015 Nale Boniface akitoa zawadi kwa mmoja wa wanafunzi wenye matatizo ya Ngozi (ALBINO) wakati alipotembelea kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji cha Salvation Army jijini Dar es Salaam ikiwa ni madhimisho ya siku yake ya kuzaliwa.

Sehemu ya wanafunzi wenye matatizo ya Ngozi (ALBINO) katika kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji cha Salvation Army jijini Dar es Salaam.

Miss Universe Tanzania 2014-2015 Nale Boniface akigawa madaftari kwa wanafunzi wenye mahitaji wakati alipotembelea kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji cha Salvation Army jijini Dar es Salaam ikiwa ni madhimisho ya siku yake ya kuzaliwa ambapo aliamua kuwapelekea zawadi watoto hao.

0 comments:

Post a Comment