Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Saturday, February 28, 2015

KAPTENI JOHN KOMBA AFARIKI DUNIA


MSIBA MZITO: Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba (pichani), amefariki dunia jioni hii katika hospitali ya TMJ jiijini Dar, mtoto wa marehemu Herman Komba amethibitisha huku akilia. HABARI ZAIDI KUWAJIA HIVI PUNDE.

0 comments:

Post a Comment