Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Saturday, February 7, 2015

AJALI YA GARI YAJERUHI ABIRIA MKOANI LINDI

AJALI hii ilitokea jana eneo la Mbanje kwenye barabara kuu ya Lindi - Dar katika Manispaa ya Lindi ikilihusisha gari la abiria aina ya Toyota Dyna linalofanya safari zake kati ya Lindi na Mpatwa lenye namba za usajili T 412 ASA. Gari hilo lilipinduka baada ya dereva wake kushindwa kulihimili.












Taswira kutoka eneo la ajali iliyotokea eneo la Mbaje, Lindi.

0 comments:

Post a Comment