Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Friday, January 16, 2015

WATOTO WAWILI WATEKETEA KWA MOTO KIJIJI CHA MBELA, MWANZA

WATOTO wawili wa familia moja, mmoja wa kike mwenye umri wa miaka minne na mwingine wa kiume mwenye umri wa mwaka mmoja wameteketea kwa moto na mmoja kujeruhiwa leo baada ya kibatari kulipuka na kuteketeza nyumba kijiji cha Mbela wilayani Misungwi mkoa wa Mwanza.


Muonekano wa nyumba baada ya kibatari kulipuka na kupelekea watoto wawili wa familia moja kufaliki dunia wakiwa ndani ya nyumba hiyo leo kijiji cha Mbela Wilayani, Misungwi mkoa wa Mwanza.

Mmoja ya watoto hao baada ya kuteketea kwa moto.


Wananchi wakiwa eneo la tukio.


Mtoto akifunikwa na kanga baada ya kupoteza maisha.

Wananchi wakiwa katika hali ya huzuni mmoja wao wa pili kutoka kulia mbele akiwa amembeba mtoto aliyejeruhiwa na moto huo.

...Wakiendelea kushangaa katika eneo la tukio.

0 comments:

Post a Comment