Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Monday, January 26, 2015

MWANAMKE AWAUA WATOTO WAKE WAWILI NA KUWAZIKA NDANI YA NYUMBA YAKE



Mwanamke mmoja mkazi wa mkoa wa Tabora wilaya ya Tabora mjini kata ya Chemchem amewaua watoto wake wawili na kuwazika ndani ya nyumba yake.
Mwanamke huyo amedai kuwa kilichomfanya awalishe sumu watoto wake ni ugumu wa maisha uliokuwa ukimkabili baada ya kukimbiwa na mumewe.


Kwa mujibu wa jirani yake, siku ya tukio mwanamke huyo alisikika akichimba shimbo ndani ya nyumba yake kabla ya kutangaza kupotelewa na watoto wake siku ya pili yake.

Taarifa ya kupotea kwa watoto hao ilimpa mashaka jirani huyo na kumlazimu akatoe taarifa polisi.

0 comments:

Post a Comment