Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Monday, October 13, 2014

WAZIRI SOPHIA SIMBA AZINDUA KAMPENI YA SARATANI DAR ES SALAAM

KAMPENI ya kuchangia matibabu ya saratani ya matiti nchini imezinduliwa leo na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba, jijini Dar es Salaam ambapo amewataka wananchi kuchangia shilingi 1,000 kwa kila mtu ili kuunga mkono hatua hiyo.

Kampeni hiyo inaendeshwa na Asasi ya Saratani ya Matiti Tanzania (Tanzania Breast Cancer Foundation) na wataalam wake wanasema ugonjwa huo unatibika ukiwahiwa mapema


Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba, akizungumza na wanahabari (hawapo pichani).


Kulia ni Bingwa wa Magonjwa ya Saratani Hospitali ya Ocean Road, Dk. Dominista Kombe (katikati); Mkurugenzi wa Habari hospitali hiyo, Assah Mwambene; Waziri Simba na Mkurugenzi wa Asasi ya Saratani ya Matiti Tanzania, Angela Kuzilwa, wakiwa katika uzinduzi huo.

Wanahabari wakiwa kazini.





.
Sehemu ya hotuba ya waziri Simba.

0 comments:

Post a Comment