Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Wednesday, October 15, 2014

MARK ZUCKERBERG KUCHANGIA EBOLA

Mwanzilishi wa Facebook, Mark Zuckerberg (kulia) akiwa na mkewe, Priscilla Chan.

Mwanzilishi wa Facebook, Mark Zuckerberg amesema yeye na mkewe Priscilla Chan, watachanga dola milioni 25 za kusiadia vita dhidi ya Ebola.

0 comments:

Post a Comment