Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Wednesday, October 1, 2014

DR. FADHIL EMILY WA THE FADHAGET SANITARIUM CLINIC AHUDHURIA KIKAO CHA KUTETEA TIBA ASILIA AKIWEPO MH. KINGUNGE GOMBALIMWIRU DODOMA

Dr. Fadhil Emily akiongea na bloger wa Fadhaget Sanitarium Clinic alisema, alikwenda Dodoma kwa mualiko wa kuhudhuria kikao cha kutetea Tiba Asilia. Mambo yaliyoongelewa ni kutaka serikali ya Tanzania kutambua kuwa Chuo cha Mheshimiwa Dr. Dadao ni cha uhakika na kutambua kuwa wasomi waliopo hapo chuoni wana mafunzo bora na wanaweza kufanya kazi ya kuwahudumia watu kwa njia ya Tiba Asilia. Kikao hicho kilihudhuriwa na baadhi ya viongozi wa serikali ya Tanzania akiwemo Waziri wa Afya na Mh. Kingunge Ngombalimwiru.

Katika kikao hicho Dr. Fadhil Emily aliteuliwa kuwa mwenyekiti wa Tiba Asilia na Tiba Mbadala Tanzania.


 Wa pili kutoka kulia ni Dr. Fadhil Emily wa The Fadhaget Sanitarium Clinic na wa tatu kutoka kulia ni Mh. Kingunge Gombalimwiru


0 comments:

Post a Comment