Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Saturday, April 26, 2014

THE FADHAGET SANITARIUM YAFUNGUA TAWI LAKE KAHAMA

Watu wa Kahama sasa wanaweza kujipatoia huduma zetu za tiba ya matunda na mimea katika eneo lao bila ya tatizo lolote. The Fadhaget Sanitarium imekuwa ikipokea maombi mengi sana kutoka kwa watu wa kahama ambao wamekuwa wakisumbuliwa na magonjwa sugu na kusababishia kukosa hata nuda wa kwenda kufanya kazi za maendeleo. Kwahiyo The Fadhaget Sanitarium Clinic baada ya kuona hayo iliamua kutii kile ambacho wana Kahama wanakihitaji.





0 comments:

Post a Comment