Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Friday, December 5, 2014

JE, VIDONDA VYA TUMBO VINATIBIKA?-2



Kama tulivogusia wiki iliyopita kuhusiana na visababishi vinavyoweza sababisha tatizo hili la vidonda vya tumbo, navyo ni kama;•Kutofuata ratiba nzuri ya chakula.
•Mawazo (Stress).

•Kula chakula kingi kupita kiasi, hii imekuwa kama hali ya kawaida hasa kwa wanaume wengi na hata wengine kudiriki kusema kwamba “Sifa ya mwanaume ni kula sana”

wakati hii siyo sahihi na kama mwanadamu anakuwa na tabia hii ya kula sana basi kunauwezakano mkubwa wa kupata tatizo hili la vidonda vya tumbo hasa kwenye utumbo mwembamba ndiyo maana wanaume wanapatwa na tatizo hili mara mbili zaidi ya wanawake na hasa kwa wanaume wenye umri kuanzia miaka 40 – 55, lakini hii haimaanishi kwamba kwa watu wenye umri chini au juu zaidi ya hapo hawawezi kupatwa na tatizo hili.

Inaaminika kwamba asilimia 15 ya Watanzania wote wana tatizo hili la vidonda vya tumbo na nusu tu ya watu wenye tatizo hilo wanakuwa wamefanyiwa vipimo na wako tayari kwa matibabu.

MADHARA YA TATIZO HILI (CONSTIPATION)
Basi leo tutayaona madhara makubwa yanayowakuta watu wanaopatwa na tatizo kama hili na wanakuwa hawachukui hatua za haraka kulitibu moja kwa moja. Na madhara hayo ni kama;
•Kupatwa na hali ya tumbo kujaa gesi na miungurumo ya hapa na pale.

0 comments:

Post a Comment