Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Thursday, September 18, 2014

UNADHANI WANANCHI WAMEPATA ELIMU YA KUTOSHA JUU YA UGONJWA WA EBOLA?

Bado jitihada zaidi zinahitajika, wengi wao wanajua juujuu tu. Serikali inabidi itoe elimu zaidi. Wakati huohuo, serikali inapaswa kuwa makini na watu wanaotoka nchi zilizoathiriwa na ugonjwa huo ili kuzuia kuuingiza nchini.


Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Herry Samir 'Blue'

Herry Samir
’Mr. Blue’:Bado kabisa hakuna kitu kilichoeleweka, kuna wananchi ambao bado ujumbe haujawafikia vya kutosha na ndiyo maana kuna baadhi ya watu hawajui Ebola ni nini.
Kikubwa waelimishwe juu ya maradhi hayo ambayo ni hatari kwa sababu uua kwa muda mfupi.


Mkali wa bongo flava kutoka (THT) Amini Mwinyimkuu

Amini Mwinyimkuu
Kila mtu anauzungumzia ugonjwa wa Ebola, hivyo inamaanisha kuwa elimu imeeleweka na Watanzania wengi wanaomba usifike katika mataifa mengine, kwa taifa na mataifa yaliyokumbwa na ugonjwa huo Mungu awafanyie wepesi kuepukana nao.


Malkia wa zouk tanzania Hafsa Kazinja Hafsa Kazinja:

0 comments:

Post a Comment