Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Friday, September 5, 2014

DR. FADHILI EMILY ATOA POLE KWA WALIOFIWA NA KUUMIA KATIKA AJALI MBAYA BASI LA J4 COACH ILIYOKEA LEO

Nimepokea kwa masikitiko makubwa sana baada ya kusikia watu wamepoteza maisha yao katika ajali hii mbaya iliyokea leo na wengine kupata maumivu makubwa katika viungo vyao, inasemekana watu zaidi ya 28 wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya mabasi ya Mwanza Coach na j4 Express lenye namba za usajili T677 CYC lililokuwa likitokea Sirari kwenda Mwanza kugongana na basi la Mwanza Coach lenye namba za usajili T736 AWJ leo asubuhi.

Miili na majeruhi wakipokelewa katika Hospitali ya mkoa wa Mara.
...
Baadhi ya maiti zikiwa zimefunikwa.


Baadhi ya wakazi wa Mara pamoja na wauguzi wakiangalia maiti wa ajali hiyo


Baadhi ya wakazi wa Mara wakiwa wamekusanyika katika hospitali hiyo.

0 comments:

Post a Comment