Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Thursday, March 6, 2014

THE FADHAGET SANITARIUM CLINICM - KITENGO CHA SAYANSI YA TIBA ASILIA TUMEFUNGUA MATAWI SABA MIKOANI



Dk. Fadhili Emily wa The Fadhaget Sanitarium Ckinic
Tunahusika na kutibu magonjwa karibia yote, hasa yaliyo sugu kama vile vidonda vya tumbo, figo kufa ganzi, miguu kuwaka moto, kuvimba miguu na unapobonyeza linabaki shimo, kisukari, pumu, moyo, mapafu, sickle cell (upungufu wa damu), kuziba kwa mirija ya uzazi, uvimbe wa kizazi, matokeo ya dalili za hatari katika via vya uzazi kama vile kuwashwa, vipele kutokea pembeni mwa mlango wa uzazi, kutoka kwa uchafu kama maziwa ya mgando katika eneo la uzazi, kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa, mimba kutoka, kuzaa mtoto jinsia unayotaka, matatizo ya chango la uzazi, upungufu au ongezeko la siku za kike yaani hedhi, upungufu wa kinga mwilini (CD4 na CD8), na dalili nyingine za hatari kiafya.


The Fadhaget Sanitarium Clinic tunapatikana

1. DAR ES SALAAM
Mbezi Beach Afrikana njia ya Salasala


2. MWANZA

Tunapatika Mwanza mjini Kilimahewa kituo cha Mnazi mmoja barabara mpya ya lami

3. ARUSHA
Arusha tunapatikana round about ya Florida nyuma ya Galax

4. MBEYA
Mbeya tunapatikana mjini karibu na Shule ya Msingi Sisimba au karibu na Mbeya Peak Hotel

5. ZANZIBAR
Zanznibar tunapatikana Unguja barabara kuu ya Amani, kituo cha Gongo Store

6. TANGA
Tanga tunapatikana Tanga mjini barabara ya 16 kituo cha Mzimuni ni nyumba ya 7 kushoto kama unaelekea jela ya watoto.

7. DODOMA
Dodoma tunapatikana Dodoma mjini karibu na soko kuu Majengo ni ghorofa ya kwanza kulia kwako kama unaelekea stand ya Mshikamano.

Logo au nembo ya The Fadhaget Sanitarium Clinic

Tupigie kwa ushauri
+255 712 705 158
+255 757 931 376
+255 787 705 158
+255 757 505 158
+255 774 505 158
+255 787 505158

DR. Fadhili Emily

Fuatilia vipindi vyetu kupitia
1. Star TV: saa 3:30 usiku Jumatatu usiku (kila siku) baada ya idhaa ya BBC London .
2. Radio Free Africa: Kila siku za Jumamosi saa 3:30 baada ya taarifa ya michezo
3. Channel 10: Kila siku za Jumatano saa 11:00 jioni
4. Praise Power Radio: Kila siku za Jumanne na Alhamis saa 2:00 usiku hadi 3:00 usiku.


Mara nyingi watu tumekuwa tukiishi bila kujali afya zetu, pengine kutokuona umuhimu wa afya au kutokuwa na elimu ya kutosha kuhusu afya kwa kutambua hilo The Fdhaget Sanitarium Clinic kitengo cha Sayansi ya Tiba Asilia, tumeamua kuungana na jamii katika kutoa elimu ya afya. Katika vyombo vya habari kama vile TV, vituo vya redio, vipeperushi, CD, DVD, na vitabu vinavyoelimisha kuhusu afya. Hili litatufanikisha kuweza kufahamu umuhimu wa afya zetu.

CD zenye mafundisho juu matumizi ya simu na madhara yake, zinapatikana ofisini kwetu

Tunashauri ndugu zetu jamaa na marafiki umuhimu ya kutibiwa au kujitibu kwa kutumia dawa zitokanazo na mimea na matunda asilia, kwani hazina kemikali yoyote ambazo zaweza kusababisha usumbufu mwingi katika miili yetu. Bali dawa hizi zinatusaidia virutubisho, madini, na vitamin muhimu katika mwili.

Maasai nao baada ya kuhangaika sana kutafuta njia ya kutatua matatizo yao ya magonjwa waliweza kufika The Fadhaget Sanitarium Clinic na kukutana na Dk.  Fadhili Emily kwa vipimo na tiba.

Tunawatakia afya njema na Mungu awabariki
Kutana na DR. Fadhili Emily wa The Fadhaget Sanitarium Clinic kwa ushauri na tiba ya afya, waweza kupiga kwa ushauri
+255 712 705 158
+255 757 931 376
+255 787 705 158
+255 757 505 158
+255 774 505 158
+255 787 505158

DR. Fadhili Emily

THE FADHAGET SANITARIUM CLINIC KWA VIPIMO NA TIBA
UMUHIMU WA KUTIBIWA NA DAWA ZITOKANAZO NA MIMEA NA MATUNDA ASILIA

Kutokana na uumbaji wa Mungu ilipendekezwa na Mungu mwenyewe, mwanadamu ajitibu au atibiwe kwa kutumia uasili alioupata katika bustani ya Eden, ambao kwa hakika ni miti, majani na matunda mbalimbali ya porini, ushahidi soma Ezekiel 47:7-12, fungu hili linazungumzia jinsi na namna ya matunda na majani yalivyobarikiwa kwa njia ya uponyaji.

Utumiaji wa dawa zitumikazo na mimea na matunda asilia, humuwezesha mgonjwa apate kujitibu salama pasipo ongezeko la kemikali au sumu yoyote katika mwili, ziwezazo kutokana na dawa za kemikali ambazo kwa hakika tumekuja kupata baada ya mapinduzi ya viwanda, ambapo kwa hakika zimeanza karne ya 19 mpaka karne hii tuliyonayo hivi leo.

Kutana na wahudumu mbalimbali kutoka kona mbalimbali za dunia kuweza kusaidiwa na tiba itokanayo na mimea asilia.

Kwa maoni na ushauri tupigie kwa namba zifuatazo
+255 712 705 158
+255 757 931 376
+255 787 705 158
+255 757 505 158
+255 774 505 158
+255 787 505158
DR. Fadhili Emily wa Fadhaget Sanitarium Clinic

Tunamshukuru Mungu kwa kuisaidia The Fadhaget Sanitarium Clinic kupata huu usafiri ambao umekuwa msaada mkubwa sana katika utafutaji madawa maporini na kusaidia wagonjwa wanapokuwa wamezidiwa majumbani mwao au mahali popote pale.

TEMBELEA BLOGU YETU
www.fadhaget.blogspot,com

0 comments:

Post a Comment