Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Tuesday, May 13, 2014

TIBA YA UGONJWA UNAOSABABISHWA NA MBU DENGUE YAPATIKANA THE FADHAGET SANITARIUM CLINIC KWA DOCTOR FADHILI EMILY

The Fadhaget Sanitarium Clinic chini ya Dr. Fadhili Emily ni kitengo cha Sayansi na Tiba Asilia, tunakiri wazi ugonjwa wa  dengue ni fani yetu , mimi ugonjwa huu nimeufanyia utafiti mwaka 2010 nchini Afrika Kusini kupitia kitengo cha University of Medicine Plant  kilichopo Pritoria na ni wazi  kwamba ugonjwa huu ulikuwepo na tulikuwa tukiutibu kuanzia hapo.
http://zanzibariyetu.files.wordpress.com/2013/06/latest-dengue-fever-in-lahore-punjab-dengue-report-updates2.jpg?w=584&h=371
Ni wengi walikuwa wakisumbuliwa na ugonjwa huo na wakipima mahospitalini wanakutwa hawana malaria ila wanapofika The Fadhaget Sanitarium Clinic nawapa dawa zilizo na uwezo wa kirutubisho cha Ferus Hydroxide (Fe+) na Alcaroid Acid Synatic ni ndani ya masaa matano utaanza kuona uzima.

Piga simu kwa ushauri kama umeziona dalili kama hizo hapo juu kwa namba +255 757 505158 au +255 712 705158

Dr. Fadhili Emily
Tembelea
www.fadhaget.blogspot.com

JINSI YA KUFIKA
Kama unatokea Mwenge, panda magari ya Tegeta, shuka kituo cha Afrikana, uliza The Fadhaget Sanitarium Clinic kwa Dr. Fadhili Emily. Tupo hapa Dar es Salaam na mikoa 10 hapa nchini Tanzania

0 comments:

Post a Comment