Salome Faustine ambaye alikuwa na tatizo la kupata mimba kutokana na uvimbe katika kizazi kwa muda wa miaka 6, baada ya kutumia dawa za The Fadhaget Sanitarium Clinic aliweza kupata mimba na sasa amejifungua mtoto. aliweza kufika ofisi kwetu na kutupongeza kwa huduma zetu.

Faustine akisalimia na baadhi ya wahudumu baada ya kupata ujauzito

Faustine akisalimia na baadhi ya wahudumu baada ya kupata ujauzito

Dk. Fadhili Emily akiwa na mtoto wa faustine baada ya kujifungua. Picha hii ilipigwa kipindi Salome Faustine alitembelea clinick hii kumpongeza Dk. Fadhili Emily kwa sawa yake uliyomponya uvimbe katika kizazi

Dk Dk. Fadhili Emily akiwa na Salome Faustine

Wadumu wakiwa na mtoto wa Salome Faustine

0 comments:
Post a Comment