Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Sunday, April 14, 2013

GARI LA DK FADHILI EMILY WA THE FADHAGET SANITARIUM CLINIC LIKIWA LIMETOKA MKOA WA TABORA

Dk. Fadili Emily alifunga safari hadi mkoa wa Tabora kwaajili ya kutafuta dawa mbalimbali. Safari yake ilikuwa ndefu sana kwa lengo la kukusaidia wewe unayesumbuliwa na magonjwa mbalimbali.
Karibu wewe unayesumbuliwa na wewe mwenye mgonjwa upate dawa zenye kuponya.
 gari likiwa katika Makao Makuu ya The Fadhaget Sanitarium Clinic

 


0 comments:

Post a Comment