Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Monday, July 7, 2014

TAHADHARI KWA WANAOTUMIA SIMU NA KUWEKA VYAKULA KATIKA MIFUKO AU VYOMBO VYA PLASTIC


Dr. Brian Berry wa Marekani amegundua  kansa mpya kwa binadamu inayosababishwa na Silver Nitro Oxide. Unaponunua kadi ya simu usichune kwa kucha kwani imo hiyo Silver Nitro Oxide na inaweza kusababisha  kansa ya ngozi. Watumie ujumbe huu wale unaowafahamu:
http://i.telegraph.co.uk/multimedia/archive/02414/mobilePhone_2414866b.jpg
NUKUU MUHIMU ZA AFYA
1.       Sikiliza simu kwa sikio la kushoto
2.       Usimeze dawa na maji baridi
3.       Usile chakula kizito baada ya saa kumi na moja jioni
4.       Kunywa maji mengi asubuhi na kidogo usiku
5.       Wakati mzuri wa kulala ni kuanzia saa nne  hadi kumi usiku
6.       Usilale mara baada ya kula dawa au chakula
7.       Ikiwa chaji imebaki kijino cha mwisho usipokee simu kwani mionzi inakuwa na nguvu kwa mara 1000 zaidi
Unaweza kuwatumia haya wale unaowajua? Mie nimeshafanya. Huruma haigharimu kitu lakini elimu ni nuru.

UMUHIMU
Jumauiya ya uchunguzi ya Marekani imetoamajibu mapya
1.       Usinywe chai kwa kikombe cha plastic
2.       Usile chochote kwenye mifuko ya plastic.
Pastic ikikutana na joto inatoa vitu vinavyosababisha aina 52 za kensa. Kwahiyo ujumbe huu ni borakuliko mijumbe 100 isiyo na maana. Tafadhali wapelekee unaowajua. Nimefanya kwa sehemu yangu kwa wale ninaowajali

Wako mpendwa
Dr. Fadhili Emily
THE FADHAGET SANITARIUM CLINIC


0 comments:

Post a Comment