Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Friday, March 25, 2016

Huduma Ya The Fadhaget Sanitarium Clinic Imezidi Kukua kwa Kasi sana. Zifahamu Sababu zake.


The Fadhaget Sanitarium Clinic imezidi kuongeza matawi yake kote nchini. Hii ni kutokana na ubora ambao imekuwa ikitoa kwa wateja wake. Tunajitahidi sana kuhakikisha kuwa tunawasaidia watu mbalimbali wanaofika kwetu na tumehakikisha huduma yetu ikiwafurahisha. Tunazidi kuongeza ubora wetu na tunazidi kuhakikisha kuwa watu wengi wanapona na kufurahia Afya zao tena. Waliokata tamaa katika magonjwa ya uzazi, jinsia, magonjwa sugu na ambayo imeshindikana kutibu, tumejitahidi kuwasaidia wengi.

Tunapenda kuzidi kuwakaribisha na msisite kufika ofisini kwetu na tutakusaidia. Kama hufahamu tunapatikana wapi, tembelea Blog yetu, kwenye Menu (Juu) utaona tunapatikana wapi, fungua link na utaona mpaka Picha za majengo yetu na maelekezo yake. Pia tumeweka na namba za simu kwa watakaotaka kuonana au kuwasiliana nasi watutafute nasi bila shaka tutawaelekeza vyema.

Asanteni sana na endeleeni kujali Afya zenu kwa Mimea na Matunda mbalimbali. Chakula ni Dawa nzuri.

 

0 comments:

Post a Comment