Karibu Fadhaget Sanitarium Clinic

Tunapenda kukukaribisha katika Kitengo cha Sayansi ya Tiba Asilia.

Kitengo Cha Sayansi Ya Tiba Asilia

Kwa Muda mrefu tumekuwa tukisaidia wengi katika matibabu na kutengeneza dawa bora kabisa kiafya.

Je Unapenda Kufahamu Jinsi Ya Kupata Mapacha?

Tunafundisha jinsi ya kupata jinsia unayotaka, jinsi ya kupata mtoto kama umekosa mtoto kwa muda mrefu. Pia hata jinsi ya kupata watoto mapacha tunaweza kukusaidia.

Tunapatikana Katika Mikoa Zaidi ya 10 Tanzania

Tunazidi kuongeza matawi yetu nchini Tanzania na Nje ya Nchi. Kwa sasa tunapatikana katika mikoa zaidi ya 10 na tunazidi kuongeza matawi yetu. Karibu sana.

Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Wednesday, August 29, 2012

MATUMIZI BORA YA SIMU ZA MKONONI


Baada ya kufanya utafiti thabiti wa kisayansi uliofanywa na daktari wenu Fadhili Emily, imegundulika kuwa simu za mikononi zisipotumika vizuri ni hatari kubwa sana kwa afya ya mwanachama.

Taarifa tulizozipata pande tofauti tofauti za dunia zinaeleza kuwa simu ya mkononi isipotumiwa vema yaweza kusababisha magonjwa mengi sana kwa mwanadamu na ulemavu wa viungo, hasa viungo vya uzazi kwa mwanamke na mwanaume pia. Baadhi ya madhari hayo ni kama:

  1. Saratani ya ubongo
  2. Upungufu wa nguvu za kiume au kike.
  3. Ufaji wa gamete za kiume.
  4. Virusi vya mafua.
  5. Ugonjwa wa kuvimba kwa macho (Micro Lens Radiation)
  6. Kupanuka kwa mishipa ya moyo.
  7. Kupooza (Kiharusi).
Dk. Fadhili Emily
Taarifa hizi zimetafitiwa katika vituo maalumu vya mionzi ya simu na minara iliyoko.
  1. Japan (kituo cha Iroshima na Nangasak)
  2. Marekani (kituo cha Meleland)
  3. Shirika la Afya Duniani (WHO) (Kupitia mtandao wa kituo cha Televisheni ya CNN nao wamezungumza vema kuhusu namna ya simu za mkononi zaweza kukuadhiri mtu kama hutatumia ipasavyo (www.who.radiation.com))

Hayo yote yanatutaayaridhishia tuwe makini katika kutumia simu zetu. Mmoja kati ya mwendelezo wangu na vipindi katika radio ya Praise Power FM vya kila siku za Jumanne usiku saa 2:00 na Alhamisi saa 2:00- 3:00 usiku. Kiukweli huwa nazungumzia mambo mengi yawezayo kutuokoa kiafya. Na juzi juzi nimezungumza kwa kina kuhusu maswala ya simu na minara na shuhuda za pande tofauti tofauti za dunia.

Nilieleza wazi jinsi ya tunawezavyo kujikinga na mionzi ya simu za mkononi, tunaweza kutambua simu za mkononi kuwa zina mionzi au la kwa kutumia silio namba (serial number) zake kwa kubonyesa *#06# moja kwa moja itatokea silio namba ya simu yako, na simu zilizo nyingi huanza na 35------------00 na kuendelea, lakini nimewapa angalizo kwa kwa kuhesabu namba kuanzia  kushoto yaani 3 ndo 1 na 5 ndo 2 tarakimu au namba ya saba na ya nane 7 na 8 zinatakiwa ziwe na 0 na 0 hapo inahidhinisha kuwa simu yako iko vyema haina mionzi mibaya iwezayo kukuharibu, ila ikiwa ya saba ni 0 na nane ni 2 za mionzi basi simu yako ina asilimia 2 za mionzi, bali pia ya saba ikiwa na 2 na nane ni 0 basi simu yako ina asilimia 20 za mionzi na ni hatari sana kama utatumia simu hiyo kwa kupiga au kupokea karibu na:
  1. Radio
  2. Mitambo ya nishati ya umeme
  3. Garini au ndege na vyombo vya usafiri vyote vitumiavyo nishati ya umeme
Hii ni sababu kwamba vyombo vya kutumia nishati ya umeme vingi vina nishati ya umeme iitwayo IONIC (Anayoiki) na simu za mikononi zina NON-IONIC. Hivyo ukiwa unatumia simu yako katika upigaji wa kawaida ili simu ya umpigiaye iweze kuita lazima ifume mionzi katika kifaa kilichoko katika mnara ulio karibu na wewe kiitwacho BOOSTER (Busta). Baada ya hapo mawimbi yatabustiwa na kutumwa katika satellite (setelaiti) iliyoko angani kilometa 38 kutoka duniani (Channel Twelve kwa sekunde chache sana hivyo kutumwa kwa umpigiaye ndipo simu yake itaita.Hatua na mfumo huo ni mrefu , lakini unafanyika kwa dakika chache sana.

Hivyo ikiwa utatumia simu yako karibu na mnara mtambo unapowekwa sikioni inachoma ubongo na inaharibu kifaa kilicho katika kichwa cha mwanadamu kiitwacho Head Fortum ambacho kwa kazi yake kipo toka uumbaji wa Mungu huhusika na:
  1. Kuota ndoto
  2. Kufanya maamuzi na mipango mbalimbali.
Kwahiyo simu ikikuadhiri sehemu hiyo basi hata ndoto zako zinakuwa chafu, maamuzi mabaya au kusababisha saratani ya ubongo.

Kifaa hicho pia kinafanya kazi sambamba na tezi ya Pituitary na Grand ya Adrenali ambazo zinahusika na matendo ya hiyari na yasiyo ya hiyari. (Homoestassis homon) ndiyo maana vijana wengi wanalia nguvu za kiume; kwa kutopata mtoto, kichwa kuumwa, ubongo kuchoka na hata mwili kuwa dhaifu:

Kwa wale walioadhirika au ndugu yako ameadhirika, basi usikate tamaa, The Fadhaget Sanitarium Clinic tunayo mashine ya kompyuta ya kuangalia umeadhirika nini kwa kiwango gani, simu imekuadhiri na majibu yatatoka na tutakuandikia dawa. Dawa zipo ni fani yetu rafiki karibu.

Wasiliana nasi kwa simu
+255 712 705 158
+255 757 931 376
+255 787 705 158

Na Dk. Fadhili Emily

Friday, June 29, 2012

ZIARA DK. FADHILI EILY WA FADHAGET SANITARIUM CLINIC KATIKA NCHI 5 DUNIA NDANI YA MWEZI MEI 2012

Ilikuwa tarehe 18-5-2012 nilifanikiwa kufanya ziara ya utafiti katika nchi 5 ambapo ni mengi niliyavumbua katika swala zima la atafiti.

Moja kati ya mambo yalionipeleka ni utafiti juu ya magonjwa ya wanawake na ulevi na waathilika wa magonjwa sugu ya kam vile ukimwa,kisukari,moyo,vidonda vya tumbo n.k. Nilifanikiwa kutembelea nchi kama.
1)      Hong Kong
2)      South Africa (Pritoria)
3)      Ethiopia (Addis Ababa)
4)      Thailand (Banco Rd)
5)      Kenya (Nairobi)

Namshukuru Mungu nchi zote hizo nimezitembelea ndani ya miezi hiyo mitano nafurahi sana kwani ni katika bara la Asia sikufanikiwa kutembelea hospitali yoyote ikiwa sababu za uchumi na mengine ambayo yalikuwa nje ya uwezo wangu kwani nili shitukiwa kuwa ni mpelelezi kwani niliambiwa wafikao huko hupelekwa na mashirika tajiri au serikali. Mimi nilijigharimia mwenyewe kwani ni gharama kubwa sana kiukweli nilikuwa na dola za kimarekani za kutosha japo zilizarauliwa na wa Hong Kong. Nikiwa Hong Kong nilifanikiwa kununua mashine ya kisasa ya kupima wanadamu aina ya (M.R.A) ambayo iliwashangaza sana baadhi ya wakazi wa Hong Kong kwani ni ya gharama mno.

Kama kawaida mimi ninaposafiri huwa na kuwa na mke wangu nimpendae ambapo katika safari hizi nilidondoka naye na kushika pipa la Ethiopia Air Way na kuhangukia Banco –Cko (Thailand). Katika nchi ile nilifuraia sana na moja ya senta nilizo tempbelea nilikuta uchache wa magonjwa  wa magonjwa hatari zaidi baada ya siku mbili tatu nika julishwa hapana malaria, wala mbu na pia wana msimamo hawapendi kutumia dawa za kemikali kali hasa za vidonge, na pia vyakula vya rangi ya asili kabisa na kilicho nifurahisha zaidi,  hospitali nyingi nilizotembelea mapokezi (Reception) una kutana na swali, “Una hita daktari wa medicinal plants?” yaani tiba za mimea na matunda au “Unamtaka daktari wa medicine?”  yaani dawa za sindano na vidonge kiukweli wenzetu wamepiga hatua yaani sawa uende Muhimbili hospitali ya taifa uulizwe unahitaji daktari wa asili au wa vidonge na sindano?

Elimu waliyonayo ni hasa juu ya mimea inayowafanya waipende zaidi kuliko elimu ya vidonge na sindano.

Nilichogundua ni kwamba wagonjwa wengi hawapendi vipimo vya mionzi mikali na kutumia madawa ya kemikali na hiyo imeletea wagonjwa kuwa wachache hospitalini wanaotumia mionzi mikali na

Kitu nilichojifunza tena ni kwamba watu wa pale wanakula chakula sio kwaajili ya kupata utamu au radha nzuri bali ni kutaka kuwa na afya bora na kutounguza miili yao kwa kutumia mionzi mikali. Pia wanatumia vyakula vibichi vya mimea, nyama hutumika mara chache sana na kama inatumika ni ile nyama nyeupe. Inaaminika kuwa mimea mibichi ni dawa nzuri sana hasa kwa afya yako na ni kinga ya magonjwa.

Sayansi ya ulimwengu inakili kuwa matunda ni dawa na pia ni kinga ya mwili kwa magonjwa madogo madogo, vivyo hivyo mboga za majani, mahindi, nyanya, nyanya chungu, bamia, kabichi, karanga na vinginevyo vingi vya mboga, vitatumika vikiwa vibichi navyo ni kinga na ni tiba. Sasa wenzetu elimu hiyo wanayo, ndiyo ina wafanya wale kibichi ambayo imepunguza magonjwa sugu katika nchi yao.

Baada ya siku tatu nilielekea Johanssberg (South Afrika), ambapo utafiti wangu ulifanyika mji Wa Pritoria (Centurion) Medicinal Plant University of South Africa ambapo pale pia nilikuta hapana malaria bali pana ugonjwa hatari wa ukimwi na magonjwa ya kuambukizwa kwa wanawake (Trichomoniassisi Endometriosis, Cambodia, Na Human Pamplona Virus) pamoja na waathilikla wa madawa ya kulevya:

Niliwatembelea kitengo cha magonjwa ya wanawake : ambapo hayo ni kama:

(1) Kuwashwa ukeni
(2) Kuvimba mashavu ya uke (rabia minora na rabia mijorao)
(3) Kutokwa uchafu kama usaha au maziwa ya mtindi ukeni na kupotea kwa hamu ya tendo la ndoa.

Matibabu yalionekana kuwa shida kidogo kwani walio wengi tulipo wapima tulikuta wana upungufu wa kinga (Micro Flora Mechanism) amayo kwa hakika huwafanya kutosikia kwa dawa wanapo tumia ili kuondoa tatizo hili kwakuwa kinga zao ziko china na hizo ambazo ndizo zinaongoza askali mwili yaani cells. CD4 na CDS.

Tunashukuru Mungu the Fadhageti Clinic tume gundua dawa yenye kirutubisho cha hydrochlorise ambacho hutibu tatizo hili mpaka kupona, dada usihangaike ksribu sana Mbezi Beach utapona.

Friday, June 15, 2012

DK. FADHILI EMILLY WA FADHAGET SANITARIUM CLINIC ANAKUKARIBISHA WEWE UNAYESUMBULIWA NA MAGONJWA SUGU MBEZI TANGI BOVU.

Dawa zinazotolewa na kituo hiki ni ya kutumia mimea na matunda, watu wengi wameweza kupona kwa njia ya dawa zetu Unaweza kufika ofisini kwetu na utahudumiwa.
Ofisi za  Fadhaget Sanitarium Clinic Mbezi Tangi Bovu Dar es Salaam, Tanzania
Sehemu ya madawa
 Wahudumu wa Fadhaget S.C wakiwa katika chumba cha madawa
Zabibu Kabujabja  mpokeaji wa wageni (Receptionist)
Dawa zikipangwana msaidizi wa Dr Fadhili, dada Sara Zebedayo
Baadhi ya dawa

Mzee akitolewa sumu mwilini
 Mgonjwa akitolewa sumu

 Vifaa vya kisasa kwa wagonjwa
Daktari  Gabriel Simiga
 Dajtari mkuu wa Fadhaget S. C Fadhili Emilly
Mashineya kisasa
 Wagonjwa wakisubiria kumuona daktari

 Mgonjwa akichukuliwa ripoti  ya ugonjwa wake
 Mgonjwa akielezwa na dakrari Fadhili Emilly kuhusiana na ugonjwa unaomsumbua
 Moja ya gari la Dk. Fadhili Emilly
 Hapa ni geti kuu la kuingia clinic


Wazaaaaa wazua

Vifaa vya kisasa kwaajili ya wagonjwa
Daktari akiwa katika chumba cha mapumziko baada ya kazi nzito ya kuihudumia jamii

Wednesday, May 23, 2012

MUDA WA KUTESEKA NA MAGONJWA UMEKWISHA KUTANA NA DOKTA FADHILI EMILLY UPONE KWA NJIA YA DAWA ZA MIME NA MATUNDA

Sunday, May 20, 2012


FADHAGET SANITARIUM CLINIC CD KUPATIKA SASA-Dr. Fadhili Emily
Dokta Fadhili amesema sasa unaweza kupata mafundisho kuhusiana na huduma za tiba zinazotolewa na Sanitarium Clinic iliyoko Mbezi Beach Tangi Bovu, Tandika Majaribio-Dar es Salaam Tanzania

Amewaomba watu wote kununua CD hii ili uweze kujifunza ni jinsi gani unaweza ukatibiwa magonjwa sugu kwa njia ya mimea na matunda.

Kama ungependa kujua zaidi jinsi ya kupata hizi CD, tafadhali wasiliana nasi kwa mawasiliano yaliyopo katika CD hapo chini:-







CD case imetengenezwa na Rulea Sanga +255 715 85 15 23 | rumatz2011@yahoo.com | www.rumaafrica.blogspot.com

Wednesday, May 9, 2012

FADHAGET SANITARIUM CLINIC
Dokta Fadhili Emily wa Fadhage Santarium Clinic


Ilianza mnamo mwaka 27/7/2011, ilikuwa na umahiri mkubwa sana na wengine walichukulia matibabu ya jadi. Lakini kupitia Fadhili Emily alihakikisha zana za ligha mbaya iliyokuwa ikipotosha huduma hii ya tiba halisi ya matunda na mimea inatambulika kama huduma sahihi yenye vipimo vya kisasa vyenye kutambulika kisayansi na kuvunja kauli mbaya za watu kusema ni huduma ya kijadi yani za kiganga

Katika kuthibitisha hilo alielimisha jamii tiba halisi za mimea na matunda kwamba ni tiba ambazo za zimetafitiwa na kuthoibitishwa na Elimu ya Chuo Kikuu Tanzania.


Baada ya kutambua chungwa lina Vitamin C, Alovera ina Alkolik asidi, muarobaini una sainatic asid, ndimu ina sitiriki asidi, na madaktari wamethibitisha kimataifa virutubisho vinavyotokana na mimea na matunda ikiwa vitachanganywa vyema vinaweza kutibu maradhi hasa yaliyo sugu.
Alovera

Ndimu

Ushahidi tunaweza kupata kutoka kwa madaktari mbalimbali walio vyuo vikuu vya tiba za mimea na matunda ulimwenguni, kama vile, Romalinda University of Medical Plant kilichoko California Marekani,  East Africa Medical Missionary cha nchini Kenya, Zuru National Remedies Citiovvasty, iliyoko south Afrika, na pande mabalimbali za ylimwengu.


Kwa kushirikiana na Fadhaget Santarium Clinic tiba hii inaonekana sio tiba ya jadi bali ni tiba inayotambulika kisayansi ulimwenguni



"GET TOGETHER PARTY" YAFANA NDANI YA THE ATRIUMS HOTEL USIKU WA JANA
Dokta wenu nilibahatika kufika mahali pale kushirikiana na wenzangu katoika kuhakikisha shughuli ya mtangazaji wetu Erick Brighton inakamilika

Nilifurahi sana kukutana na watu amba sijawahi kukutana nao, na niliweza kubadilishana mawazo na kutiana moyo katika kazi ya BWANA.

Uimbaji na vichekesho vilinifanya nifurahi sana, na nikajifunza kuwa palipo wengi hukosi jambo la kukuburudisha na kukukasilisha, ila kwangu usiku huyo ulikkuwa wa furaha ndani ya kiroho changu

Mungu na akubariki

Blogger Rulea Sanga na mwanakamati ya party hiyo alikuwa na haya ya kusema kuhusu party

"Usiku ulikuwa ni usiku wa furaha na kumtukuza Mungu, Erick Brighton ndiye mlengwa mkubwa katika party ya jana ambaye aliwakusanya watu kwaajili ya kuwakutanisha maproducer, waimbaji, watangazaji wa radio na TV, mabloggers na wachekeshaji, na kubwa zaidi ilikuwa ni siku ya kumchangia Erick katika harusi yake itayofanyika karibuni.

Burudani mabalimbali kutoka kwa waimbaji zilitawala zikiambatanishwa na vichekesho kutoka kwa wachekeshaji kama Masanja Mkandamizaji na Nyerere.

Kamati inawashukuru watu wote waliohudhuria mahali pale na Mungu awabariki, na msingi zaidi ni kuwasisitiza kwa wale walioahidi michango yao waiwakilishe kwa wahusika kabla ya jambo lenyewe la harusi"

 Mchekeshaji, Msanja Mkandamizaji (kushoto kwa hao waliosimama) akikandamiza na mdau wa blogu hii.
 Fadhili wa Fadhaget Santarium Clinic (kushoto) akiwa katika pozi na Mkandamizaji Masanja
 Mzee wa Blogu, Rulea Sanga (kulia) nikijipendekeza kwa mtalaamu wa magonjwa sugu Fadhili wa Fadhaget Santarium Clinic

Kike inapukutika
Mtangazaji wa Praise Power Erick Brighton katikati akijiandaa kuwalisha kike wapenzi wake


Monday, May 7, 2012

TUJIKUMBUSHE YAYOLIVUMA MITANDAONI KIPINDI CHA NYUMA
TAASISI YA THE FADHAGET DEVELOPMENT HOPE YATOA VIFAA VYA MICHEZO KWA ACOT SPORTS CLUB YA MTONI

Tunapenda kumshukuru Dr. FADHILI EMILY ambaye ni mkurugezi wa taasisi ya THE FADHAGET DEVELOPMENT HOPE wanahousika na kusaidia jamii, kutunza mazingira, kupiga vita madawa ya kulevya, migogoro ya mke na mume, umasikini na njaa. Tayari wamekwisha fungua kituo cha afya Tandika wana mitambo maalumu ya vipimo vya magonjwa ya aina zote na wana tengeneza dawa kwa kutumia matunda na mimea asilia. Kwa kuweza kutusaidia jezi seti moja na mipira miwili .
Ndugu wahariri,wanahabari na watanzania kwa ujumla ni furaha kwetu kuwaona mmefika hapa , siku hii ya leo,kwa kweli mnaitaji pongezi za pekee siku hii ya leo.
HISTORIA YA TAASISI
ACOT ni taasisi isiyo ya kiserikali ilianza rasmi 30/10/2010. Ni taasisi ambayo inatambuliwa na Serikali kwa kuwa tumepata usajili rasmi toka Serikalini. makazi yake ni mtoni kwa Aziz Ally, wilaya ya Temeke mkoa wa Dar es salaam. Sababu zilizotufanya tuanzishe ni nyingi lakini moja ya sababu hizo ni Kukuza na Kuendeleza vipaji vya vijana, Kielimu,Kiutamaduni na Kimichezo.
Baada ya kuona vijana wengi hasa wa wilaya yetu ya Temeke wanaishi katika mazingira magumu na pia wana vipaji tofauti ila wamekosa mtu wa kuwasimamia na kuwaendeleza pamoja na kuwapatia mahitaji muhimu kama vile chakula,maradhi na vifaa.

sisi tukiwa kama watanzania tumeona tujitokeze mbele yenu ili mtusaidie pale ambapo tumefikia ili tuweze kuwaendeleza baadhi ya vijana kimaisha maana vijana ni nguvu kazi ya Taifa. Tunajua kuwa kwamba tunadeni kubwa kwetu na Taifa letu la Tanzania hivyo kuendelea kuwaacha vijana hawa ni kupoteza muelekeo wetu.


CHANGA MOTO TUNAZO PATA
Kunachanga moto nyingi tunazo pata katika maisha haya ya kuwalea vijana lakini moja ya changamoto hizo ni ukosefu wa vifaa vya michezo na utamaduni kama vile Viatu,Mipira, Jezi,Bipsi,Koni,Nyavu, Shine Guard,Ngoma.
Pia Ukosefu wa Ada kwa ajili ya kuwaendeleza wachezaji wetu na wanajamii wetu kielimu zaidi.
Upungufu wa dawa za kuchukua,Clip bandage,diclopa,diclofenac,glucose,deepheat spray,na Chakula kama vile mchele,sukari,sembe.
Fedha za kuendeshea programu mbalimbali kwa maendeleo ya jamii yetu husika.
MAFANIKIO
Mafanikio tuliyoyapata tangu kujumuika kwetu ni pamoja na kusikilizana sisi kwa sisi kuwaelimisha vijana wenzetu kuhusu Ukimwi,Matumizi ya Kondom,Ujasiriamali kuachana na madawa ya kulevya kwa wale wanaotumia,Kuanzisha vikundi kulingana na fani zao ili kukuza vipaji vyao.
Kupitia vijana wetu tumeweza kuanzisha timu ya mpira wa miguu na imeweza kushiriki mashindano ya EAST AFRICA CUP 2011.Timu zilizoshiriki U16 ni kumi na nne Kutoka Kenya,Uganda,Zimbabwe,Zanzibar na Tanzania na tukafanikiwa kuwa washindi wa pili U16 na kuiletea sifa mtaa wetu,wilaya yetu hata mkoa wetu.
Kupitia mashindano hayo tumeweza kupata marafiki wengi wa kigeni kutoka nchi sita wanawataka wachezaji wetu wakacheze kwao.
Kupitia vijana wetu tumeweza kuanzisha kikundi cha ngoma za asili,na kuwafundisha ngoma mbalimbali za makabila tofauti kama vile Masewe,Mangaka,mganda wa kikutu,lingokwa,lumbunjumu na likaturinge,kupitia sanaa yao hiyo wameweza kupata marafiki wakigeni kutoka nchini Kenya na kikundi cha sanaa cha haba na haba kilichopo nchini Kenya .
Tunawasomesha vijana wetu katika shule za Msingi (vijana 6) ,Sekondali (vijana 20), vyuo vya ufundi stadi (vijana 5) na hata vyuo vikuu (vijana 3) na shule ya walemavu (2) wasichana na wavulana.
Pia tumeweza kuwapeleka vijana sita katika mafunzo ya UJASIRIAMALI katika chuo kikuu cha DSM Mlimani kitengo cha ujasiriamali (UDEC) yaliyofanyika 25/07/2011 mpaka 29 /07/2011 na kupata vyeti.
HITIMISHO
Pamoja na maelekezo yote haya ni vyema mkajua kuwa sisi mpaka sasa tupo katika wakati mgumu endapo kunatokea mashindano au mwaliko wowote ule,tatizo ni vitendea kazi hatuna na akuna sehemu, tunayojua kuwa tutaenda kusaidiwa.
Tunaomba sana tusaidiwe vitendea kazi kama vile,Kompyuta,Projector,Digital camera,Viatu vya Mpira(Njumu),Mipira, Jezi,Bipsi,Koni,Shine Guard itakuwa vizuri sana, kwani tunataka tuwe mfano wa kuigwa katika wilaya yetu ya Temeke na kata yetu ya mtoni na mtaa wetu wa sabasaba na hata taifa kwa ujumla.
Asanteni sana kwa kuweza kunisikiliza kama kuna mapungufu mtatusamehe lakini ni imani yetu tuta kuwa tumeeleweka mungu wabariki wote waliofika hapa siku hii ya leo.
Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki ACOT
Wenu Katika Ujenzi wa Taifa
Emmanuel Mwampishi.
Mkurugenzi