Wasiliana Nasi
Showing posts with label Ushauri. Show all posts
Showing posts with label Ushauri. Show all posts
Friday, May 20, 2016
Friday, March 25, 2016
Huduma Ya The Fadhaget Sanitarium Clinic Imezidi Kukua kwa Kasi sana. Zifahamu Sababu zake.
The Fadhaget Sanitarium Clinic imezidi kuongeza matawi yake kote nchini. Hii ni kutokana na ubora ambao imekuwa ikitoa kwa wateja wake. Tunajitahidi sana kuhakikisha kuwa tunawasaidia watu mbalimbali wanaofika kwetu na tumehakikisha huduma yetu ikiwafurahisha. Tunazidi kuongeza ubora wetu na tunazidi kuhakikisha kuwa watu wengi wanapona na kufurahia Afya zao tena. Waliokata tamaa katika magonjwa ya uzazi, jinsia, magonjwa sugu na ambayo imeshindikana kutibu, tumejitahidi kuwasaidia wengi.
Tunapenda kuzidi kuwakaribisha na msisite kufika ofisini kwetu na tutakusaidia. Kama hufahamu tunapatikana wapi, tembelea Blog yetu, kwenye Menu (Juu) utaona tunapatikana wapi, fungua link na utaona mpaka Picha za majengo yetu na maelekezo yake. Pia tumeweka na namba za simu kwa watakaotaka kuonana au kuwasiliana nasi watutafute nasi bila shaka tutawaelekeza vyema.
Asanteni sana na endeleeni kujali Afya zenu kwa Mimea na Matunda mbalimbali. Chakula ni Dawa nzuri.
Tuesday, December 29, 2015
Monday, December 21, 2015
Wednesday, September 2, 2015
Health Benefits Of Carrot Juice.
What makes Carrot Juice so nutritious is that it contains a large amount of beta-carotene, vitamins and potassium in it.
Ensure you drink at least one tall glass of carrot juice each day to burn fat and get the fab, svelte body you have always yearned for! Get that glowing and beautiful skin you love! Do you drink juice as part of your weight loss regime? Is carrot juice a part of your diet? Do share with us in the comments section.
- Improves Immunity And Controls Heart Diseases: Beta-carotene makes it a rich source of vitamin A. It also helps improve the immune system. The abundance of vitamin A in carrot juice can help improve your sight and the daily intake can prevent the onset of heart diseases and strokes (1). Vitamin A in addition keeps the lining of the internal organs healthy in order to prevent it from being infected by pathogenic organisms.
- Reduces Cholesterol: Here comes an amazing benefit of carrot juice. The potassium present in carrot juice can reduce cholesterol levels (2). It is good for the liver as it reduces fat and bile in it. Potassium, along with manganese and magnesium stabilizes blood sugar level, thus helping to reduce the risk of diabetes.
- Aids In Clotting Of Blood: Vitamin K present in carrot juice helps blood to clot.
- Heals External Wounds And Gums: Vitamin C helps to heal wounds and keeps the gums healthy.
- Prevents Cancer: It also acts like an anti-cancer agent. Increased intake of carotenoids in carrot juice has been said to decrease instances of bladder, prostate, colon and breast cancer
- Protein Building and Bone Health: Vitamin K, present in Carrot juice is essential for the protein building process in the body. It also helps in the binding of calcium that in turn leads to the faster healing of broken bones (4). Potassium present in carrot also helps to improve bone health.
- Cleanses the Liver: Carrot juice cleanses and detoxifies the liver. Toxins in the liver are released from the system and excreted after regular consumption of carrot juice (5). The bloodstream cannot rid the body of toxins and bile through the kidneys. This has to be ejected from the skin. Carrot juice aids this process and ensures harmful bile is removed from the body. When the liver functions well, it prevents the accumulation of fat and aids in its rapid digestion, preventing weight gain and obesity.
Beauty Benefits Of Carrot Juice:
But for the women, carrot juice is not just about good health, but also about looking beautiful. Beauty benefits include:- Reduces Dryness And Scarring: Potassium helps reduce skin dryness and reduces scars and blemishes. It also gives life to your skin by improving the skin tone. It will also help improve hydration and thus keep your skin moisturized.
- Prevents Acne: Since it is high in essential oils, it also helps prevent acne by detoxifying your body.
- Source Of Vitamins Needed For Skin: This juice effectively acts as a vitamin supplement for your skin. It also contains so many healthy nutrients that it can reduce skin related problems like eczema which is caused by deficiency of vitamin A, dermatitis and rashes.
- Controls Sun Damage: The beta-carotenoids which help in photosynthesis in plants, help reduce sunburn and also increase the skin’s resistance towards sun damage.
- Fights Ageing: The beta-carotenoid when entering the body changes into vitamin A and reduces cell degeneration and thus slows down the aging of the body. It largely improves the amount of collagen in the skin and thus helps in maintaining elasticity and hence reducing the visible signs of aging like sagging skin and wrinkles, as collagen is what accumulates in our body and keeps it firm and healthy.
- Hair Care: It also increases hair growth.
- Nail Care: It also increases nail strength.
Carrot Juice For Prenatal Care:
Carrot juice is especially considered to be beneficial for prenatal care as it improves the health of the expectant mother and child.- Lactation: Carrot juice intake during pregnancy improves the quality of their breast milk, as it will be enriched in vitamin A. Since vitamin A helps in cell growth it is especially beneficial in fetal growth.
- Prevents Infections In Unborn Child: When taken during the last 3 months of pregnancy, it reduces the chance of dangerous infections in the child.
- Calcium Supply: It also acts as a very rich source of calcium.
Carrot Juice and Weight loss:
Definitely an eye catching topic among the uses for carrot juice! Carrot juice is extremely filling, and because of low calorie count, it is the best natural health drink for a person who is trying to lose weight. It contains a large amount of natural sugar, so you don’t have to add additional sugar to it. Juicing together carrot, apple, celery and cucumber is a very healthy recipe for a good weight loss drink.- Muscle Growth: Vitamin A helps our body to heal after a strenuous workout and aid in muscle growth. Phosphorous in carrot juice builds, repairs, and maintains muscle;
- Increases Metabolism: Carrot Juice also contains a large amount of Vitamin B complexes which help in breaking down glucose, fat and protein. So it helps in building muscle, increasing our metabolism and thus helping in weight loss. Vitamin B complexes also help to reduce stress and depression, which usually holds back weight loss. Phosphorous in Carrot juice boosts the body’s metabolic rate; ensures optimal use of energy in the body and decreases pain after a workout.
- Increases Oxygen Carrying Capacity: The amount of Iron in carrot juice can increase the oxygen carrying capacity of the body, thus helping us do more workouts to lose weight
- Energy Consumption: Phosphorous helps the body to use up more energy while doing work.
- Controls Sugar Levels: Magnesium and Manganese present in Carrot Juice can stabilize sugar levels and help to reduce weight due to diabetes.
- Aids Digestion: Since carrot contains a large amount of fiber, it can help in digestion and makes you feel fuller for longer.
- Cleanses the Body: Carrot juice cleanses the body and rids it of any toxins, aiding weight loss. Fresh raw carrot juice cleanses the digestive tract of toxins, waste, indigestible material, which in turn cures and prevents obesity.
How to Consume it Right?
It should be mentioned that although carrot is such a healthy vegetable, eating carrot as Halwa with loads of ghee, sugar, cashew and raisins cannot be considered healthy. No matter how healthy you say it is, it will never be as good as carrot juice with no added sugar and milk. Yes, No carrot milk either. But it’s just as yummy without the milk too. Many people love the natural taste of carrot juice, but you can also add other fresh juices, such as orange, lemon, ginger or mint to give it a different flavor. Juice of carrot and cinnamon together forms a very healthy antioxidant rich drink which can reduce cancer, high blood pressure and diabetes. It is said that drinking fresh carrot juice is better than eating it raw because the nutrient content will be even more concentrated in the juice.Ensure you drink at least one tall glass of carrot juice each day to burn fat and get the fab, svelte body you have always yearned for! Get that glowing and beautiful skin you love! Do you drink juice as part of your weight loss regime? Is carrot juice a part of your diet? Do share with us in the comments section.
Monday, August 24, 2015
Pata Elimu kuhusu Aina ya Mtoto unayetaka (Kike au kiume) au Mapacha kupitia Seminar na Dr. Fadhili Emily.
Hakika Elimu ni muhimu sana. The Fadhaget Sanitarium Clinic chini ya Dr. Fadhili Emily tunakukaribisha wewe unayehitaji mtoto kwa kadiri ya mahitaji yako.
- Je unahitaji Mapacha?
- Unatafuta mtoto wa jinsia fulani labda wa kike au wa kiume?
- Je unapenda mwanao afanane na nani? (afanane na baba au mama sana).
Karibu katika seminar kubwa itakayofanyika jijini Dar es Salaam Tarehe 1 mwezi wa 9 mwaka huu. Katika Seminar hii Dr. Fadhili atatoa mafunzo na elimu na kufundisha mengi kuhusiana na hayo. Usikose seminar hiyo kwani utaweza kujifunza mengi kuhusiana na watoto mapacha, jinsia ya mtoto inavyopatikana na sayansi inasema nini kuhusiana na hayo. Kumbuka elimu hii ni muhimu kwani kuna wengi wamekuwa wakijitahidi bila mafanikio, lakini kwa kupitia tafiti salama ambazo zina viwango bora unaweza kufahamu mengi na kuweza kufanikiwa kutimiza ndoto zako hasa za mtoto na uzazi wa mpango salama kabisa.
![]() |
| Dr. Fadhili Emili akiwa na wanawe Mapacha. |
Elimu kutoka kwa Dr Fadhili Emily imezalia matunda wengi ikiwemo yeye mwenyewe, na kama unavyoona kwenye picha akiwa na wanawe mapacha na wamefanana naye kabisa. Kupitia elimu yake nawe utaweza kuchagua mtoto na kupangilia uzazi vyema kwa jinsi unavyotaka wewe.
Kwa kutumia kanuni tisa ambazo zinafundishwa katika kutimiza yote hayo, utaweza kufahamu hatua mbalimbali za kufuata na taratibu zake. Kanuni hizo unaweza kuzigawanya katika vipengele vitatu.
- Kanuni tatu kabla ya Tendo la Ndoa,
- Kanuni tatu wakati wa Tendo la ndoa, na
- Kanuni tatu baada ya Tendo la Ndoa.
Hatua zote hizi zenye kanuni tisa zitaelekezwa vyema na kwa kutumia utafiti wa kisayansi wenye mafanikio asilimia mia moja utaweza kupangilia watoto kadiri ya mahitaji yako.
Usikose seminar hiyo kwani utafahamu mengi zaidi. Karibu sana.
Tuesday, August 4, 2015
Risks to Children and The Rate of Radiations From Mobile Phones
![]() |
| Child and Mobile use. |
![]() |
| Children are more vulnerable because of their developing nervous system, the greater absorption of energy in the tissues of the head, and a longer lifetime of exposure. |
Absorption of microwaves of the frequency used in mobile telephony is greatest in an object about the size of a child's head, the so-called head resonance, while in consequence of the thinner skull of a child, the penetration of the radiation into the brain is greater than in an adult. Children's brain wave patterns are abnormal and stay like that for a long period. This could affect their mood and ability to learn in the classroom if they have been using a phone during break time, for instance, leading to things like a lack of concentration, memory loss, inability to learn and aggressive behavior. The still-developing nervous system and associated brainwave activity in a child are more vulnerable to aggression by the pulses of microwaves used in these devices than is the case with a mature adult. This is because the multi-frame repetition frequency of 8.34 Hz and the 2 Hz pulsing that characterizes the signal from a phone equipped with discontinuous transmission (DTX) lie in the range of the alpha and delta brainwave activities, respectively.
![]() |
| Phone radiations to the brain. |
Doctors fear that disturbed brain activity in children could lead to psychiatric and behavioural problems or imair learning ability.
By. Dr. Fadhili Emily
Sunday, July 19, 2015
KUTOKUPEVUKA KWA MFUMO WA UZAZI (HYPOGONADISM)
Hali hii hutokana na viungo vya uzalishaji wa vichocheo vya uimarishaji uzazi kwa mwanamke na mwanaume kutofanya kazi. Viungo au glandi hizi ni korodani kwa mwanaume na ovari kwa mwanamke.
CHANZO CHA TATIZO
Tatizo hili linaweza kuwa linatokea tangu kuzaliwa au linatokea katika mfumo mzima wa mwili. Kwa tatizo la kuzaliwa nalo, korodani au vifuko vya mayai huwa havifanyi kazi ya kuzalisha vichocheo au homoni zinazohitajika ambapo kwa korodani huzalisha homoni za kiume na ovari huzalisha homoni za kike.
Vyanzo vya matatizo ni kama vile:-
-Matatizo katika mfumo wa kinga mwilini,
-Matatizo katika mfumo wa vinasaba.
-Matatizo ya Ini na Figo.
-Mionzi iwe ya X-ray au viwandani.
-Upasuaji wa kuondoa korodani zote mbili au ovary zote mbili.
Matatizo ya vinasaba yanayotokea kwa wanawake huitwa ‘Turner syndrome’ na kwa wanaume huitwa ‘Klinifelter Syndrome’.
Katika matatizo mengine ya ‘hypogonadism’ mfumo wa ubongo unaohusisha pituitary na Hypothalamus ambazo hudhibiti utolewaji wa homoni mwilini huwa haufanyi kazi vizuri hivyo husababisha matatizo ya mfumo wa mwili na uzazi ambapo vyanzo vikuu vinaweza kuwa;-
-Endapo mama mjamzito wakati wa kujifungua akatokwa na damu nyingi sana na ikija kukata inakata moja kwa moja, yaani hapati tena siku zake na uwezo wa kuzaa unapotea.-Matumizi holela ya dawa zenye ‘steroids’, mfano krimu za kufanya ngozi hasa ya uso ing’ae, kubadilisha rangi ya ngozi au kutuliza miwasho ya ngozi pamoja na matumizi ya dawa za kulevya pia huathiri kwa kiasi kikubwa mfumo wa uzazi.
-Matatizo haya pía yanaweza kuwa ya kurithi endapo kwenye ukoo wenu wapo watu wenye matatizo katika mfumo wa uzazi wa aina hii.-Maambukizi, hasa virusi wa aina yoyote yanaweza kuathiri mfumo wa uzazi.
-Lishe duni hasa kwa watoto wanaokaribia balehe huweza kuwadumaza na aidha kutobalehe au kuchelewa kubalehe na kuonekana bado wadogo pamoja na umri kwenda.
-Kuwa na madini mengi ya chuma mwilini, na hili linategemea na mazingira ya kuishi na vyakula au vinywaji hasa kwa mama mjamzito na watoto.-Mionzi ya X-ray ya mara kwa mara na mionzi ya viwandani.
-Kupungua uzito kwa kasi au kujipunguza uzito sana, kwa mwanamke anaweza kupoteza siku zake au asivunje ungo, hivyohivyo kwa mwanaume hudumaa viungo vyake vya uzazi.
-Upasuaji wa viungo vya uzazi kama tulivyozungumza hapo awali.
-Kuumia korodani utotoni au hata katika umri wa ujana.-Uwepo wa uvimbe kwenye korodani au vifuko vya mayai ambao ni saratani.
Matatizo haya husababisha mtu asikue aonekane bado mdogo hata kama umri unaenda. Mwanaume mwenye tatizo hili linaweza kwenda mbali zaidi na kupoteza uwezo wa kunusa harufu ya aina yoyote.
DALILI ZA TATIZO
Dalili hizi zinatusaidia kufahamu kama tuna matatizo haya au la, au watoto, wadogo zetu na ndugu zetu wanaweza kuwa na matatizo haya. Mara nyingi tumezoea kuona watu wenye matatizo haya na kuwaita wamedumaa au vijeba.
Dalili kwa mtoto wa kike ambaye hajavunja ungo, utamwona bado ni mtoto yaani habadiliki yupo vilevile tangu alipokuwa na umri wa miaka kumi hadi anafikisha ishirini, matiti hayakui, urefu haongezeki. Kama tatizo likitokea baada ya kuvunja ungo huhisi joto muda wote hata kama kuna baridi, nywele sehemu za siri na makwapani hupuputika zenyewe, hupoteza hamu ya tendo la ndoa kabisa na haendelei tena kupata siku zake na kufunga hata zaidi ya mwaka.
Saturday, June 20, 2015
TRICHOMONIASIS
TRICHOMONIASIS
Trichomoniasis, sometimes called "trich" (pronounced "trick"), is a common sexually transmitted infection (STI) that affects both females and males, but symptoms are more common in females.
Trichomoniasis is caused by the single-celled protozoan parasite, Trichomonas vaginalis. The vagina is the most common site of infection in girls and women, and the urethra (urine canal) is the most common site of infection in boys and men. The parasite is sexually transmitted through sex (penis-to-vagina or vulva-to-vulva contact) with an infected partner. Women can get the disease from infected men or women, but men usually contract it only from infected women.
How common is Trichomoniasis?
Trich is the most common, curable STI. Each year, there are about 1 million new cases of Trichomoniasis in the United States. While rich affects both women and men, it is more common in women: the highest numbers of cases are in women between ages 16 and 35.What are the signs and symptoms of Trichomoniasis?
Only about 30 percent of people that have trich have any symptoms. Most males with trichomoniasis do not have any signs or symptoms. However, some males may have a temporary irritation inside the penis, mild discharge, or notice a slight burning after peeing (urinating) or ejaculating. Some females may have signs or symptoms which include:
- discharge that is green, yellow or grey,
- a bad smell,
- itching in or around the vagina,
- pain during sex, and
- pain when peeing (urinating).
How do I know if I have trich?
Trich can’t be diagnosed based on symptoms alone (keep in mind that many people don’t have any symptoms). A healthcare provider must perform a test to diagnose trich. Sometimes healthcare providers will put a sample of vaginal fluid or discharge on a slide so they can see the parasite under a microscope (this is called a “wet prep”). This test is not always reliable.
A culture test is another test for trich, and can be used with males and females. Culture tests use urine, or a swab from the vagina or urethra, and make the trich parasite easier to find by “growing” it in a lab.
Recently, tests that are much more accurate have become available, including DNA tests that are reliable in males and females. These tests can be done with vaginal swabs or urine. One of these tests even allows healthcare providers to check for trichomoniasis, chlamydia, and gonorrhea using the same sample.
What is the treatment for trich?
Trichomoniasis is curable with antibiotics. An antibiotic called Metronidazole (Flagyl) is usually prescribed. If you are prescribed treatment, use all the medicine prescribed, even if your symptoms go away. Your sex partners must also be treated, or you can get trich again. Don't have sex until all partners have finished the medication.Pregnancy and trichomoniasis
Trichomoniasis can cause babies to be born early or with low birth weight. If you think you may be pregnant be sure to tell your healthcare provider. Women in the first three months of pregnancy should not take medicine for trich because it might hurt the baby. You can take medicine after the first three months. Talk to your healthcare provider about them.What about other complications?
Having trich can make it easier to become infected with the HIV virus or to pass the HIV virus on to a sex partner.
DO YOU KNOW . . .
your status?If you are sexually active or have been in the past, do you know your STI status?
Learn more about testing and find a testing center near you.
Tuesday, June 2, 2015
UVIMBE KATIKA VIFUKO VYA MAYAI (OVARIAN CYST) - 3
MATATIZO KATIKA KORODANI ZA MWANAUME (TESTICULAR FAILURE)
Kazi ya korodani ni kuzalisha mbegu za kiume na homoni za kiume (Testosterone). Kwa hiyo korodani kushindwa kufanya kazi maana yake ni kushindwa kuzalisha mbegu na homoni za kiume.
Chanzo cha tatizo
Tatizo hili huwapata baadhi ya wanaume na chanzo chake ni kama vile matumizi ya baadhi ya dawa kwa muda mrefu mfano dawa kama Ketoconazole, Glucocorticoids na dawa za usingizi hasa zile za kutuliza maumivu makali.
Pia yapo magonjwa yanayoshambulia korodani, mfano ugonjwa wa Mump ambao huambatana na kuvimba nyuma ya sikio na mashavu, maambukizi na maumivu ya korodani, kansa ya korodani na ugonjwa uitwao kitaalamu Hemochromatosis unaoambatana na mfumo wa damu.
Kuumia korodani na kuzungukwa na mishipa ya damu pia ni mojawapo ya chanzo cha korodani kutozalisha mbegu za uzazi. Mambo ya hatari yanayoweza kuharibu korodani ni shughuli zetu za kila siku na hizi husababisha kila siku korodani iumie taratibu.
Mfano kuendesha pikipiki kwa muda mrefu. Vilevile uvutaji bangi na sigara unachangia tatizo hili. Dalili za korodani kushindwa kufanya kazi Mojawapo ya dalili hizi ni kutokuongezeka kwa ukubwa au urefu wa viungo vya uzazi, yaani uume na korodani zenyewe.
Mwanaume kuwa na matiti makubwa, kukaa na mwanamke muda mrefu zaidi ya mwaka bila ya kumpa mimba, mwili kutoendelea vizuri hata ukila vizuri na kufanya mazoezi unaona mwili haujengeki. Pia kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa au kupungukiwa na nguvu za kiume kwa kiasi kikubwa, kutoota nywele kwapani au sehemu za siri au kuota kwa kiasi kidogo sana.
Mabadiliko ya balehe kuendelea taratibu sana utakuwa umri unakua mkubwa lakini bado unakuwa kama mtoto, yaani baadhi ya viungo haviendelei mfano kuota ndevu, mabadiliko ya sauti na sehemu za siri.
Uchunguzi kwa watoto wachanga wenye matatizo haya viungo vyao vya uzazi huwa havieleweki kama ni vya kiume au vya kike, kadiri anavyoendelea kukua viungo vya uzazi huwa vidogo na wakati mwingine korodani zake huvimba yaani moja huwa kubwa kuliko nyingine.
Itaendelea toleo lijalo
Subscribe to:
Posts (Atom)

























