HUDUMA ZITOLEWAZO NA FADHAGET
SANITARIUM CLINIC.
The Fadhaget Sanitarium Clinic tunatibu magonjwa takribani yote yale ambayo ni sugu kwa ufanisi wa tiba zilizoandaliwa kisayansi kutokana na mimea na matunda.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhCuBfQWhICVxDWYyWNfE_Zwms0XaEEcybEaY-MzAqpQiZSYtsC47VQzdkno3e5jV3G1sXm1Ydv6mSXFyzpfvBRz8Eii2QJNTNKHxZNJxBS6g8mcTEFpGaVWzxw_2QFYC4MSv44jEe3oWQs/s1600/IMG_20140217_113020.jpg)
Tunatumia vipimo vya kisayansi kutambua magonjwa. Baadhi ya
magonjwa tunayotibu ni:-
1. Kisukari
2. Pressure
3. Upungufu wa nguvu za kiume
4. Vidonda vya tumbo sugu.
5. Figo
6. Ini
7. Bandama
8. Tindikali katika tumbo
9. Malaria Sugu
10. Kiarusi
11. Saratani
12. Kuzibua mirija ya uzazi na kuondoa uvimbe wa kizazi
(Fibroid)
13. Viambukizo katika njia za uzazi hasa kwa akina mama
14. Kusaidia walioadhirika na madawa ya kulevya, na maradhi
ya ngozi n.k
15. Kuongeza CD4 na CD8 hasa kwa waadhirika wa UKIMWI
16. Moyo (mpana valvu kutanuka, kujaa maji, kwenda mbio,
tundu, kuvimba)
17. Vidonda vya tumbo
18. Miguu kuwaka moto
au kufa ganzi
19. Miguu kuvimba, kuvimba ukibonyeza inabaki shimo kama ndizi mbivu
20. Ugumba
21. Natatizo ya maa mjamzito hasa kuona siku zake, tumbo
kuuma chini ya kitovu,
kukosa hamu ya kula katika hali ya ujauzito.
22. Matatizo ya kukosa kupata hedhi. Nyingi (siku za kike) nyingi
kwa maumivu makari
23. Mifupa
24. Uric Acid
25. Bawa Siri (Heamorrhoids)
26. Baridi yabisi (Rheumatism)
27. Magonjwa ya zinaa
28. Magonjwa ya mlipuko (kipindupindu, utindiwa mgongo,
mafua)
29. Kifafa
30. Kusisismua ubongo kwa wale wasioelewa darasani au
kusahausajau sana
31. Njano
32. Single Cell
33. Upungufu wa damu
Na magonjwa mengine mengi, wasiliana nasi tutakusaidia
MWISHO
------------------------------------------------------------------------------------
MWISHO
------------------------------------------------------------------------------------
LISHE NA
AFYA KWA WAATHILIKA WA VVU/UKIMWI TOKA THE FADHAGET SANITARIUM CLINIC
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjlVNegZMHMAdzJcHzkrfiy_MI-XrktZwHufSLad_0sn0dTSO97woZ7fi3DPgI4ZP02GnjfOWw4XiMpZzAOrnJlrXE1ENRfZlTyAz-ouP1yjw52lV4AFkZ930WIDAjkUIud_F8ZHrSBqJch/s1600/IMG_20140217_113047.jpg)
Ugonjwa wa
UKIMWI kisayansi ni kuathirika kwa uzaliwaji wa Cell Nyeupe za damu, ambazo
husababisha upungufu wa kinga mwilini.
Mgonjwa wa UKIMWI kiafya ili asaidie uwiano wa cell zinazokutana na \ zinazozaliwa ni lazima ajitahidi kupata viini lishe muhimu ambavyo vinatoka katika chakula:
Mgonjwa wa UKIMWI kiafya ili asaidie uwiano wa cell zinazokutana na \ zinazozaliwa ni lazima ajitahidi kupata viini lishe muhimu ambavyo vinatoka katika chakula:
- Pendelea kutumia zabibu nyeusi
(Black Current) kwa kuwa tunda hili lina sukari iliyochanganywa na uchafu
asili kabisa ambao husaidia kuzalisha sukari ya sucrose ambayo huzalisha
kwa wingi Cell Nyeupe za damu na kuongeza uwiano mzuri wa cell zinazokufa
kwa kuzaliwa.
Zabibu na sucrose iliyosheheni vitamini C, Citric Acid na Acetic Acid na viini lishe vingi muhimu kwa CD4 na CD8.
- Pendelea kutumia chai isiyotiwa majani ya chai.
·
Katika chai yako weka majani ya mlonge yaliyokaushwa vyema na kusagwa.
·
Chota kijiko cha chai cha unga wa majani hayo na weka katika kikombe
kimoja cha chai,
·
Katika maji ya moto usiweke sukari,
·
Tia asali mbichi kabisa. Ni kifungua kinywa na kizuri haina uchungu wala
harufu na
·
Waweza kunywa na vitafunio vyako kama chai ya kawaida.
·
Waweza kutumia mchana na jioni kwani chai hiyo inasaidia kusimamisha
kasi ya kuzaliana kwa virusi na kuvifanya virusi vilivyopo kusinzia hivyo
hautojisikia maumivu wala kupungua kwa
kinga za mwili zinazohusika yaani CD4, hii ni kwasababu ya uwepo wa virutubisho
cha Hydro Chloride katika mumea wa
mronge (Drumstic).
Huu ni utafiti uliofanywa na THE FADHAGET SANITARIUM CLINIC kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha ROMALINDA UNIVERSITY OF MEDICINAL PLANT kilichoko California Marekani. Haina madhara yoyote, pia waweza kutembelea THE FADHAGET SANITARIUM CLINIC iliyopo Mbezi Beach kupata dawa hiyo iliyoandaliwa tayari kwa viwango vya kidaktari kwa uasili wa hali ya juu sana.
Huu ni utafiti uliofanywa na THE FADHAGET SANITARIUM CLINIC kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha ROMALINDA UNIVERSITY OF MEDICINAL PLANT kilichoko California Marekani. Haina madhara yoyote, pia waweza kutembelea THE FADHAGET SANITARIUM CLINIC iliyopo Mbezi Beach kupata dawa hiyo iliyoandaliwa tayari kwa viwango vya kidaktari kwa uasili wa hali ya juu sana.
- Pendelea kutumia vyakula vya mchanganyiko kama
- BAMIA + NYANYA CHUNGU + KAROTI + NYANYA MAJI + VITUNGUU + BINZARI + BILINGANYA.
- Chemsha vyote kwa pamoja visiive sana na
- Usiweke maji mengi sana. Ubichi wake
(kijani) kwani chakula hicho ni kizuri kwa afya kwasababu ya uwepo wa
Acaroids Acid ambayo pia inamsaada mkubwa wa kukinga maradhi nyemelezi.
- Tumia nafaka ambazo hazijakoborewa,
mahindi, maharage, njugu mawe, njegere, mbaazi, dengu n.k hii huboresha
viini lishe na kinga mwilini.
0 comments:
Post a Comment