Karibu Fadhaget Sanitarium Clinic

Tunapenda kukukaribisha katika Kitengo cha Sayansi ya Tiba Asilia.

Kitengo Cha Sayansi Ya Tiba Asilia

Kwa Muda mrefu tumekuwa tukisaidia wengi katika matibabu na kutengeneza dawa bora kabisa kiafya.

Je Unapenda Kufahamu Jinsi Ya Kupata Mapacha?

Tunafundisha jinsi ya kupata jinsia unayotaka, jinsi ya kupata mtoto kama umekosa mtoto kwa muda mrefu. Pia hata jinsi ya kupata watoto mapacha tunaweza kukusaidia.

Tunapatikana Katika Mikoa Zaidi ya 10 Tanzania

Tunazidi kuongeza matawi yetu nchini Tanzania na Nje ya Nchi. Kwa sasa tunapatikana katika mikoa zaidi ya 10 na tunazidi kuongeza matawi yetu. Karibu sana.

Wasiliana Nasi

Wasiliana Nasi

Friday, October 19, 2012

SAFARI YA DR FADHILI EMILY WA FADHAGET SANITARIUM CLINIC YALETA MATUMAINI KANDA YA ZIWA MWANZA


Baada ya kilio cha wakazi wa ziwa kutoka na magonjwa mbalimbali yanayowasumbua. Dr. Fadhili Emily wa Fadhaget Sanitarium Clinick aliamua kufunga safari kutoka Dar es Salaam na kuelekea Mwanza kwaajili ya kupeleka huduma Fadhaget Sanitarium Clinic kwa lengo la kutatua magonjwa yanayowakumba ndugu zetu wa kanda ya ziwa Mwanza.
Wananchi walipokea kwa shukrani kubwa wazo la kuanzisha huduma katika maeneo yao ili kupunguza idadi ya wagonjwa wa kanda ya ziwa kwa kupitia huduma ya Fadhaget Sanitarim Clinic

Ofisi mpya jii Mwanza Kilimahewa

Fadhaget Sanitarim Clinic inatibu magonjwa mbalimbali kama vile, upungufu wa nguvu za kiume/ kike, vidonda vinavyotokea katika mwili wako, tumbo kuunguruma wakati wote, moyo kwenda mbio (pressure), kutoona siku za kike na kutokuwa na hamu ya kuonana na mwanaume kwa mwanamke, kuwashwa na kutokwa na uchafu mzito, kuvimba miguu na ukibonyeza inaacha shimo, kuwashwa na kukosa usingizi, kuvimba kwa korodani na magonjwa mengi.

Dr. Fadhili Emily akiwa  na mke wangu Mwanza baada ya kushuka kutoka Dar

Huduma yetu inatumia dawa zinazotoka na mimea na matunda ambayo Mungu ametuzawadia kama wanadamu kuyatumia kwa afya zetu.
Tarehe 1/11/2012 Fadhaget Sanitarium Clinic itafungua ofisi mpya jiji Mwanza eneo la Kilimahewa. Ktufikia unaweza kushuka katika kituo cha Kilimahewa Farmers na ukawasiliana nasi  kwa simu zetu hizi hapa:
+255 787 505158 au +255 712 705158


Pia unaweza kutumaandikia kwa kupitia barua pepe yetu ya fathaget2011@gmail.com na zidi kutmbelea blogu yetu www.fadhaget.blogspot.com ili kupata mambo mapya kuhusiana na huduma yetu.

AHSANTENI!!

Monday, October 15, 2012

LISHE KWA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME



Na Dk. Fadhil Emily

Fadhaget Sanitarium Clinic inapenda kukupa maelezo kuhusiana na lishe ambayo inaweza kusaidia kutatua tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Imesekekana kuwa baadhi ya vyakula vikitumika mara kwa mara vyaweza kupunguza na kuondoa tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na maumivu. Tumejaribu kuelezea baadhi ya vyakula ambavyo tunaamini kuwa vikitumika vinaweza kuondoa tatizo hilo, navyo ni:-


1. Mdarasini + Asali (Sermon + Honey)
Hiyo imedhibitishwa na watalaamu kuwa unweza kutibu upungufu wa nguvu wa kiume. Unapotumia mdarasini pamoja na asali mara kwa mara unaongeza nguvu za kiume na kuondoa maumivu unayoyapata.
2. Maua ya Yerusalem (Star of Jerusalem)
Ikiwa mtu mwenye upungufu wa nguvu za kiume atakuwa akitafuna vikonye vitatu vya maua meupe ya Yerusalem. Acaroids Acid ina virutubisho muhimu ambapo watu wa biolojia  wameamini kuwa kiwango kikubwa kinauwezo wa kuratibu swala hilo la nguvu za kiume
3. Karanga mbichi zisizokobolewa
Watu wa biolojia (Biologist) wanasema karanga zisizokobolewa zina protini (protein) muhimu ambayo inamchanganyiko wa Carolis ambayo kwa hakika imethibitishwa kuwa, nayo ni msaada mkubwa kwa upungufu wa nguvu za kiume.
Matatizo ya nguvu za uzazi ikiwa ni pamoja na upungufu wa nguvu za kiume na homoni (hormone) za kike, kitalaamu ni kasoro ambazo husababishwa na vijidudu na bacteria ambazo kwa hakika ukitaka kupata uponyaji, yakupasa utumie viinirishe au virutubisho vinavyotoka katika vyakula mbalimbali ambavyo hakika vyaweza kuratibu mfumo wa homoni (hormone) moja kwa moja na si kutumia sindano na vidonge ambavyo havikusaidii kurudisha virutubisho kwani vyatumika kama kupunguza au kupooza kuondoa maumivu tu (Pain Killer).

“Pain Killer” ikishaisha mwili mwako, hali ya zamani ya upungufu wa nguvu za kiume na maumivu hurudi tena na tatizo linabaki pale pale.

Inasemekana kuwa kwa asilimia nyingi vyakula vichache vilivyotajwa hapo juu vikitumika sawasawa na mara kwa mara huweza kuondoa tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

 hali ya tatizo na sio kuponya ila ukitumia hivyo vyakula tulivyoeleza hapo juu unaweza kuponywa nahuo ugonjwa wa upungufu wa nguvu za kiume na maumivu.

Kwa maelezo zaidi fika katika ofisi za
Fathaget Sanitarium Clinic Mbezi Beachi Tangi Bovu
Kutana na Dk. Fadhil Emily
Simu: +255 712 705158 | +255 757 931376 | +255 787 705158
Blogu: fathaget.blogspot.com